M45
JF-Expert Member
- Aug 20, 2015
- 1,110
- 1,462
Wala huitaji kuuliza.Kazi ya laana sometimes
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wala huitaji kuuliza.Kazi ya laana sometimes
Hamna, ile ni bosheni tu, wana mijengo ya kufa mtuHebu fanya kama umepotea njia upite kwenye quarter zao uone wanavyoishi.
kazi ya nuksi sana ileWala huitaji kuuliza.
Wakati wetu haukuwa mzuri, ila sasa wr acha tu, ni neema kwa kwenda mbele,Huo upolisi kama ni mzuri sana kwanini hukwenda wewe?
Mkuu watu wananeemekaWala huitaji kuuliza.
Mkuu watu wananeemeka, na uhakika wa maisha na usalama mwanzo mwisho, hakuna hata wa kuwagusa wewe na famikia yako yate, unataka nini zaidi ya hilokazi ya nuksi sana ile
Utawafanya nini mkuu watu wako full zana?Ungesema makombati ningekuelewa Siyo hawa kijani ambao siku hasira zetu zikivuka mpaka ndo tunaanzana nao
Aisee kwenye upolisi kuwa na ubaya wa usalama ni kujitakia tu, full zana, full power we acha tuKila kitu kina mazuri yake na mabaya yake.
unaneemeka kupitia manung'uniko ya watu unaona ni sawa?Mkuu watu wananeemeka, na uhakika wa maisha na usalama mwanzo mwisho, hakuna hata wa kuwagusa wewe na famikia yako yate, unataka nini zaidi ya hilo
Jamani, ebu acha masihara basi ndugu !Acheni masihara jamani, polisi wanaishi kwa raha sana inchi hii,
Nimeipenda sana hii kazi, mwanangu nakuusia tena, ukifuzu tu fanya kazi ya upolisi
Ila kumbuka pia kuwa maadili anayotakiwa kuwa nayo Polisi, ni sawa na yale anayotakiwa kuwa nayo Mtumishi wa Mungu kwenye nyumba ya Ibada; usahau hilo tafadhaliAcheni masihara jamani, polisi wanaishi kwa raha sana inchi hii,
Nimeipenda sana hii kazi, mwanangu nakuusia tena, ukifuzu tu fanya kazi ya upolisi
SawasawaUtawafanya nini mkuu watu wako full zana?
Kuwa polisi uwe na uhakika wa maisha
Kwa hapa nchini, hata police akiwa mwanao usimwamini wala usijiweke wazi sana kwake. Akiona kuna dalili ya pesa kwako anawasontea wahuni wenzake uliwa kichwa halafu huko mbelembele anakinga mikono anakatiwa chake.Hii hii ya tanzania, yaani ni raha tu, familia nzima mnakuwa mpo salamaaaaaa
Usinikumbushe wkt tunasoma tulisoma na mtoto wa mkuu mmoja wa polosi. Sasa yeye enzi zile kila kitu chake anasema kanunua Mariedo.Kuna familia moja hapa Wilayani baba ni polisi mama ana kijibar hapa mtaani basi naye ni kama polisi vile kisa baba polisi sasa ole wako ulewe uzingue utajikuta kituoni, mtoto naye siku zingine anakaa bar majibu ya hovyooo kisa mtoto wa polisi basi naye polisi. Kifupi familia yote mapolisi naona na wewe umependa uwe baba wa polisi. Hongera
Namwachia radhiKwa hapa nchini, hata police akiwa mwanao usimwamini wala usijiweke wazi sana kwake. Akiona kuna dalili ya pesa kwako anawasontea wahuni wenzake uliwa kichwa halafu huko mbelembele anakinga mikono anakatiwa chake.
Hakuna masihara, ni kweli tupuJamani, ebu acha masihara basi ndugu !
Sio sawa, ila ukiacha wenzio wanafanya, sasa kwa nini usifanye wewe?unaneemeka kupitia manung'uniko ya watu unaona ni sawa?