TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 28,186
- 15,549
yani hata mie sielewi ndugu yangu, amesema baada ya hayo mananihii mengi ndo akatembea na rafiki yake... balaah hiliKwa hiyo Mkuu Tindikali, hapa tatizo la msingi ni magovi sio?:attention:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yani hata mie sielewi ndugu yangu, amesema baada ya hayo mananihii mengi ndo akatembea na rafiki yake... balaah hiliKwa hiyo Mkuu Tindikali, hapa tatizo la msingi ni magovi sio?:attention:
May I say I wish to be your husband??yeye anaona amefanya cha maanaaaa "kukomoa"...hajui wanaume hawakomoleki? anaendelea kujipa moyo kuwa jamaa bado anampenda sana na atatangaza uchumba dec, dec c ndio hii? atujie na taarifa njema hizo zikifanikiwa.. na akumbuke jamaa haumii bure anaweza fanyiwa revennge ambayo hakutegemea....wadada njue "WANAUME WAHAKOMOLEWI"
Dhambi haifurahiwi hata siku moja nielewe utavyonielewa wewe ni mnafiki mkubwa na yawezekana hukuzaliwa kupenda bali ulizaliwa kupenda ngono zakipumbavu, kwa mimi usiambie kuwa unampenda huyo mtu, la shetani haliwezi kuliwakilisha la Mungu hata siku moja, wewe ni mwanafirauni, mjukuu wa ghafidhuna na haramu ndiyo bibi yako maana ulijua kuwa unalolifanya ni kosa harafu unataka kujaribu kulifanya liwe keki,Nina mpenzi ambaye tunafanya kampuni moja japo ofc tofauti na tuna miezi kama sita hivi toka tuanza ila katika mahusiano hayo tumegombana sana kuliko kufurahia sana mahusiano yetu na nimekuwa simuamini sna katika mahusiano yetu baada ya magovi mengi niliamua kutembea na rafiki yake japo si wakaribu sana ila ni washikaji huku nikijua huyo jamaa anaoa karibuni ila sikujali nikdhamiria tu kumkomesha yule jamaa sasa kajua na nimea dmit kila kitu kwake kama nimetembea na huyo jamaa na kila kitu,sasa jamaa ni ananipenda kuliko maelezo yani ni anabaki kuumia sana sana sana moyoni imefika hatua hadi analia machozi y nimemsaliti kwa mshkaji wake?kwakweli naona aibu na namuonea huruma sana anataka hadi kuacha kazi kisa hawez vumilia hayo maumivu na anaona aibu kwa wanaume wenzie sababu wanajua sasa nifanyeje kumplease nampenda ananipenda pia tena mno ndo mana anaumia na je hata akinisamehe baadae anaweza nilipa?ila najuta na kuona aibu.
yani hata mie sielewi ndugu yangu, amesema baada ya hayo mananihii mengi ndo akatembea na rafiki yake... balaah hili
nakuunga mkono ndugu yangu... na wala asitafute sababu wa update mara pombe, mara visasi sijui mara rafiki... ndvyo alivyo maskini ya mungu. bahati mbaya tu sikujua na umbeya nao juu, kaleta hadi huku aisee kwamba kapigwa kipara na mshikaji wa jamaa, halafu hapohapo tena anasema jamaaa anampena kichizi
inawezekana hata alipoandika hapo bado yuko chicha la kufa n'tu
BTW, amesema baada ya magovi mengi, sasa hapa ni kwamba anayafuma sana kitaa au jamaa yake ni kono la sweta?
Nina mpenzi ambaye tunafanya kampuni moja japo ofc tofauti na tuna miezi kama sita hivi toka tuanza ila katika mahusiano hayo tumegombana sana kuliko kufurahia sana mahusiano yetu na nimekuwa simuamini sna katika mahusiano yetu baada ya magovi mengi niliamua kutembea na rafiki yake japo si wakaribu sana ila ni washikaji huku nikijua huyo jamaa anaoa karibuni ila sikujali nikdhamiria tu kumkomesha yule jamaa sasa kajua na nimea dmit kila kitu kwake kama nimetembea na huyo jamaa na kila kitu,sasa jamaa ni ananipenda kuliko maelezo yani ni anabaki kuumia sana sana sana moyoni imefika hatua hadi analia machozi y nimemsaliti kwa mshkaji wake?kwakweli naona aibu na namuonea huruma sana anataka hadi kuacha kazi kisa hawez vumilia hayo maumivu na anaona aibu kwa wanaume wenzie sababu wanajua sasa nifanyeje kumplease nampenda ananipenda pia tena mno ndo mana anaumia na je hata akinisamehe baadae anaweza nilipa?ila najuta na kuona aibu.
jamani kama makosa yametokea cha msingi nikustart afresh,the man loves me so much na december anatangaza ndoa mie nilifanya nikiwa nimelewa chakari kwa stress ila sikuwa mzima baada ya hapo nimajuto mwana ume anadai anataka kuacha kazi ili asahau ila anashindwa coz ananipenda namie nampenda namimeomba samahani kwa kuwa na fikra potofu
Dhambi haifurahiwi hata siku moja nielewe utavyonielewa wewe ni mnafiki mkubwa na yawezekana hukuzaliwa kupenda bali ulizaliwa kupenda ngono zakipumbavu, kwa mimi usiambie kuwa unampenda huyo mtu, la shetani haliwezi kuliwakilisha la Mungu hata siku moja, wewe ni mwanafirauni, mjukuu wa ghafidhuna na haramu ndiyo bibi yako maana ulijua kuwa unalolifanya ni kosa harafu unataka kujaribu kulifanya liwe keki,
hapo siwezi kukushauri lolote, wewe ni mwana izaya tu, kama ungekuwa unampenda ungenfanyia vituko hivyo? ni nyi wanawake kjapo si wote hamna moiyo ya huruma wala mapenzi.
yani hata mie sielewi ndugu yangu, amesema baada ya hayo mananihii mengi ndo akatembea na rafiki yake... balaah hili
yeye anaona amefanya cha maanaaaa "kukomoa"...hajui wanaume hawakomoleki? anaendelea kujipa moyo kuwa jamaa bado anampenda sana na atatangaza uchumba dec, dec c ndio hii? atujie na taarifa njema hizo zikifanikiwa.. na akumbuke jamaa haumii bure anaweza fanyiwa revennge ambayo hakutegemea....wadada njue "WANAUME WAHAKOMOLEWI"
huyo ni mpumbavu wa mwisho... kha!
aaah... mama wa infii!!! mwambie huyo, hana haja ya pombe kutimiza nia
kiu yake tu aisee
yeye anaona amefanya cha maanaaaa "kukomoa"...hajui wanaume hawakomoleki? anaendelea kujipa moyo kuwa jamaa bado anampenda sana na atatangaza uchumba dec, dec c ndio hii? atujie na taarifa njema hizo zikifanikiwa.. na akumbuke jamaa haumii bure anaweza fanyiwa revennge ambayo hakutegemea....wadada njue "WANAUME WAHAKOMOLEWI"
Watu wengine bwana kutuharibia sifa za TBL tu kapanga mpaka wakaenda na jamaa akanywa nae halafu atusingizie TBL mwongo mkubwa huyu
May I say I wish to be your husband??
to me this is the post of tthe year... ANZISHA CHUO CHA KUFUNDA AKINA DADA AISEE
Nina mpenzi ambaye tunafanya kampuni moja japo ofc tofauti na tuna miezi kama sita hivi toka tuanza ila katika mahusiano hayo tumegombana sana kuliko kufurahia sana mahusiano yetu na nimekuwa simuamini sna katika mahusiano yetu baada ya magovi mengi niliamua kutembea na rafiki yake japo si wakaribu sana ila ni washikaji huku nikijua huyo jamaa anaoa karibuni ila sikujali nikdhamiria tu kumkomesha yule jamaa sasa kajua na nimea dmit kila kitu kwake kama nimetembea na huyo jamaa na kila kitu,sasa jamaa ni ananipenda kuliko maelezo yani ni anabaki kuumia sana sana sana moyoni imefika hatua hadi analia machozi y nimemsaliti kwa mshkaji wake?kwakweli naona aibu na namuonea huruma sana anataka hadi kuacha kazi kisa hawez vumilia hayo maumivu na anaona aibu kwa wanaume wenzie sababu wanajua sasa nifanyeje kumplease nampenda ananipenda pia tena mno ndo mana anaumia na je hata akinisamehe baadae anaweza nilipa?ila najuta na kuona aibu.
Mwinjilisti umeanza vizuri lakini umemalizia kwa hasira sana, huyo ni kondoo aliyepotea, muelekeze kwa
upole na baadae mchape injili ili arudi kundini. Yesu angekuwa mkali hivyo hata wale mitume 12 asingepata,
na asingeweza kuacha kanisa la watu 120 kabla ya kupaa kwake.