Nimemsikia Sheikh Ponda akisema kuwa hakubaliana na Wizara ya Katiba na Sheria kupeleka muswada wa umri wa ndoa kuwa miaka 18

Sasa Issah Ponda ni Shehe , unataka afuate Quran au afuate Saudia ?

Vile ilivyo ngumu kumhubiri Mungu asiyebadilika kwa jamii inayobadilika
Ndivyo ilivyo ngumu kwa viongozi wa imani wasioona mabadiliko ya jamii kufundisha dini

Yaani spati picha mimi mama d nawezaje kuruhusu mabinti zangu waolewe wakiwa na miaka 14 ya kuzaliwa, yaani😰😰😰
 
Kwa Saudi Arabia ushoga ni kosa na hauruhusiwi! Acha kutafuta kichaka ambacho hakipo. Wewe huijui Quran kuliko wasaudia period. Acha akili za kibazazi
Nakuuliza siku wakiruhusu ushoga ndo itakua uislam umeruhusu? Kwakua serikali ya Saudia imeruhusu. Mbna unakimbia swali
 
Waislam Watanzania Wana uchu na uchi wa tuschana tudogo.

Ni wajinga sana, wana maujinga mengi mno.
Yaani unamkuta sheikh, kala kanzu safi na zile sendo zao na kakofia juu sigda imekubali, unasema bila shaka hapa kuna hekima na kuchukua mawili matatu, ukimsikiliza unakuta anatetea kuoa katoto ka miaka 14, aibu sana
 
Vitoto vidogo vinameza mashine hutaamini...
Hiyo ni maadili na malezi ya kwao, kiuhalisia wote tunaelewa uke wa mwanamke uko vipi sio jambo la kushangaza hili kumeza, na pia sio justification ya kuwa ni sawa kuoa katoto aisee
 
Povu la nini sasa
 
Ni hili kundi ndilo baya zaidi linataka wanawake wote walio olewa waachike hili wafanane
 
HAWA WASWAHILI WANAWAZA SANA NGONO.

Mihadharra Yao imejaa NGONO, USHOGA NK.

Maeneo yote waliokaa WAARABU wameacha USHOGA.
Akina juma, Mohamed, isa, Shaban nk

Kila siku nawaambia DINI Yao imetoka

SHETANI + VATCAN+ MAPEPO + MAJINI +MOHAMED= QURAN.
Sema kidogo ubakishe huo ushoga si ajabu mwanao akawa shoga au kahaba hata wewe
 
Yani inabidi tuambiane ukweli kwamba kupenda watoto ni Ugonjwa wa akili unaitwa pedophilia..... Sina maana mtume alikua mgonjwa msininukuu vibaya
 
Wanaume wa kiislamu wanatakiwa kupinga ndoa za utotoni
Mtoto anaweza beba mimba?au unadhani ss waisilamu hatuwajui watoto mtoto wa kike kila mwezi anatokwa damu huyo bado mtoto labda kwa akili zako wewe
 
Hii ngumi nzito sana umempiga mkuu, bila shaka ni upercut ya chembe kidevu hii
 
Kwanza kupata mtu wa kuwaoa kazi hata usipo waruhusu watajiruhusu wao kwani nyege zinawasumbua wao sio wewe itawaona watoto kumbe walisha kuwa na mashimo
 
Mbona saudia wamepindisha mambo mengi tu uislamu!! Sikiliza kijana uislamu sio saudia Arabia na haufuati mambo ya saudia Arabia ila uislamu una miongozo yke iliyopo ktk quran.

Waisamu tunafuata quran inavosema na sio saudia arabia inavosema elewa kwanza hapa tunafuata quran na sio saudia.

Hao saudia walikengeuka kwa mambo mengi tu kuhusu uislamu, kwa mfano sheria za nchi yao na sheria za uislamu haziruhusu kabisa mwanamke na mwanaume kuishi bila ndoa, ila wao cr7 alipoenda wamepindisha sheria hiyo kwasababu wanayodai cr7 anaitangaza nchi yao hivo sheria hiyo ya nchi na ya kidini haitomgusa yeye!!!

Sasa hapo unataka kusema kila kitu kinachosemwa na Saudia hata kama quran haiajsema hivo tufuate? Uislamu unaongozwa kitabu cha quran na sio nchi au mtu yoyote hapo saudia
 
Saudi Arabia si uislamu wala Qur'an. Ponda yupo sahihi kuhusu umri wa binti kuolewa kwa mujibu wa Dini ya kiislam ila hayupo sahihi katika dai la kuwa miaka 18 ni pendekezo la wakatoliki.
Kwa mujibu wa dini ya kiislam mtoto anaweza kuolewa hata akiwa na miaka 6.

Hii dini ina upumbavu mwingi sana
 
Yaani unamkuta sheikh, kala kanzu safi na zile sendo zao na kakofia juu sigda imekubali, unasema bila shaka hapa kuna hekima na kuchukua mawili matatu, ukimsikiliza unakuta anatetea kuoa katoto ka miaka 14, aibu sana
Miaka 14 kama anaziona siku zake kila mwenzi huyo sio mtoto labda kwenu nyiyi wakirisito ss waisilamu tayali huyo afaa kuolewa
 
La kufurahia mswada. Mabinti wadogo wa TZ wawe salama.
Mkuu wa wilaya njombe katunga sheria kijana atakae simama na binti miaka 15 13 12 akamatwe lakini kashindwa alidhani anaweza kumchunga mtu anae sukumwa na nyege tena huko njombe ni wakiristo wenzio niliona ukitushambulia sana kama kwamba nyiyi wakirisito hanaga nyege au mabiti walio beba ujauzito ni watoto wa kiisilamu tu
 
Kwa nini asisome? Elimu ya sekondari ni bure sasa hivi. Kwa nini mtoto asisome?

Acheni kutetea ujinga
 
Sheria zipo ili zikivunjwa pawe na uhalali wa kuadhibu. Endekeza nyege, ukutwe na binti wa miaka 10, uadhibiwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…