Nimemshauri mwanangu akimaliza tu masomo awe polisi

Nimemshauri mwanangu akimaliza tu masomo awe polisi

Usinikumbushe wkt tunasoma tulisoma na mtoto wa mkuu mmoja wa polosi. Sasa yeye enzi zile kila kitu chake anasema kanunua Mariedo.
Sasa kuna watu wengine wakawa wananunua hivyo hivyo Kariakoo na Mtumbani huko. Wakija wanamponda. Sasa yeye akisikia moto unawaka wanagombana.
Wakigombona anawaletea kigofu aisee miye asubihi nikisikia habari ya kigofu namwangalia yule dada kwa macho ya kuogopa sana.
Bora tulimaliza bwana aliwanyoosha sana wenzie na kigofu kile, mtoto wa polisi na yeye polisi aisee.
Ndo hicho nilikua nasemea
 
Sawa ngoja akukamate kwenye magendo yako alafu akianza kukuhoji akuulize "jina lako nani?" Uanze kumjibu "inamaana mwanangu umenisahau?"
 
askari wengi wa kike hawaolewi shida nini wakuu, katika kada inayoongoza kwa masingo Maza ni hii.....
 
Sawa ngoja akukamate kwenye magendo yako alafu akianza kukuhoji akuulize "jina lako nani?" Uanze kumjibu "inamaana mwanangu umenisahau?"
Atachezea kichapo hapo hapo kituoni,

Mtoto kwa baba hakui
 
Back
Top Bottom