Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Umekula UPORO WAKO kwa SHEMEJI yako unakuja tukana watu..Kua real sio kuropoka acha ujinga, unawezaje kusema waarabu sio watu wazuri wakati huo huo umeajiliwa na waarabu unaishi kwao kila kitu unapata kutoka kwao! anasema hua hakai kwenye timu msimu zaidi ya miwili wakati hata mmoja haja maliza na ali sign miaka mitatu maana yake coach aanze kumtoa kwenye mipango yake au ili iweje? Mbappe huyo apo inafahamika anaondoka PSG lakini anasema msimu ukiisha ndio ataongea hatima yake
Waarabu na wahindi Nani asie wajua ??! hio race huwa inapenda kuajir CHEAP LABOUR cc. Kalaga baho
Kwa taarifa yako ukijielewa huwezi kaa kwa mwaarabu na muhindi for your information MAYELE amesha jipata
Unafananisha TIMU Kama PSG na Timu za third world countries?? Brain your eyes 🧠
Tatizo lenu wengi Ni mbumbumbu na hamtaki kujifunza mayele kasema yake ya moyoni wewe unambishia
Unakuta mtu anakuatack from know where, LOW MIND , POOR IQ na kitu pekee anacho MILIKI NI BEGI LAKE LA NGUO na Cha zaidi anacho nizidi PEKEE Ni Ujinga alio ubeba kichwani mwake..