Nimemsikiliza Mayele kupitia Youtube Channel ya Azam TV, nadhani ana shida mahala

Umekula UPORO WAKO kwa SHEMEJI yako unakuja tukana watu..

Waarabu na wahindi Nani asie wajua ??! hio race huwa inapenda kuajir CHEAP LABOUR cc. Kalaga baho
Kwa taarifa yako ukijielewa huwezi kaa kwa mwaarabu na muhindi for your information MAYELE amesha jipata

Unafananisha TIMU Kama PSG na Timu za third world countries?? Brain your eyes 🧠

Tatizo lenu wengi Ni mbumbumbu na hamtaki kujifunza mayele kasema yake ya moyoni wewe unambishia

Unakuta mtu anakuatack from know where, LOW MIND , POOR IQ na kitu pekee anacho MILIKI NI BEGI LAKE LA NGUO na Cha zaidi anacho nizidi PEKEE Ni Ujinga alio ubeba kichwani mwake..
 
Hata waajiri wake wa Sasa ni waarabu hapo vipi?
 
😂😂😂....unajifunza philosofi au uongozi mkuu? Don't be that seriousl. Wapuuzi pia Wana haki ya kusikilizwa
 
Hata waajiri wake wa Sasa ni waarabu hapo vipi?
Issue sio waajir wala Nini MAYELE anaangalia maslahi yake kwa Ile confidence yake kwa ma boss wake wa pyramids Hana Cha kupoteza..

wewe Ni kijana mwenzangu SIKU ingine kwenye deals wewe angalia masilah yako sio KUCHEKA CHEKA na KIMA wahenga wanasema UTAVUNA MABUA

Mimi kama kijana nimemsikiliza MAYELE kwa umakini ame speak his MIND naamini yupo sahihi kwa upande wake
 
Viongozi wa Simba ni watu wa ajabu sana, jana nlikuwa nasikiliza EFM kipindi cha michezo yaani watangazaji wanagombana!

Kuna kikundi cha watangazaji wanaolipwa na MO wanatetea ugali wao na kuna wanaolipwa na viongozi kila mtu anamtetea sponsor wake, mpaka mmoja akawa anasema jana yake alikuwa na kiongoz wa Simba wanachek naye game[emoji3][emoji3]

Na hili la Mayele nahisi naye kapewa chake, yaani viongozi wanawekeza kwenye propaganda kuliko kwenye timu[emoji1787][emoji1787][emoji56]
 
Kwanini watu wajinga mna confidence sana? Mayele ametoka kwa GSM mwarabu kaenda Pyramid kwa waarabu na tetesi zinasema anakuja kwa Mhindi Mo sasa unaongea nini? alf kama unaona kukaa kwa shemeji ni rahisi nanda kakae na wewe uone
 
Kifupi wewe ni mpumbafu ila hujijui, Maslahi gani kwani halipwi mshahara wake?
 
Kwanini watu wajinga mna confidence sana? Mayele ametoka kwa GSM mwarabu kaenda Pyramid kwa waarabu na tetesi zinasema anakuja kwa Mhindi Mo sasa unaongea nini? alf kama unaona kukaa kwa shemeji ni rahisi nanda kakae na wewe
That reminds me of our proverb Which says that " An Elephant 🐘 that swims in coconut oil doesn't use ATM to buy meat from the pharmacy.🙂
 
Anaijua Yanga ...keshacheza...na waganga wa Timu anawajua...anawalalamikia kwanini wanataka kumshughulikia kisa kahama Tu Yanga?
Kama unakumbuka mayele alishaandika kuwa amenyimwa visa ya south africa kimizengwe ili tu asiende na timu yake kucheza na mameoldy na kocha wa mamelody alimjibu kuwa Mayele aachane na maisha ya mtandaoni...kila mmoja aliishangaa mno kauli ile yaani mamelody aiogope pyramids kweli ?
 
We ni jamaa ni mjinga sana tena sana
Vipi simba walivyotaka kuchoma moto vs orlando tena wazi wazi ugenini

Timu zote Tanzania zinaamini kwenye ushirikina tuacheni unafki juzi tu hapa simba vs mashujaa chamazi mshabiki wa simba kaenda kuchimbua kitu na kuondoka na taulo la kipa wa mshujaa mpaka tff imemsimamisha

Acha unafki we mtu mzima kama uchawi ungekua una nguvu nigeria ingekua inachukua worldcup kila siku
 
Pamoja na ujinga wa Mayele ila timu za Africa esp huku kwetu chini ya jangwa la sahara wakishajua tu huelewi mambo ya mikataba au lugha na mwakilishi wako haelewi unaweza umizwa mno.
 
Haya ndio maneno wabongo wanapenda huku wanajifanya kukwazika. Kama mmeshamwona ni mwezi mchanga mnamfuata wa nini kumhoji? Mnatafuta nini kwenye page zake? Si alishaondoka timu yenu na nchi yenu? Ninyi ndio hamnazo. Halafu kule mnakowapeleka wachezaji wakati wa mechi ngumu kumbukeni siku wakiondoka kwenye timu zenu hizo Siri wanazitoa. Sio wachezaji wote Wana tamaduni hizo wengine wanafanya kwa kulazimishwa na kulinda ajira zao. Halafu siku ya mechi. Eti tumwbe Mungu huku mnajua mambo ambayo meshafanya ambayo hayamuhusishi mungu
 
Yote ktk yote, hapo ulipozungumza kuhusu mshahara umezungumza penyewe, jamaa ni kama anajiona ameshayaweza maisha.
 
Simba wanachezeshwa Danganya Toto , kanyaboya
na wanapotezwa maboya ila hawaelewi.

Mangungu kawekwa na Selikali.

Try agian kawekwa simba na selikali.

Mayele kapiga hela ndefu sana kuwahadaa wana simba na wamehadaika vibaya.
 
Pamoja na ujinga wa Mayele ila timu za Africa esp huku kwetu chini ya jangwa la sahara wakishajua tu huelewi mambo ya mikataba au lugha na mwakilishi wako haelewi unaweza umizwa mno.
Wachezaji wengi wa kigeni wanapokuja Tanzania wanakua wamekaa mda mrefy bila kuwa na timu wengi ni free agent wengine wamekaa miezi sita hawana timu na wengine hata mwaka sasa mtu amekaa mda mrefu bila timu unampaje mkataba mzuri mda mwingine hizi timu zinalaumiwa bure tu

Mayele angekua mchezaji mzuri congo asingekuja Yanga in first place angeenda timu kubwa zaidi ya yanga huo ndo ukweli
 
Simba wanachezeshwa Danganya Toto , kanyaboya
na wanapotezwa maboya ila hawaelewi.

Mangungu kawekwa na Selikali.

Try agian kawekwa simba na selikali.

Mayele kapiga hela ndefu sana kuwahadaa wana simba na wamehadaika vibaya.
Kupitia sakata la mayele mashabiki wa simba wameshasahau kwamba wametolewa kombe la FA ni propaganda wanafanya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…