Nimemsikiliza Padre Kitima. Hoja zake zimejikita kwenye hofu zaidi. Sijaoona kipengele kibaya kwenye mkataba

Yeye alikuwa rais na ndio mwenye access na hiyo mikataba, na alitamka hilo hadharani. Kwanini hukujitokeza umuombe mkataba?
Kwani Rais sio binadamu kama wewe? Hawezi kuongopa? hawezi kuwa na hisia? Umeshawai kunisikia nikisema kweli gesi ya mtwara imeuzwa?
Bila uthibitisho hayo ni maneno tu ambayo mtu yeyote anaweza kuyaongea.
 
Hata kwenye gesi mlisema hivyo hivyo, Leo mmebakia kukopa madeni. Wadanganyeni wengine.
 
Wewe unawaza uchaguzi tu. Siasa haziendi hivyo. Unawaza 2030 wakati hata hujui mwezi ujao utakuwaje?.
 
Kila siku Huwa nawaambia Wajamaa ni watu wajinga sana na msingi wa mambo Yao Huwa ni hisia hasi na kujihami mda wote,wanachoogopa Wala hakieleweki
Wanaogopa tangu historia mbaya ya serikali. Mkataba wa NBC, Mkataba wa Netsolutions na Tanesco, Mkataba wa TRL na Serikali, mkataba wa bomba la gesi, IPTL etc yote hayo yalishindikana. Lazima wanachi wawe na hofu. Wewe Kama huna hofu utakuwa mnafiki au chawa.
 
Kuna kitu ambacho si chema.....kuzaliwa....
 
Hizi taharuki kuhusu mkataba zimezagaa Nchi nzima,naona Wananchi wengi sasa wanapata habari zao twitter.

Alamsiki
 
Hata watetezi wa uuzwaji wa gas yetu huko Mtwara walikuwa wanakuja na utetezi na mbwembwe kama hizi zako. Leo hii imefahamika gas sio yetu, umemuona yoyote katika waliouza gas ile wakijitokeza kutetea uhuni ule?
Nikikumbuka stori za gesi ya mtwara nachoka kabisa. Watu wasio na hatia walipoteza maisha wilayani Masasi wakati wa maandamano ya kupinga gesi kusafirishwa kwenda Dar.Siasa hizi
 
Unaandika vijimaneno viwili vitatu unaita uchambuzi

Halafu unasema hujaona chochote.

Hapo kwa njaa zako unapigia mahesabu mahela ya waarabu watakayo kuita wakupe.
 
Wewe unadai ni mwanasheria na unakuwa na fikra za aina hii kama ulivyoeleza hapa?

God have mercy upon us!

Hayo mengine uliyoandika huko juu, kama unadhani ni "hofu" tu ya Padre; sasa wewe tusemeje kwa unavyojiaminisha kutokuwa na hafu juu ya mkataba huo? Wewe ndiye utakuwa unasimamia utekelezaji wake?

Hakuna lolote la maana katika andiko zima uliloweka hapa, ila ni mwendelezo tu wa fikra potofu ambazoimekuwa kama ni jadi yako.
 
Ni namna ya kuwasilisha hasa kwa watumishi wa kanisa. Anajaribu kumantain neutrality.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…