Nimempenda Mtu Nisiyemfahamu-Sijawahi Kumuona

Nimempenda Mtu Nisiyemfahamu-Sijawahi Kumuona

Status
Not open for further replies.
hapa sasa ni kukaa pembeni na kuangalia hii mechi...huyu striker anaonekana matata

Halafu mie nashangaa.si anakuona wwe Preta uko singo halafu ni twin wa bht? kwa hiyo mnafanana kopiraiti.kwa nini asikupende wewe?
 
Halafu mie nashangaa.si anakuona wwe Preta uko singo halafu ni twin wa bht? kwa hiyo mnafanana kopiraiti.kwa nini asikupende wewe?

ha ha ha......hapo naona mahabuba yamemdondokea kimwana bht....
 
I wish imesimama kwasababu umeshauriana na Balantanda kuhusu mimi na Balantanda kachukia.....inauma...........

hahaaa shem leo unanichekesha sana ujue!!! ngoja nitoke kidogo maana nahofia mbavu zangu sasa....
@Preta endele kupuliza filimbi..........
 
Halafu mie nashangaa.si anakuona wwe Preta uko singo halafu ni twin wa bht? kwa hiyo mnafanana kopiraiti.kwa nini asikupende wewe?
Charity usiseme hivyo? kwani wenye sifa ambazo GS kazitoa anazo huyo huyo mtu X? wapo wengi, yeye kaenda huko...hata mimi namfaham twin wa bht lakini bado ninamuhitaji yeye bht na si twin....

Unadhani GS ni mtu wa kwanza kupenda online? tupo wengi, na mbaya zaidi pale unaposoma post za huyo mtu........Wengine huwaga tunandikaga vya kweli
 
Mkuu kukatariwa na bht ndio kamwaga sera? Mkuu Bigirita, jaribu kuandika kitu ambacho bht ataweza kunipenda, kama wewe ni moja ya wana JF wenye kushawishi, help me for temporary love from bht.......nahisi nampenda bht ingawa simfahamu, haya mambo ya kusomaga posts za mtu mmoja zinaweza kukufanya uwe kama GS.......

Mkuu Bigirita, nauhakika 100% GS hakumanisha mimi, kwanza inawezekana leo nsio kaona post zangu humu kwenye thread yake, so I am out of sample space.

Nachomshauri GS ni kumueleza huyo mtu, asije akakaa kimya for long time, kumbe huyo mtu yupo single, anatafuta mchumba

go GS gooooooooooooooooooooooooooo!

Men, this is serious, nadhani BHT atakuwa amekusikia.

BHT ukiona mwanaume anaongea hivyo ujue ni mwanaume special, anayeweza kusema anacho-feel bila woga, anajiamini na he cana make a good hubby. Japo sina uhakika wa penzi la temporary analotaka, nauhakika unaweza kum-consider in future. haya mambo yanataka nafasi na BM anaonekana ana nafasi, japo yuko desparate kidogo...(anataka joto la ghafla) nimeandika kwa chaki hapo.

Kama mtaalamu mashauri wa mambo ya uhusiano, nakushauri ulifikirie hili kw makini usimkwaze Bala.
 
Charity usiseme hivyo? kwani wenye sifa ambazo GS kazitoa anazo huyo huyo mtu X? wapo wengi, yeye kaenda huko...hata mimi namfaham twin wa bht lakini bado ninamuhitaji yeye bht na si twin....

Unadhani GS ni mtu wa kwanza kupenda online? tupo wengi, na mbaya zaidi pale unaposoma post za huyo mtu........Wengine huwaga tunandikaga vya kweli

SHEM Bala atakukataza kuja home sasa wewe kama mabo yenyewe ndo haya..........

btw usiandike hayo ma-equations mimi kichwa kinauma.........
 
Men, this is serious, nadhani BHT atakuwa amekusikia.

BHT ukiona mwanaume anaongea hivyo ujue ni mwanaume special, anayeweza kusema anacho-feel bila woga, anajiamini na he cana make a good hubby. Japo sina uhakika wa penzi la temporary analotaka, nauhakika unaweza kum-consider in future. haya mambo yanataka nafasi na BM anaonekana ana nafasi, japo yuko desparate kidogo...(anataka joto la ghafla) nimeandika kwa chaki hapo.

Kama mtaalamu mashauri wa mambo ya uhusiano, nakushauri ulifikirie hili kw makini usimkwaze Bala.
Nimekupa thanks, angalia!
Big up sana, hope na mimi nitampiku mkuu Balantanda
 
Men, this is serious, nadhani BHT atakuwa amekusikia.

BHT ukiona mwanaume anaongea hivyo ujue ni mwanaume special, anayeweza kusema anacho-feel bila woga, anajiamini na he cana make a good hubby. Japo sina uhakika wa penzi la temporary analotaka, nauhakika unaweza kum-consider in future. haya mambo yanataka nafasi na BM anaonekana ana nafasi, japo yuko desparate kidogo...(anataka joto la ghafla) nimeandika kwa chaki hapo.

Kama mtaalamu mashauri wa mambo ya uhusiano, nakushauri ulifikirie hili kw makini usimkwaze Bala.

B hata wewe wa ukweli umeanza ku-side na shem BM.

sasa mimi nina mapenzi yangu ya kudumu na Bala, huyu shem hayo ya tempo mi sina na siwezi kumpa.

aftaroo bezni haligawanyiki.......

I love my applepie Bala!!!! and I will always do!!!!
 
hata mimi ninawangu ninayemzimia.....siku zimebaki chache nimwambie

hahaaaaaaa lol!!!

afu wakwetu huna hata haja ya kumwambia anajua sana yule!!!! hata yeye siku zimebaki chache tu.....alinimbia mwenyewe
 
B hata wewe wa ukweli umeanza ku-side na shem BM.

sasa mimi nina mapenzi yangu ya kudumu na Bala, huyu shem hayo ya tempo mi sina na siwezi kumpa.

aftaroo bezni haligawanyiki.......

I love my applepie Bala!!!! and I will always do!!!!

Let Love be hate....nitafurahi sana!!!!
 
Charity usiseme hivyo? kwani wenye sifa ambazo GS kazitoa anazo huyo huyo mtu X? wapo wengi, yeye kaenda huko...hata mimi namfaham twin wa bht lakini bado ninamuhitaji yeye bht na si twin....

Unadhani GS ni mtu wa kwanza kupenda online? tupo wengi, na mbaya zaidi pale unaposoma post za huyo mtu........Wengine huwaga tunandikaga vya kweli

Lakini baba mkubwa utampendaje mkweo? basi angalau uende kwa twin wake tufiche hii aibu.
 
hahaaaaaaa lol!!!

afu wakwetu huna hata haja ya kumwambia anajua sana yule!!!! hata yeye siku zimebaki chache tu.....alinimbia mwenyewe

aaah...kumbe hata yeye amejua eeh...matekniki yalikuwa si ya mchezo...itabidi kama ni hivyo nimgongee na GS aweze kumpata huyu wake...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom