Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 8,611
- 16,118
I can feel your pain bro, kugongewa kunauma Sana aisee..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mwanamke ananipenda sana ila sijui kwanini alinisaliti, aliomba msamaha nikamsamehe yakaisha ila nikikumbuka naumia mno sometimes.
Ila siwezi kumuacha maana hata mimi nampenda sana yaani ila shida ni kwamba nitasahau lini haya maumivu?
Acha utoto sio mama Yako huyo kusema huwez mwacha, mtafutie sababu tu au mweleze ukweli kwamba Bado una maumivu na moyo wako una kumbukumbu mbaya juu ya tukio la usaliti hivyo huwezi endelea na uhusiano nayeSasa inamaana nimuache sasaiv?? But nlishamsamehe tukaendlea na mahusiano almost 3months sasa,
Yeyo mulemule mwananguHakupendi ndiyo maana kakusaliti, sisi wanawake mpaka tuamue kusaliti jua mapenzi kwako yashaisha.
Halafu nikuambie, ni lazima atasaliti tena na mpaka umemfuma jua keshakusaliti saaana.
Hakuna sababu ya kusamehe kutombewa, ukweli ni kwamba uyo mwanamke ni malaya na wewe ni mjinga.Huyu mwanamke ananipenda sana ila sijui kwanini alinisaliti, aliomba msamaha nikamsamehe yakaisha ila nikikumbuka naumia mno sometimes.
Ila siwezi kumuacha maana hata mimi nampenda sana yaani ila shida ni kwamba nitasahau lini haya maumivu?
Mkuu hapo kazi unayo tarajia kusalitiwa tena huyo binti hakupendi.Huyu mwanamke ananipenda sana ila sijui kwanini alinisaliti, aliomba msamaha nikamsamehe yakaisha ila nikikumbuka naumia mno sometimes.
Ila siwezi kumuacha maana hata mimi nampenda sana yaani ila shida ni kwamba nitasahau lini haya maumivu?