Nimemsikiliza Kiumakini sana Malema juu ya Kifo cha Her Majesty Queen Elizabeth na kugundua huenda akawa na Akili Kubwa kuliko 98% ya Waafrika

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Tena Julius Malema si tu anatakiwa apewe Tuzo ya Ushujaa, Ukweli na Uthubutu dhidi ya Imperialists kwa Kuwachana 'live' bali anatakiwa Ajengewe Mnara katika kila nchi Barani Afrika.

Afrika ingekuwa na akina Malema Kumi ( 10 ) tu nina uhakika si tu ingefika mbali Kimaendeleo bali pia ingeheshimika na hata Kuogopeka na Wakoloni wetu.

Wote mnaomlaumu Malema kwa Kauli yake dhidi ya Bibi wa Ukoloni Barani Afrika ( sasa Marehemu ) hamna Akili.
 
Wewe popoma unafahamu nn kuhusu siasa?!
 
Malema nimemfuatilia miaka mingi sana, ndio mwafrika halisi asieyumbisha maneno..
 
Akina Malema wako wengi, ila tatizo ni kupata jukwaa la kuzungumza
 
Jamaa una akili saaana
 
We jamaa unakera sasa, omba kura kwenye jukwaa husika sio kutupostia kwenye kila uzi.
Jifunze kuwa mstaarabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…