Mfiaukweli
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 5,636
- 8,777
....nyie Watanzania ni washamba sana, inakuwaje kwenye baa zenu mnaangalia mechi lakini sauti ya muziki inakuwa kubwa kuliko matangazo ya mechi huku nyie wote mnaangalia mechi?
Hebu nipeni jibu nimwambie.
Hebu nipeni jibu nimwambie.