TANZIA Nimempoteza baba yangu mzazi

TANZIA Nimempoteza baba yangu mzazi

Dah sina cha kuandika kwa sasa nitarudi kama nitakuwa nacho.

Yote kwa yote Mungu aipokee roho ya Mzee ampumzishe kwa amani,pole sana ndugu yangu.
 
Nimempoteza baba yangu mzazi

Sijui hata nisemeje

Baba ndo.alikua kila kitu kwangu[emoji22]

Roho inaniuma baba kafa kanipambania mwanae nisome leo baba kafa ikiwa hata hajala mkono wangu nikiwa still napambana kupata kazi

Nimebaki yatima mimi[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Pole Sana usihuzunike Sana yupo baba Wa Milele ambaye Ni Mungu Mkuu Yuko pamoja nawe siku zote Daima
 
Nimempoteza baba yangu mzazi

Sijui hata nisemeje

Baba ndo.alikua kila kitu kwangu[emoji22]

Roho inaniuma baba kafa kanipambania mwanae nisome leo baba kafa ikiwa hata hajala mkono wangu nikiwa still napambana kupata kazi

Nimebaki yatima mimi[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Pole sana member mwenzetu, Mungu akutie nguvu na kumrehemu marehemu, yawezekana katika baadhi ya michango yako hapa ilichukua busara za Mzazi, si pigo kwako tu ni pamoja na jamii yetu pia
 
Nimempoteza baba yangu mzazi

Sijui hata nisemeje

Baba ndo.alikua kila kitu kwangu[emoji22]

Roho inaniuma baba kafa kanipambania mwanae nisome leo baba kafa ikiwa hata hajala mkono wangu nikiwa still napambana kupata kazi

Nimebaki yatima mimi[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Pole sana sana mkuu
Mwenyezi Mungu akutie nguvu wakati huu
 
Nimempoteza baba yangu mzazi

Sijui hata nisemeje

Baba ndo.alikua kila kitu kwangu[emoji22]

Roho inaniuma baba kafa kanipambania mwanae nisome leo baba kafa ikiwa hata hajala mkono wangu nikiwa still napambana kupata kazi

Nimebaki yatima mimi[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Akiondoka mzee wewe ndio unachukua nafasi ndio ukubwa huo jikaze mzee!
 
Nimempoteza baba yangu mzazi

Sijui hata nisemeje

Baba ndo.alikua kila kitu kwangu[emoji22]

Roho inaniuma baba kafa kanipambania mwanae nisome leo baba kafa ikiwa hata hajala mkono wangu nikiwa still napambana kupata kazi

Nimebaki yatima mimi[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Pole mkuu.
Kuna majukumu aliyoacha bila kuyakamilisha,fanya kwa niaba yake.
 
Nimempoteza baba yangu mzazi

Sijui hata nisemeje

Baba ndo alikuwa kila kitu kwangu[emoji22]

Roho inaniuma baba kafa kanipambania mwanae nisome leo baba kafa ikiwa hata hajala mkono wangu nikiwa still napambana kupata kazi

Nimebaki yatima mimi[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Pole sana ndugu, Mwenyezi Mungu akupe nguvu na uvumilivu.
 
Nimempoteza baba yangu mzazi

Sijui hata nisemeje

Baba ndo alikuwa kila kitu kwangu[emoji22]

Roho inaniuma baba kafa kanipambania mwanae nisome leo baba kafa ikiwa hata hajala mkono wangu nikiwa still napambana kupata kazi

Nimebaki yatima mimi[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Pole sana. usikate. Tamaa
 
Back
Top Bottom