Fide Fide Fide...............kumbe na wewe this time umepatwa eeh??!!!!!!
Hahahaha yeah kama kawa Komredi,
Lakini naona kwenye swala la kumega Mwanakijiji ni domo zege hatoweza kuchangamkia tender hiyo naamini dili lingekudondokea wewe komredi ungekuwa umesha tuma air ticket mkutane kwa mzee Madiba.
Fide Fide Fide...............kumbe na wewe this time umepatwa eeh??!!!!
na wewe sasa ndo maneno gani lakini haya??? as if its an offence!!!!
we ngoja na wee dawa yako inachemkia huko Ikwiriri!!! utaliwa na mamba mwaka huu!!
Ahahahahahaaa...Mwanakijiji hadi atumie Cialis huyo....na prescription yake usikute ishaisha!
Ila komredi kama huyu GS ni shori halafu angeingia kwenye angazangu....angekuwa keshatunguliza zamani tu.
shem wewe je? maana GS anawapenda nyie wachambusi wa mambo ya sihasa....
vinginevyo BM na yeye aanze leo kutundika kule kwenye jukwaa lenu ili Gs am-conside na yeye.
Shem, mimi sipo ughaibuni; nipo hapahapa Bongo nakomaa tu na Sihasa za Bongo, Balantanda yeye yuko Ughaibuni nchi ya Kusadikika. Kwa mujibu wa GS huyo kaka yuko ughaibuni!
1.Usiwe na haraka,kumbuka haraka haraka haina mbaraka.
2.Kama ni mzungu mweleze moja kwa moja UMEMPENDA.
3.Kama ni mbongo,mnawasiliana nae kwa kiswahili,jishaue kidogo kwanza,usimweleze,atakudengulia,ukimpeperusha njiwa,akiruka humpati tena.
4.Kazi kubwa ya kufanya ni kujilengesha kwake.SIJUI NAELEWEKA?
5.Kumbuka time is money wawezajuta baadae kwanini hukufanya timiming.
6.Weka mitego aweza nasa kati ya mtego wako mmoja.
7.Nakupongeza sana kwa kujaribu kupata unachokipenda,wanawake wengi isipokuwa wa humu JF amini usiamini wana watu ambao hawawapendi,.
8.Katika mapenzi ya kudumu,kinachodumu ni tabia ya mtu.sura,umbo vyote hivyo ni vya muda tu vinapita,ukipenda sura halafu aje agongwe na gari utampa taraka?.Kinachodumu ni tabia yake,hiyo utaishi nayo milele.Utagundua kuwa ulichompendea ni tabia zake kwa jinsi anavyojieleza.
9.Mambo mengine kwetu huwa magumu lakini mepesi sana kwa Mungu.Mwombe mungu utashangaa siku si nyingi yupo kifuani mwako.Ili
mradi tu uwe na nia njema.Ikishindikana ujue Mungu hakupenda na huenda huyo mtu angekuletea maafa maishani.
10.Wasiliana nae kila siku huku ukiomba samahani kwa vile kama ana kazi nyingi,unaweza ukawa unamkera.
11.Msome interest zake ninini na wewe kuanzia leo hamia kwenye interest hizohizo za kwake, eeeeh unashangaa nini sasa?
12.Kila siku pata angalau detail yake moja muhimu,kwa kumuuliza kiindirect paipokujua nia ya swali lako.ASIPO JIBU,JIBU UNALO.
13.Kumbuka kuwa sisi wanaume tuna roho nzuri,hawezi kukuletdown
14.Hiyo ndio raha ya mapenzi,upate ukitakacho ebo.NAKUTAKIA MAFANIKIO MEMA.
YAPO MAMBO MENGI,NIWAACHIE WENZANGU WAENDELEE.
Acha Ujinga wewe
Mapenzi Ya Internet au Kama wasemavyo watoto wa siku Mapenzi ya Dotcom, mpaenzi ya Facebook,......fanya kazi acha upuuzi huo:brick:
Now,i thought you could do better than this.Mbona kama huwezi kushauri kitu constructive huwezi kukaa kimya?
Ndugu zangu,habari zenu.
Ni matumaini yangu kuwa sote tunaendelea vizuri na majukumu yetu ya kila siku.
Ndugu yenu nimepata namasaibu yanayonitatiza na sijapata ufumbuzi. Ni hivi,nimejigundua kwamba nimefall in love na mtu ambaye sijawahi kumuona,sijui yeye ni nani,ana umri gani,kabila lake,ameoa ama la,ana mchumba ama la kifupi ni kuwa simfahamu kabisa.Huyu mtu nimchambuzi wa mambo mbalimbali ya siasa,uchumi n.k. Na kwa bahati mbaya sana tunaishi mbali mi niko Tz mwenzangu yuko nje ya nchi wala sijui yuko nchi gani.
Jamani am serious in love with this person,nifanye mwenzenu naugua kwa mahaba,siko tayari kulikosa penzi lake..Naombeni mbinu zenu nifanyeje ili awe wangu wa maisha.
Tafadhali naombeni ushauri wa kweli,tuache utani,am serious.
GS.....where art thou??????...jitokeze pliiiz uje utegue fumbo huku.....Nyumbani hakukaliki(nadhani na Mwnakijiji ni hivohivo).....hahaaaaaaaaaa
yaani! halafu NN ndiyo sasa amechokoza nyuki maana shemeji yenu kaja juu hapa kuwa "unaona rafiki yako anasema ni wewe". Sasa inabidi nizoze na GS chemba ili niweze kuona jinsi gani tunaweza "kuyamaliza kiutuzima".. kama ni mimi, maana unaweza kujipa ujiko kumbe aliyedondokewa mchambuzi wa kisiasa yuko Ubalozini UK!
GS.....where art thou??????...jitokeze pliiiz uje utegue fumbo huku.....Nyumbani hakukaliki(nadhani na Mwnakijiji ni hivohivo).....hahaaaaaaaaaa
yaani! halafu NN ndiyo sasa amechokoza nyuki maana shemeji yenu kaja juu hapa kuwa "unaona rafiki yako anasema ni wewe". Sasa inabidi nizoze na GS chemba ili niweze kuona jinsi gani tunaweza "kuyamaliza kiutuzima".. kama ni mimi, maana unaweza kujipa ujiko kumbe aliyedondokewa mchambuzi wa kisiasa yuko Ubalozini UK!
afu nyie mnanipa shaka kweli sasa, ngoja tuone.................
Sasa inabidi nizoze na GS chemba ili niweze kuona jinsi gani tunaweza "kuyamaliza kiutuzima".. kama ni mimi, maana unaweza kujipa ujiko kumbe aliyedondokewa mchambuzi wa kisiasa yuko Ubalozini UK!
Hahahahahahaaaa.....that's what I'm talkin' about. That's right out of the player's playbook!