Nimemsaliti mpenzi wangu nifanyeje asahau?

Kwa hiyo Mkuu Tindikali, hapa tatizo la msingi ni magovi sio?:attention:
yani hata mie sielewi ndugu yangu, amesema baada ya hayo mananihii mengi ndo akatembea na rafiki yake... balaah hili
 
May I say I wish to be your husband??

to me this is the post of tthe year... ANZISHA CHUO CHA KUFUNDA AKINA DADA AISEE
 
Dhambi haifurahiwi hata siku moja nielewe utavyonielewa wewe ni mnafiki mkubwa na yawezekana hukuzaliwa kupenda bali ulizaliwa kupenda ngono zakipumbavu, kwa mimi usiambie kuwa unampenda huyo mtu, la shetani haliwezi kuliwakilisha la Mungu hata siku moja, wewe ni mwanafirauni, mjukuu wa ghafidhuna na haramu ndiyo bibi yako maana ulijua kuwa unalolifanya ni kosa harafu unataka kujaribu kulifanya liwe keki,
hapo siwezi kukushauri lolote, wewe ni mwana izaya tu, kama ungekuwa unampenda ungenfanyia vituko hivyo? ni nyi wanawake kjapo si wote hamna moiyo ya huruma wala mapenzi.
 
yani hata mie sielewi ndugu yangu, amesema baada ya hayo mananihii mengi ndo akatembea na rafiki yake... balaah hili

Hivi katika hali ya kawaida mtu ana magovi mangapi aisee.....jamaa sijui alikua ana.....!
 

Acid haahhaa....nadhani anamaanisha maugomvi.
 


Maelezo yako yanajikanganya mno: Ushauri ni ufuatao.

1. Tambua kwa moyo wako wote kuwa hicho ulichofanya ni ushenz*

2. Inaonekana hujitambui, na huyo jamaa hupendi ila unataka kuendelea nae kwakuwa tu yeye anakupenda na katangaza ndoa.

3. Embu take time utafakari unataka nini, otherwise ninachokiona mbele ni kuwa mtaoana na utaendelea kumpa maumivu mshikaji, tena hayo ya ndani ya ndoa ndio atajiua kabisa, aiseh!

4. Embu mwache kijana wa watu aishi, ni afadhali ya hayo maumivu anayopata saa hizi kuliko hayo atakayopata utakapochakachua tena mkiwa ndani ya ndoa, tena sijui utachakachua na baba mkwe? manake hapo kwenye urafiki umeliwa na jamaa yake, nina wasiwasi kwenye ndoa baba mkwe ndio atagonga.

5. Ushauri wa bure, wewe pombe hazikufai, waachie akina Nyamayao na Preta wanaoweza kuzinywa na kubaki na akili zao, wewe mama inaonekana ukinywa bia mbili tu, ubongo unahamia huko "down-stairs" na kuanza kufikiria vikojoleo vya jinsia ya kiume. Sasa hapo yeyote aliye mbele yako twende kazi, natamani nikutane na wewe ukiwa umelewa th! th! th!
 
Ni mara mia hata usingeposti hii thread kwa ushauri wangu
 



Mwinjilisti umeanza vizuri lakini umemalizia kwa hasira sana, huyo ni kondoo aliyepotea, muelekeze kwa

upole na baadae mchape injili ili arudi kundini. Yesu angekuwa mkali hivyo hata wale mitume 12 asingepata,

na asingeweza kuacha kanisa la watu 120 kabla ya kupaa kwake.
 
Kwa maana hiyo hapa naweza kusema siku akilewa anaweza kuwa laid down na mtu mwingine tena kama kisingizio ni pombe
 

Kiruuuuu
 
aaah... mama wa infii!!! mwambie huyo, hana haja ya pombe kutimiza nia

kiu yake tu aisee

Watu wengine bwana kutuharibia sifa za TBL tu kapanga mpaka wakaenda na jamaa akanywa nae halafu atusingizie TBL mwongo mkubwa huyu
 

Namshangaa eti anamkomoa mwanaume, Ha kakwambia nani wanaume wanakomoleka?? Tena usijethubutu kujidanganya mara ya pili kabisa ndugu utaumia hao viumbe waone hivyo hivyo tu. Halafu unajipa moyo anakupenda subira revenge yake utaisoma wewe ndo utaacha kazi na kujiua juu fanya mchezo na wanaume wewe mmmhh
 
Itabidi nayeye amtafute RAFIKI yako amchakachue mwende sawa! Unaonaje hilo??
 
pole ila mie nadhani uhusiano wenu una matatizo tangu awali, na wewe kumsaliti mpenzio,imeongeza tatizo juu ya matatizo..
usikubali kuolewa naye...sababu tangu awali personalities zenu zinaclash...
unasumbuliwa na guilty baada ya kumsaliti,ndio maaana unadhani unampenda...
likewise mpenzio is sooo hurt,and is feeling guilty as well labda andhania ndoa will make up for it...
cha kufanya nenda nae taratibu,kubali kuolewa naye lakini sio mapema,ili mjipe time kujua kama kweli mnapendana ama guilty conscious zinawasumbua....
huo muda hakikisha unajichunguza kama kweli unampenda,na kama kweli unampenda hakikisha unafanya linalowezekana kubuiild trust yake again,mtumie message za mapenzi ukimwambia jinsi unavyompenda mara kwa mara.....pia tumia muda wako mwingi kuwa naye huku ukimuonyesha mapenzi.....graduallly ataanza kukutrust!
vipi huyo mwingine baada ya kumegana naye,hajapenda mzigo au???:redfaces::redfaces:...hujampenda huyiu mwingine??????hata sie wanawake tunakuwaga na PLAN B ATIIIIII....!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
kucheat hujaanza wewe,learn to forgive yourself!
 
May I say I wish to be your husband??

to me this is the post of tthe year... ANZISHA CHUO CHA KUFUNDA AKINA DADA AISEE


Acid wangu! hawa wadada wanaoolewa kwa kufuata mkumbo wanatuzidishia matata kwenye hii sector, baada ya kuboronga ana imani kweli jamaa atatangaza uchumba-ndoa? itakua ndoa kweli hii au ndio anatuongezea maigizo? ningekuwa mie ndio huyu mdada nicngefikiria kuendelea na mkaka nilimuumiza kiac hiki.
 

sasa dear wangu ushasema hapa lengo lako lilikua kumkomesha na sasa si umeshafanikiwa.!
 

ha ha ha asante mkuu
hapo mwisho mkuu, nimewakuta watu wanafanya biashara kwenye
hekalu, niemeamua kupindua meza zao na kuwafungualia njiwa na kumwaga bidhaa zao ikabidi niwe mkali kidogo, ili kuonehsa msisitizo, siyo mimi bali maneno ndiyo yamekuwa makali kidogo ili
kuirejesha roho ya huyu bwana kwenye mstari ulionyooka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…