Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushawahi kumla 0715?Kwema wakuu,
Leo asubuhi nimempigia simu demu wangu ambaye tuna ugomvi kwa siku kadhaa. Kilichotokea ni kuwa kapokea jamaa anadai demu hataki kuongeza na mimi anadai nijikaze. Duh hapa nahisi kichwa kinauma balaa
Well said mkuu akaze moyo asonge mbele kama sio ugaliKuna kitu wengi hawajajua hatua (stages) za mwanamke kumwacha mwanamume. Hawa viumbe huwa wanatuacha akilini mwao mapema sana halafu baada ya hapo ni vitendo
●Hatua ya kwanza, anakuwa anakupotezea potezea. Kama alikuwa anakucheki kwenye text au call anapunguz sana
●Hatua ya pili, ni kunyimwa sex au kupewa kwa shida tofauti na zamani
●Hatua ya tatu, vitendo vya waziwazi au tamko la moja kwa moja kuwa mimi na wewe leo basi (kama mleta uzi amejikuta anaongea na mshikaji wa demu wake wa sasa)
Tangu mkiwa kwenye mahusiano mwanamke anajua nani anafuata baada yako mkiachana, kitu ambacho wanaume wengi hatuna
Kwako ndugu mleta uzi, akilini manzi alishakuacha kitambo ila haukutambua vitendo vyake ndio vimekuambia too late
Kweli kabisa wanawake always have the next guy on standby so it is important wewe mwanaume kuwa na wanawake watatu at any given time. Usije fanya kosa la kuwa na mwanamke mmoja tuu.Kuna kitu wengi hawajajua hatua (stages) za mwanamke kumwacha mwanamume. Hawa viumbe huwa wanatuacha akilini mwao mapema sana halafu baada ya hapo ni vitendo
●Hatua ya kwanza, anakuwa anakupotezea potezea. Kama alikuwa anakucheki kwenye text au call anapunguz sana
●Hatua ya pili, ni kunyimwa sex au kupewa kwa shida tofauti na zamani
●Hatua ya tatu, vitendo vya waziwazi au tamko la moja kwa moja kuwa mimi na wewe leo basi (kama mleta uzi amejikuta anaongea na mshikaji wa demu wake wa sasa)
Tangu mkiwa kwenye mahusiano mwanamke anajua nani anafuata baada yako mkiachana, kitu ambacho wanaume wengi hatuna
Kwako ndugu mleta uzi, akilini manzi alishakuacha kitambo ila haukutambua vitendo vyake ndio vimekuambia too late
Umeandika upumbavu.Kwani ulimuoa?
Mnaambiwa oaneni hamtaki.
Ulimpataje wenzqko washindwe?
Kajitie kitanzi.
🎵Zile deal tulizofanya bhana hazijalipaaaDuh hapa nahisi kichwa kinauma balaa
Umeandika vizuri. Wengi huwa wanajisifu kumpiga mwanamke matukio na mwanamke hafanyi kitu, hawajui mwanamke anakuwa anakula zoezi la kumuacha kimya kimya
NAKAZIA mwanawaneKweli kabisa wanawake always have the next guy on standby so it is important wewe mwanaume kuwa na wanawake watatu at any given time. Usije fanya kosa la kuwa na mwanamke mmoja tuu.
Kijana move on ili maisha mengine yaendelee acha kulazimisha penzi kwa mwanamke asiyekupenda utakuja kufa.ushaambiwa ujikaze jikaze tu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mwanakilifind mwanakuligetKwema wakuu,
Leo asubuhi nimempigia simu demu wangu ambaye tuna ugomvi kwa siku kadhaa. Kilichotokea ni kuwa kapokea jamaa anadai demu hataki kuongeza na mimi anadai nijikaze. Duh hapa nahisi kichwa kinauma balaa
Huyo demu hakutaki na inaonyesha wewe ni kinganganizi.....kitendo Cha kumpa mwanaume mwingn uongeee naye ni ili ujue kuwa wewe huna nafasi tena kwak...........move on brother huyo ashakuwa malaya ndoigeKwema wakuu,
Leo asubuhi nimempigia simu demu wangu ambaye tuna ugomvi kwa siku kadhaa. Kilichotokea ni kuwa kapokea jamaa anadai demu hataki kuongeza na mimi anadai nijikaze. Duh hapa nahisi kichwa kinauma balaa
Una roho nzuri kamsaidieKm huwezi kujikaza mkuu usijali nipo hapa nije nikukaze