Nimempiga mimba mke wa Mtu

Nimempiga mimba mke wa Mtu

Umejuaje kuwa mimba ni yako?
Kwani mume wake alikuwa wapi, au alifungwa.

Tabia ya kula wake za watu tena wa mtaa mmoja siyo nzuri,
utakuja kuuwana.
 
Umejuaje kuwa mimba ni yako?
Kwani mume wake alikuwa wapi, au alifungwa.

Tabia ya kula wake za watu tena wa mtaa mmoja siyo nzuri,
utakuja kuuwana.

Mumewe alikuwa shule kama miezi mi3 hivi hawajakutana..na sikuwa nafahamu kama ye ni mke wa mtu
 
Jipange kuliwa kiboga na wewe. Utawafungulia madume na wewe hilo lango lako la taka na koni utakula, na picha utapigwa na watu watajua, aibu utakuwa nayo. Huyo ndugu anajipanga tu weee subiri. Unakula vya watu alafu unadai unatafuta msaada wa kisheria? Kachonge chupi ya chuma, funga kisha funguo imeze.
 
Najilaumu sana ningejua mapema nisingefanya ujinga huu

Kama hukujua basi pole, ila ungefanya kautafiti kidogo kuhusu huyo demu. Ishu iliyopo ni kwamba huyo mwenzio hatokuelewa, ye ajuacho umemla mke wake na kumpa mimba. Mziki unao tena mnene, kama sheria haipo ya yeye kukushitaki basi atakuadhibu tu kwa njia zake.
 
Kwi kwi kwi kwi lol!!! Unakojolea kwenye papuchi halafu unasema bahati mbaya!? SMDH! Hukujua kama kuna kinga za magonjwa na ujauzito?

Imetokea tu bahati mbaya
 
Yani unauliza uwezo wa kukushtaki badala ujipange jinsi atakavyoliwa tigo hadharani...unacheza na mke wa mtu wewe

Siku hizi mahakamani hawaendi,,
1.Unaliwa 0713 na picha ya video inarekodiwa.
2. Unanza kuuziwa hiyo video ukikosa pesa inawekwa kwenye magazeti na facebook
3. UNAROGWA USHOGA,,,,, AU UHANITHI,,,, ILA SASA HIVI NI USHOGA TU UNARONGWA UNAKUA KAMA ANTI BILALI, na kwa ninavyoona unavyo comment hapo juu nadhani no 3 imehusika sana
 
Yani unauliza uwezo wa kukushtaki badala ujipange jinsi atakavyoliwa tigo hadharani...unacheza na mke wa mtu wewe

Vigumu sana kuliwa hiyo kitu
 
Jipange kuliwa kiboga na wewe. Utawafungulia madume na wewe hilo lango lako la taka na koni utakula, na picha utapigwa na watu watajua, aibu utakuwa nayo. Huyo ndugu anajipanga tu weee subiri. Unakula vya watu alafu unadai unatafuta msaada wa kisheria? Kachonge chupi ya chuma, funga kisha funguo imeze.

Asante kwa ushauri
 
Hama tu huo mtaa, ondoka kimya kimya nyumba kama yakwako pangisha uanze,
hilo ni noma.
 
Hizi thread za namna hii zinaendelea kuishushia hadhi JF. Hebu mtu mwenye akili zake anaweza kuja kutangaza ujinga alioufanya kwenye mitandao. Halafu kama mtoto hajazaliwa na mumewe hakuwa safari ni kitu gani kinakuaminisha kwamba wewe ndie uliyempa mimba huyo mwanamke!!!!!

Hebu punguzeni utoto bwana.

Tiba
 
Back
Top Bottom