Nimempigia simu, kapokea jamaa mwingine

Nimempigia simu, kapokea jamaa mwingine

Kwema wakuu,
Leo asubuhi nimempigia simu demu wangu ambaye tuna ugomvi kwa siku kadhaa. Kilichotokea ni kuwa kapokea jamaa anadai demu hataki kuongeza na mimi anadai nijikaze. Duh hapa nahisi kichwa kinauma balaa
Maana yake wewe ni mchepuko wake (yaani mpango wa kando).
Huyo aliyepokea simu ndiye mmiliki
 
Kuna kitu wengi hawajajua hatua (stages) za mwanamke kumwacha mwanamume. Hawa viumbe huwa wanatuacha akilini mwao mapema sana halafu baada ya hapo ni vitendo

●Hatua ya kwanza, anakuwa anakupotezea potezea. Kama alikuwa anakucheki kwenye text au call anapunguz sana

●Hatua ya pili, ni kunyimwa sex au kupewa kwa shida tofauti na zamani

●Hatua ya tatu, vitendo vya waziwazi au tamko la moja kwa moja kuwa mimi na wewe leo basi (kama mleta uzi amejikuta anaongea na mshikaji wa demu wake wa sasa)

Tangu mkiwa kwenye mahusiano mwanamke anajua nani anafuata baada yako mkiachana, kitu ambacho wanaume wengi hatuna

Kwako ndugu mleta uzi, akilini manzi alishakuacha kitambo ila haukutambua vitendo vyake ndio vimekuambia too late
Umeandika vizuri. Wengi huwa wanajisifu kumpiga mwanamke matukio na mwanamke hafanyi kitu, hawajui mwanamke anakuwa anakula zoezi la kumuacha kimya kimya
 
Kwema wakuu,
Leo asubuhi nimempigia simu demu wangu ambaye tuna ugomvi kwa siku kadhaa. Kilichotokea ni kuwa kapokea jamaa anadai demu hataki kuongeza na mimi anadai nijikaze. Duh hapa nahisi kichwa kinauma balaa
Duh pole sana mkuu jikaze tu hakuna namna
 
Kwema wakuu,
Leo asubuhi nimempigia simu demu wangu ambaye tuna ugomvi kwa siku kadhaa. Kilichotokea ni kuwa kapokea jamaa anadai demu hataki kuongeza na mimi anadai nijikaze. Duh hapa nahisi kichwa kinauma balaa
Hatimae skull zinafunguliwa kesho....walimu mkatusaidie kuwanyoosha hawa wanafunzi wanaowaza mapenzi kuliko kusoma.
 
Kama unataka na wewe uwe unaambiwa wenzako hivyo achana na kupendapenda.
 
Mi demu wangu tushaachaga kupigiana simu. Ni mwendo wa text kama wanafunzi. Yaani kupigiana tunaweka appointment.
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]dah sio ya kucheka
 
Kuna kitu wengi hawajajua hatua (stages) za mwanamke kumwacha mwanamume. Hawa viumbe huwa wanatuacha akilini mwao mapema sana halafu baada ya hapo ni vitendo

●Hatua ya kwanza, anakuwa anakupotezea potezea. Kama alikuwa anakucheki kwenye text au call anapunguz sana

●Hatua ya pili, ni kunyimwa sex au kupewa kwa shida tofauti na zamani

●Hatua ya tatu, vitendo vya waziwazi au tamko la moja kwa moja kuwa mimi na wewe leo basi (kama mleta uzi amejikuta anaongea na mshikaji wa demu wake wa sasa)

Tangu mkiwa kwenye mahusiano mwanamke anajua nani anafuata baada yako mkiachana, kitu ambacho wanaume wengi hatuna

Kwako ndugu mleta uzi, akilini manzi alishakuacha kitambo ila haukutambua vitendo vyake ndio vimekuambia too late
Shukuruni Hata wanawake zenu wanapitia Process zote hizo ili kuwaacha.... Hawa wadada wa huku Dodoma utashangaa tu paap Meseji imeingia ya "Nakutakia maisha mema".
 
Kwema wakuu,
Leo asubuhi nimempigia simu demu wangu ambaye tuna ugomvi kwa siku kadhaa. Kilichotokea ni kuwa kapokea jamaa anadai demu hataki kuongeza na mimi anadai nijikaze. Duh hapa nahisi kichwa kinauma balaa
Kwani ulimuoa?

Mnaambiwa oaneni hamtaki.

Ulimpataje wenzqko washindwe?

Kajitie kitanzi.
 
Siku nyingine utapiga simu usiku na utaambiwa "mke wangu kaenda kuoga ,"ulikuwa unasemaje...?

USHAURI

* achana na kubembeleza mwanamke, mfanye mwanamke apate shida yeye kwa ajili yako.

* Usiwe na mwanamke mmoja .
 
Back
Top Bottom