Nimempenda Mtu Nisiyemfahamu-Sijawahi Kumuona

Status
Not open for further replies.
:drum😛atamu ati. Mleta hoja katoa hoja. ifungwe basi watu wasiendelee kusingiziana. kupenda sio kosa, wawezashba kwa macho tu au hata kwa saikologia.
 
Mzee Mwanakijiji, huyo anayependwa ni dada au kaka? mbona kasema hajui kama "ameoa ama la?"

wewe bwana vp??????............ushasema amesema hajui km ameoa ama la...sa kitendo cha kuoa ni cha kike au kiume?...........kiswahili nehi au? ebu nijibu.............nani anaoa kati ya juma na asha.....................nanani anaolewa kati ya robert na sandra?
 

watu mnafurahisha sana ..JF kisima cha Burudani..
 
GS please come and tell us ni nani huyo secret admire !
 
mmh shost mbona issue ako its so simle??...... we chaukua contacts za ilo gazet sjui makala sjui ninini then jifanye u nid some assistant in certain issue.....then ye atakwambia tuwasiliane..along thew way sasa urafiki baina yenu utaanza kuwepo thru ayo mawasiliano na po ndo utajua km ameoa ama lah....umwambie au usimwambie coz uenda umempnda coz HE IOZ GOOD UPSTAIRS .bt mambo mengine unaweza kugundua ni balaa...
jifanye dent wa mastaz iv then unafanya research flan so u thnk data flan aliozozitoa mwaka jana desemba zitakusaidia km vip akufafanulie zaidi then akutumie kweenye email ako apo itakua poa kabisa......
contacts zake utzpata kwa kuchek adres za gazet thebn piga ulizia uyo mkwandishi....................
nimechoka kuandika bibi weeeeeeeeeee....:angry:!!!!!!!!!!!!
 
mmh, bora umtaje bibie uliemzimikia ili uondoe ushindani mapemaa, usijekuta wapo kama mia wanaomzimikia na anaowazimikia, sasa ikaja kuwa case badaae. sema ili tujue fulani shemeji yetu ili tumpe heshima yake. hongera kwa ujasiri lakini mama, kweli gender sensitive.
 

Keshaweka wazi kuwa yupo hapahapa JF.Sio wa kwenye magazeti.
 

Balantanda,salamu.ukinitafutia hiyo sredi niliyosema mimi ni She nitafurahi na kushukuru sana...Mimi ni Gender Sensitive natetea uonevu wa jinsia yeyote ile...Sina upande when it comes to jinsia.
 
heheeeeee GS ulitukimbia eeh!!!

pg 11 mi hata hujaniridhisha bado best yangu

bht.Hata sikuwakimbia nimajukumu ndio yaliyonifanya niwe mbali..Haina maana kuanzisha sredi kuomba ushauri and then ukimbie.Kwa kweli nimejibu kwa kadiri ya uwezo wangu kama sijkuridhisha basi tena sina jipya majibu yangu ni yale yale hayatabadilika.Najua siwezi kuridhisha kila mtu kwani tayari watu tuna negativity ambazo tumeshazijenga hivyo sio rahisi kukubaliana na majibu yangu.Msalimie sana Balantada natamani kumuona,ha ha ha.
 

Haya mama ngoja tukuache na secret admire wako...juhudi zako tu ndo zitakusaidia kuvuka mto
 


aaah best hapo kwenye red acha bana!!!!

usijali my dear ni kweli kumridhisha kila mtu bado ngumu, ila najua kiu ya wengi wwetu humu ni kujua tu huyo ulomzimikia nani?? (its only a wish though)
 
aaah best hapo kwenye red acha bana!!!!

usijali my dear ni kweli kumridhisha kila mtu bado ngumu, ila najua kiu ya wengi wwetu humu ni kujua tu huyo ulomzimikia nani?? (its only a wish though)

yah kama mimi nimeumiza kichwa sana kumjua....wakwetu nilikuambia anaweza kuwa ndege ya uchumi ukabisha, umeona hata yeye mwenyewe kamtaja kule pg 11...anaweza kuwa ndiye ujue
 
aaah best hapo kwenye red acha bana!!!!

usijali my dear ni kweli kumridhisha kila mtu bado ngumu, ila najua kiu ya wengi wwetu humu ni kujua tu huyo ulomzimikia nani?? (its only a wish though)

Haya bana nimekubali..Mambo ya kitiki mtamfahamu..Ha ha ha ha!
 
yah kama mimi nimeumiza kichwa sana kumjua....wakwetu nilikuambia anaweza kuwa ndege ya uchumi ukabisha, umeona hata yeye mwenyewe kamtaja kule pg 11...anaweza kuwa ndiye ujue

hhaaaaaa cutie we sheikh siku hizi eeh, nimemfikiria mzee wa miale sasa hivi, nikasema wa kwetu might probably be right!!!
 
GS my dear;

Just for my personal interest are you HE or SHE?

I am HE if you wanna know.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…