Nimemsikiliza Kiumakini sana Malema juu ya Kifo cha Her Majesty Queen Elizabeth na kugundua huenda akawa na Akili Kubwa kuliko 98% ya Waafrika

Nimemsikiliza Kiumakini sana Malema juu ya Kifo cha Her Majesty Queen Elizabeth na kugundua huenda akawa na Akili Kubwa kuliko 98% ya Waafrika

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Tena Julius Malema si tu anatakiwa apewe Tuzo ya Ushujaa, Ukweli na Uthubutu dhidi ya Imperialists kwa Kuwachana 'live' bali anatakiwa Ajengewe Mnara katika kila nchi Barani Afrika.

Afrika ingekuwa na akina Malema Kumi ( 10 ) tu nina uhakika si tu ingefika mbali Kimaendeleo bali pia ingeheshimika na hata Kuogopeka na Wakoloni wetu.

Wote mnaomlaumu Malema kwa Kauli yake dhidi ya Bibi wa Ukoloni Barani Afrika ( sasa Marehemu ) hamna Akili.
 
Tena Julius Malema si tu anatakiwa apewe Tuzo ya Ushujaa, Ukweli na Uthubutu dhidi ya Imperialists kwa Kuwachana 'live' bali anatakiwa Ajengewe Mnara katika kila nchi Barani Afrika.

Afrika ingekuwa na akina Malema Kumi ( 10 ) tu nina uhakika si tu ingefika mbali Kimaendeleo bali pia ingeheshimika na hata Kuogopeka na Wakoloni wetu.

Wote mnaomlaumu Malema kwa Kauli yake dhidi ya Bibi wa Ukoloni Barani Afrika ( sasa Marehemu ) hamna Akili.
Wewe popoma unafahamu nn kuhusu siasa?!
 
Tena Julius Malema si tu anatakiwa apewe Tuzo ya Ushujaa, Ukweli na Uthubutu dhidi ya Imperialists kwa Kuwachana 'live' bali anatakiwa Ajengewe Mnara katika kila nchi Barani Afrika.

Afrika ingekuwa na akina Malema Kumi ( 10 ) tu nina uhakika si tu ingefika mbali Kimaendeleo bali pia ingeheshimika na hata Kuogopeka na Wakoloni wetu.

Wote mnaomlaumu Malema kwa Kauli yake dhidi ya Bibi wa Ukoloni Barani Afrika ( sasa Marehemu ) hamna Akili.
Malema nimemfuatilia miaka mingi sana, ndio mwafrika halisi asieyumbisha maneno..
 
Tena Julius Malema si tu anatakiwa apewe Tuzo ya Ushujaa, Ukweli na Uthubutu dhidi ya Imperialists kwa Kuwachana 'live' bali anatakiwa Ajengewe Mnara katika kila nchi Barani Afrika.

Afrika ingekuwa na akina Malema Kumi ( 10 ) tu nina uhakika si tu ingefika mbali Kimaendeleo bali pia ingeheshimika na hata Kuogopeka na Wakoloni wetu.

Wote mnaomlaumu Malema kwa Kauli yake dhidi ya Bibi wa Ukoloni Barani Afrika ( sasa Marehemu ) hamna Akili.
Akina Malema wako wengi, ila tatizo ni kupata jukwaa la kuzungumza
 
Tena Julius Malema si tu anatakiwa apewe Tuzo ya Ushujaa, Ukweli na Uthubutu dhidi ya Imperialists kwa Kuwachana 'live' bali anatakiwa Ajengewe Mnara katika kila nchi Barani Afrika.

Afrika ingekuwa na akina Malema Kumi ( 10 ) tu nina uhakika si tu ingefika mbali Kimaendeleo bali pia ingeheshimika na hata Kuogopeka na Wakoloni wetu.

Wote mnaomlaumu Malema kwa Kauli yake dhidi ya Bibi wa Ukoloni Barani Afrika ( sasa Marehemu ) hamna Akili.
Jamaa una akili saaana
 
Habari yako ndugu,

Pongezi kwa nakala nzuri yenye mawaidha na tija kwa jamii. Hakiki kila mmoja ni kioo cha jamii yake.

Ndugu, nikiamini katika uchakataji wako wa mambo na uwezo wako wa fikra na ubunifu, naomba ukipendezwa, nipate KURA, mawazo au mapendekezo yako juu ya nakala ihusuyo:-


Ahsante!!
We jamaa unakera sasa, omba kura kwenye jukwaa husika sio kutupostia kwenye kila uzi.
Jifunze kuwa mstaarabu.
 
Back
Top Bottom