Nimemsikiliza Padre Kitima. Hoja zake zimejikita kwenye hofu zaidi. Sijaoona kipengele kibaya kwenye mkataba

Nimemsikiliza Padre Kitima. Hoja zake zimejikita kwenye hofu zaidi. Sijaoona kipengele kibaya kwenye mkataba

Tangu mjadala wa makubaliano ya Tanzania na Dubai kuhusu masuala ya uwekezaji ikiwemo bandari uanze, hadi sasa sijaona mtu aliyesema kuhusu ubaya wowote wa kipengele cha mkataba na akakidadavua vizuri kisheria nikamuelewa.

Mimi ni mwanasheria, nimesoma mkataba, nimesoma maelezo ya Serikali kuhusu mkataba kusema kweli sijaona hoja za wanaopinga zaidi ya kuelezea hofu zao na tahadhari zao.

Leo nimemsikiliza Padre Kitima ambaye nae pia ameelezea hofu yake kuhusu mkataba ikiwemo vifungu kadhaa. Kusema kweli hakuna alipoweza kusema kuhusu mapungufu ya kipengele chochote zaidi ya kuelezea hofu yake na kuweka tahadhari

Padre Kitima ameelezea kuhusu suala la Ardhi na kusema kweli hakuna sehemu katika mkataba paliposema mwekezaji atamilikishwa ardhi. Nilitegemea atakisema hicho kifungu na kukisoma ila nimemsikiliza zaidi nimeona nae kapiga siasa tu. Kwa nilivyokisoma kifungu cha 8 (3)(b) cha mkataba kimesema wazi haki za kutumia ardhi zitatolewa kwa mujibu wa Sheria na taratibu zetu na inajulikana kwenye sheria zetu mwekezaji hapewi haki ya kumiliki ardhi ila haki ya matumizi tu ya ardhi kwa ajili ya uwekezaji( derivative right)

kuhusu ulinzi na usalama wa bandari. hakuna kipengele chochote kwenye mkataba kilichosema mwekezaji atasimamia masuala ya ulinzi na usalama katika bandari. hata mwekezaji aliyepita tics aliyekuwa anaendesha sehemu ya bandari yetu hakuwahi kusimamia masuala ya ulinzi na usalama. Hapa pia Padre wangu Kitima ameelezea hofu tu na wala sio ubaya wa mkataba kwa kudadavua vizuri

Kuhusu Serikali kuwataarifu Dubai kuhusu fursa zingine za uwekezaji (Ibara ya 4) kusema kweli sijaona tatizo lolote kuhusu kifungu hiki. Ningeelewa kuwa kuna tatizo juu ya hichi kifungu endapo kingesema Serikali italazimika kuwapa maeneo hayo baada ya kuwataarifu. Sioni tatizo lolote kuhusu mtu kutaarifiwa tu kuhusu fursa zilizopo. Kwenye hili naona tafsiri isiyo sahihi na hofu isiyokuwepo inayolazimishwa kuwepo.


Mwisho ameelezea sehemu wawekezaji hawa walipofanikiwa na kuna sehemu amesema hawajafanikiwa. Hili sioni kama ni hoja maana mifano mizuri inaweza kuwa kwetu

Mwisho Padre Kitima amesema kuhusu Loliondo. Kusema kweli hapa naona amekuwa mwanasiasa maana sioni hoja yake kuhusu watu waliopelekwa msomera kulalamika kwa sababu hata kwa watumishi wa Umma waliopelekwa Dodoma wapo waliolalamika na kusema wanapata changamoto Dodoma! Sasa ninachojiuliza ni Je kwa wale waliolalamika inamaanisha zoezi la kuwahamishia watumishi wa serikali Dodoma halikuwa zoezi zuri lenye maslahi mazuri kwa nchi?
Kila jambo tunalifanya kwa sababu ya HOFU.

1. Tunalima kwa sababu ya HOFU ya kukosa chakula
2. Tunavaa Condom kwa HOFU ya kupata maambukizi
3. tunafanya DNA test kwa HOFU ya kubambikiwa watoto
4. Tuna majeshi kwa HOFU ya Usalama wetu
5. Tunasali/tunaswali kwa HOFU ya adhabu huko Ahela.
6. Tunajenga madaraja kwa HOFU ya kusombwa na Maji.
7. Tunajenga Msingi Imara wa nyumba kwa HOFU ya nyumba kuanguka
8. Tumezuia Watoto wadogo kwenda Bweni kwa HOFU ya Kulawitiwa
9. Tunavuna Maji kwa HOFU ya kukosa maji
10. Tunalinda Rasilimali zetu kwa HOFU ya kunyang'anywa na Wakoloni Mamboleo
11. HOFU NDO MSINGI WA KILA KITU. Waarabu wana kwao
 
Wewe unadai ni mwanasheria na unakuwa na fikra za aina hii kama ulivyoeleza hapa?

God have mercy upon us!

Hayo mengine uliyoandika huko juu, kama unadhani ni "hofu" tu ya Padre; sasa wewe tusemeje kwa unavyojiaminisha kutokuwa na hafu juu ya mkataba huo? Wewe ndiye utakuwa unasimamia utekelezaji wake?

Hakuna lolote la maana katika andiko zima uliloweka hapa, ila ni mwendelezo tu wa fikra potofu ambazoimekuwa kama ni jadi yako.
Nimefanya uchambuzi wangu kuthibitisha kuwa ni hofu tu na kwenye mkataba hakuna shida. Weka uchambuzi wako kuonesha mkataba una shida. Hili ni jukwaa huru
 
Tangu mjadala wa makubaliano ya Tanzania na Dubai kuhusu masuala ya uwekezaji ikiwemo bandari uanze, hadi sasa sijaona mtu aliyesema kuhusu ubaya wowote wa kipengele cha mkataba na akakidadavua vizuri kisheria nikamuelewa.

Mimi ni mwanasheria, nimesoma mkataba, nimesoma maelezo ya Serikali kuhusu mkataba kusema kweli sijaona hoja za wanaopinga zaidi ya kuelezea hofu zao na tahadhari zao.

Leo nimemsikiliza Padre Kitima ambaye nae pia ameelezea hofu yake kuhusu mkataba ikiwemo vifungu kadhaa. Kusema kweli hakuna alipoweza kusema kuhusu mapungufu ya kipengele chochote zaidi ya kuelezea hofu yake na kuweka tahadhari

Padre Kitima ameelezea kuhusu suala la Ardhi na kusema kweli hakuna sehemu katika mkataba paliposema mwekezaji atamilikishwa ardhi. Nilitegemea atakisema hicho kifungu na kukisoma ila nimemsikiliza zaidi nimeona nae kapiga siasa tu. Kwa nilivyokisoma kifungu cha 8 (3)(b) cha mkataba kimesema wazi haki za kutumia ardhi zitatolewa kwa mujibu wa Sheria na taratibu zetu na inajulikana kwenye sheria zetu mwekezaji hapewi haki ya kumiliki ardhi ila haki ya matumizi tu ya ardhi kwa ajili ya uwekezaji( derivative right)

kuhusu ulinzi na usalama wa bandari. hakuna kipengele chochote kwenye mkataba kilichosema mwekezaji atasimamia masuala ya ulinzi na usalama katika bandari. hata mwekezaji aliyepita tics aliyekuwa anaendesha sehemu ya bandari yetu hakuwahi kusimamia masuala ya ulinzi na usalama. Hapa pia Padre wangu Kitima ameelezea hofu tu na wala sio ubaya wa mkataba kwa kudadavua vizuri

Kuhusu Serikali kuwataarifu Dubai kuhusu fursa zingine za uwekezaji (Ibara ya 4) kusema kweli sijaona tatizo lolote kuhusu kifungu hiki. Ningeelewa kuwa kuna tatizo juu ya hichi kifungu endapo kingesema Serikali italazimika kuwapa maeneo hayo baada ya kuwataarifu. Sioni tatizo lolote kuhusu mtu kutaarifiwa tu kuhusu fursa zilizopo. Kwenye hili naona tafsiri isiyo sahihi na hofu isiyokuwepo inayolazimishwa kuwepo.


Mwisho ameelezea sehemu wawekezaji hawa walipofanikiwa na kuna sehemu amesema hawajafanikiwa. Hili sioni kama ni hoja maana mifano mizuri inaweza kuwa kwetu

Mwisho Padre Kitima amesema kuhusu Loliondo. Kusema kweli hapa naona amekuwa mwanasiasa maana sioni hoja yake kuhusu watu waliopelekwa msomera kulalamika kwa sababu hata kwa watumishi wa Umma waliopelekwa Dodoma wapo waliolalamika na kusema wanapata changamoto Dodoma! Sasa ninachojiuliza ni Je kwa wale waliolalamika inamaanisha zoezi la kuwahamishia watumishi wa serikali Dodoma halikuwa zoezi zuri lenye maslahi mazuri kwa nchi?
Wewe huna akili au unatokea zanzibar
 
Kila jambo tunalifanya kwa sababu ya HOFU.

1. Tunalima kwa sababu ya HOFU ya kukosa chakula
2. Tunavaa Condom kwa HOFU ya kupata maambukizi
3. tunafanya DNA test kwa HOFU ya kubambikiwa watoto
4. Tuna majeshi kwa HOFU ya Usalama wetu
5. Tunasali/tunaswali kwa HOFU ya adhabu huko Ahela.
6. Tunajenga madaraja kwa HOFU ya kusombwa na Maji.
7. Tunajenga Msingi Imara wa nyumba kwa HOFU ya nyumba kuanguka
8. Tumezuia Watoto wadogo kwenda Bweni kwa HOFU ya Kulawitiwa
9. Tunavuna Maji kwa HOFU ya kukosa maji
10. Tunalinda Rasilimali zetu kwa HOFU ya kunyang'anywa na Wakoloni Mamboleo
11. HOFU NDO MSINGI WA KILA KITU. Waarabu wana kwao
Mimi sifanyi mambo yangu kwa sababu ya hofu.
 
Ni namna ya kuwasilisha hasa kwa watumishi wa kanisa. Anajaribu kumantain neutrality.
Angefanya ufafanuzi kuonesha makosa at least tungeona hoja yake iko wapi? Kwa watanzania wengi wasiopenda kusoma wanaweza muona ana hoja kweli ila kumbe kuihalisia hakuna hoja ya msingi
 
Kila jambo tunalifanya kwa sababu ya HOFU.

1. Tunalima kwa sababu ya HOFU ya kukosa chakula
2. Tunavaa Condom kwa HOFU ya kupata maambukizi
3. tunafanya DNA test kwa HOFU ya kubambikiwa watoto
4. Tuna majeshi kwa HOFU ya Usalama wetu
5. Tunasali/tunaswali kwa HOFU ya adhabu huko Ahela.
6. Tunajenga madaraja kwa HOFU ya kusombwa na Maji.
7. Tunajenga Msingi Imara wa nyumba kwa HOFU ya nyumba kuanguka
8. Tumezuia Watoto wadogo kwenda Bweni kwa HOFU ya Kulawitiwa
9. Tunavuna Maji kwa HOFU ya kukosa maji
10. Tunalinda Rasilimali zetu kwa HOFU ya kunyang'anywa na Wakoloni Mamboleo
11. HOFU NDO MSINGI WA KILA KITU. Waarabu wana kwao
Asitwambie kitu huyu mwanasheria!
Wasiwasi ndiyo akili shehe.
Na akili za kuambiwa changanya na zako
 
Wanaogopa tangu historia mbaya ya serikali. Mkataba wa NBC, Mkataba wa Netsolutions na Tanesco, Mkataba wa TRL na Serikali, mkataba wa bomba la gesi, IPTL etc yote hayo yalishindikana. Lazima wanachi wawe na hofu. Wewe Kama huna hofu utakuwa mnafiki au chawa.
This time Serikali imeweka wazi,hapo awali hiyo unayosema ilikuwa wazi?
Serikali imeweka wazi na imeelezea faida zake,kinachoinekana ni hasara ziko kwenye hisia kuliko uhalisia..

Hoja ya sijui ukijifunga hakuna kuvunja mkataba imejibiwa
Bandari kuuzwa imejibiwa
Usalama wamejibu
N.k.nk Sasa shida Iko wapi?

My Take
Kila siku nawaambia ogopa sana Wajamaa Huwa ni watu wa hovyo sana,wanaongozwa Kwa vitu vya hiasia,Imani na hofu za kipuuzi bila hoja..
 
Uko sahihi kabisa. Ninachokiona ni hisia hasi na kujihami zaidi kuliko uhalisia
Serikali imejibu hoja zote Sasa shida Iko wapi? Na uzuri Kila kitu kumewekwa Bungeni..

Mengine yamesalia ni hisia za kipuuzi na wapuuzi wanatumia kujitafutia umaarufu wa Kisiasa.
 
Tangu mjadala wa makubaliano ya Tanzania na Dubai kuhusu masuala ya uwekezaji ikiwemo bandari uanze, hadi sasa sijaona mtu aliyesema kuhusu ubaya wowote wa kipengele cha mkataba na akakidadavua vizuri kisheria nikamuelewa.

Mimi ni mwanasheria, nimesoma mkataba, nimesoma maelezo ya Serikali kuhusu mkataba kusema kweli sijaona hoja za wanaopinga zaidi ya kuelezea hofu zao na tahadhari zao.

Leo nimemsikiliza Padre Kitima ambaye nae pia ameelezea hofu yake kuhusu mkataba ikiwemo vifungu kadhaa. Kusema kweli hakuna alipoweza kusema kuhusu mapungufu ya kipengele chochote zaidi ya kuelezea hofu yake na kuweka tahadhari

Padre Kitima ameelezea kuhusu suala la Ardhi na kusema kweli hakuna sehemu katika mkataba paliposema mwekezaji atamilikishwa ardhi. Nilitegemea atakisema hicho kifungu na kukisoma ila nimemsikiliza zaidi nimeona nae kapiga siasa tu. Kwa nilivyokisoma kifungu cha 8 (3)(b) cha mkataba kimesema wazi haki za kutumia ardhi zitatolewa kwa mujibu wa Sheria na taratibu zetu na inajulikana kwenye sheria zetu mwekezaji hapewi haki ya kumiliki ardhi ila haki ya matumizi tu ya ardhi kwa ajili ya uwekezaji( derivative right)

kuhusu ulinzi na usalama wa bandari. hakuna kipengele chochote kwenye mkataba kilichosema mwekezaji atasimamia masuala ya ulinzi na usalama katika bandari. hata mwekezaji aliyepita tics aliyekuwa anaendesha sehemu ya bandari yetu hakuwahi kusimamia masuala ya ulinzi na usalama. Hapa pia Padre wangu Kitima ameelezea hofu tu na wala sio ubaya wa mkataba kwa kudadavua vizuri

Kuhusu Serikali kuwataarifu Dubai kuhusu fursa zingine za uwekezaji (Ibara ya 4) kusema kweli sijaona tatizo lolote kuhusu kifungu hiki. Ningeelewa kuwa kuna tatizo juu ya hichi kifungu endapo kingesema Serikali italazimika kuwapa maeneo hayo baada ya kuwataarifu. Sioni tatizo lolote kuhusu mtu kutaarifiwa tu kuhusu fursa zilizopo. Kwenye hili naona tafsiri isiyo sahihi na hofu isiyokuwepo inayolazimishwa kuwepo.


Mwisho ameelezea sehemu wawekezaji hawa walipofanikiwa na kuna sehemu amesema hawajafanikiwa. Hili sioni kama ni hoja maana mifano mizuri inaweza kuwa kwetu

Mwisho Padre Kitima amesema kuhusu Loliondo. Kusema kweli hapa naona amekuwa mwanasiasa maana sioni hoja yake kuhusu watu waliopelekwa msomera kulalamika kwa sababu hata kwa watumishi wa Umma waliopelekwa Dodoma wapo waliolalamika na kusema wanapata changamoto Dodoma! Sasa ninachojiuliza ni Je kwa wale waliolalamika inamaanisha zoezi la kuwahamishia watumishi wa serikali Dodoma halikuwa zoezi zuri lenye maslahi mazuri kwa nchi?
Naona umejijengea hofu.

Huu mkataba ni wa Watanzania. Unajadili hoja ya mtu anayehoji contents za mkataba.

Ulipaswa kuja na hoja zenye mashiko kuliko hadithi za abunuwasi hapa kumjibu mtoa hoja.

Hebu tupe mfano mzuri mmoja wa mkataba wa ubinafsishaji yaani ukodishaji au upangishaji baina ya serikali na wageni uliowahi kufanikiwa.

Pia kumbuka hoja kuwa serikali imeshindwa kusimamia na hao wageni watapandisha tija ili kuchangia bajeti ya nchi kwa 67%, leta elimu hapa kwa nini na hasa maeneo gani tumeshindwa kusimamia.

Serikali inapofika mahala inasema jambo hili au lile wameshindwa maana yake ni kwamba CCM imeshindwa hivyo badala ya kung'ang'ania kwa mitutu madarakani wawapishe wengine waendelee pale walipoishia.

Naomba kufahamu, hivi Kibajaji au Msukuma wana utaalam gani wa kudeal na mikataba?

Kwa mtazamo wangu ni kwamba, kama serikali iliupeleka Bungeni Mkataba huo kwahoja za jumla na hakuna kifungu kwa kifungu kilichojadiliwa na kupitishwa, maana yake ni kwamba wewe na wenzako mnaoupigia chapuo mkataba hamjui hata nini mnasimamia zaidi ya kutetea chama
 
Wewe umemsiliza wap mbona tofauti na maelezo yako, Father Kitima yupo smart sana na kuelezea kwa ufasaha
 
This time Serikali imeweka wazi,hapo awali hiyo unayosema ilikuwa wazi?
Serikali imeweka wazi na imeelezea faida zake,kinachoinekana ni hasara ziko kwenye hisia kuliko uhalisia..

Hoja ya sijui ukijifunga hakuna kuvunja mkataba imejibiwa
Bandari kuuzwa imejibiwa
Usalama wamejibu
N.k.nk Sasa shida Iko wapi?

My Take
Kila siku nawaambia ogopa sana Wajamaa Huwa ni watu wa hovyo sana,wanaongozwa Kwa vitu vya hiasia,Imani na hofu za kipuuzi bila hoja..
Sheria ipi imerumika kuuweka wazi?
Au ni utashi wa Hangaya?

Ndugu sikiliza.
Shida siyo kukodisha, kupangisha wala kushirikiana. Tatizo ni contents za mkataba. Tatizo ni proccess za kufikia utekelezaji wake.

Kila mwenye akili timamu anahitaji kuona mabadiliko ya kiutendaji yenye tija. Unazinanga serikali zilizopita kuwa hazikuwa na uwazi lakini hizo serikali zilikuwa za chama gani? Huu uwazi unaoongelewa leo umeletwa kwa sheria gani?

Wapuuzi na wapumbavu ndiyo huamini kuwa akishakuwa kiongozi basi anakuwa mwenye akili kuliko anaowaongoza.
 
Afaddhalli viongozi wa dini wameketi chini na angalau kuthubutu kudadavua na kuishauri serikali kwa uchache kuhusu Bandari, better wameungana na miongoni mwa waTz kuonyesha hofu. Vyama vya Siasa na taasisisi za kiraia vipo kimya haijulikani wanaunga mkono ama wanapinga. Sijui, labda wanajipanga. Kwa style hii 2025 njia ni nyeupe na nyepesi mno kwa Mama kurejea Mamlakani. Na 2030, vilevile yeyote atakae simamishwa na ruling party atashinda kwa kishindo kwasabb atakua mpya while opposition still watakua ni walewale wagombea Urais wa miaka yote.
Hivi we hujaona vyama vya siasa vinavyoupinga mkataba huo? Au huna macho. Hujaona bunge linavyomshambulia mbowe karibu nusu ya mijadala ya nibowe. Hujaona lisu anavyosema mkataba wa hovyo kiwahi kutokea. Hujasikia mange kimambi anavyotusemea na kusema wewe. Au hujua mana ya vyama vya siasa na makundo ya kiraia. Au makundi ya kiraia kwako ni mapadre tu
 
Tangu mjadala wa makubaliano ya Tanzania na Dubai kuhusu masuala ya uwekezaji ikiwemo bandari uanze, hadi sasa sijaona mtu aliyesema kuhusu ubaya wowote wa kipengele cha mkataba na akakidadavua vizuri kisheria nikamuelewa.

Mimi ni mwanasheria, nimesoma mkataba, nimesoma maelezo ya Serikali kuhusu mkataba kusema kweli sijaona hoja za wanaopinga zaidi ya kuelezea hofu zao na tahadhari zao.

Leo nimemsikiliza Padre Kitima ambaye nae pia ameelezea hofu yake kuhusu mkataba ikiwemo vifungu kadhaa. Kusema kweli hakuna alipoweza kusema kuhusu mapungufu ya kipengele chochote zaidi ya kuelezea hofu yake na kuweka tahadhari

Padre Kitima ameelezea kuhusu suala la Ardhi na kusema kweli hakuna sehemu katika mkataba paliposema mwekezaji atamilikishwa ardhi. Nilitegemea atakisema hicho kifungu na kukisoma ila nimemsikiliza zaidi nimeona nae kapiga siasa tu. Kwa nilivyokisoma kifungu cha 8 (3)(b) cha mkataba kimesema wazi haki za kutumia ardhi zitatolewa kwa mujibu wa Sheria na taratibu zetu na inajulikana kwenye sheria zetu mwekezaji hapewi haki ya kumiliki ardhi ila haki ya matumizi tu ya ardhi kwa ajili ya uwekezaji( derivative right)

kuhusu ulinzi na usalama wa bandari. hakuna kipengele chochote kwenye mkataba kilichosema mwekezaji atasimamia masuala ya ulinzi na usalama katika bandari. hata mwekezaji aliyepita tics aliyekuwa anaendesha sehemu ya bandari yetu hakuwahi kusimamia masuala ya ulinzi na usalama. Hapa pia Padre wangu Kitima ameelezea hofu tu na wala sio ubaya wa mkataba kwa kudadavua vizuri

Kuhusu Serikali kuwataarifu Dubai kuhusu fursa zingine za uwekezaji (Ibara ya 4) kusema kweli sijaona tatizo lolote kuhusu kifungu hiki. Ningeelewa kuwa kuna tatizo juu ya hichi kifungu endapo kingesema Serikali italazimika kuwapa maeneo hayo baada ya kuwataarifu. Sioni tatizo lolote kuhusu mtu kutaarifiwa tu kuhusu fursa zilizopo. Kwenye hili naona tafsiri isiyo sahihi na hofu isiyokuwepo inayolazimishwa kuwepo.


Mwisho ameelezea sehemu wawekezaji hawa walipofanikiwa na kuna sehemu amesema hawajafanikiwa. Hili sioni kama ni hoja maana mifano mizuri inaweza kuwa kwetu

Mwisho Padre Kitima amesema kuhusu Loliondo. Kusema kweli hapa naona amekuwa mwanasiasa maana sioni hoja yake kuhusu watu waliopelekwa msomera kulalamika kwa sababu hata kwa watumishi wa Umma waliopelekwa Dodoma wapo waliolalamika na kusema wanapata changamoto Dodoma! Sasa ninachojiuliza ni Je kwa wale waliolalamika inamaanisha zoezi la kuwahamishia watumishi wa serikali Dodoma halikuwa zoezi zuri lenye maslahi mazuri kwa nchi?
Tatizo lako kwa kitima ni kwa sababu yeye ni father Kitima.Lakini ukweli hata sisi wanataaluma wenzako tunaona tatizo kwenye mkataba sio tu kwenye vipengele bali kuanzia kwenye recitals,parties,terms na conclusion.Nilisikitika sana kuona wataalamu hawakufanya homework Yao vizuri kabla ya kukimbia nao bungeni.
 
Sheria ipi imerumika kuuweka wazi?
Au ni utashi wa Hangaya?

Ndugu sikiliza.
Shida siyo kukodisha, kupangisha wala kushirikiana. Tatizo ni contents za mkataba. Tatizo ni proccess za kufikia utekelezaji wake.

Kila mwenye akili timamu anahitaji kuona mabadiliko ya kiutendaji yenye tija. Unazinanga serikali zilizopita kuwa hazikuwa na uwazi lakini hizo serikali zilikuwa za chama gani? Huu uwazi unaoongelewa leo umeletwa kwa sheria gani?

Wapuuzi na wapumbavu ndiyo huamini kuwa akishakuwa kiongozi basi anakuwa mwenye akili kuliko anaowaongoza.
Hamjui mnachotaka,isipowekwa wazi mnauliza ,iliwekwa wazi mnauliza , upuuzi mtupu..

Pili Contents zimefanya nini? Kwa mfano content ipi kwako ni shida?
 
Tangu mjadala wa makubaliano ya Tanzania na Dubai kuhusu masuala ya uwekezaji ikiwemo bandari uanze, hadi sasa sijaona mtu aliyesema kuhusu ubaya wowote wa kipengele cha mkataba na akakidadavua vizuri kisheria nikamuelewa.

Mimi ni mwanasheria, nimesoma mkataba, nimesoma maelezo ya Serikali kuhusu mkataba kusema kweli sijaona hoja za wanaopinga zaidi ya kuelezea hofu zao na tahadhari zao.

Leo nimemsikiliza Padre Kitima ambaye nae pia ameelezea hofu yake kuhusu mkataba ikiwemo vifungu kadhaa. Kusema kweli hakuna alipoweza kusema kuhusu mapungufu ya kipengele chochote zaidi ya kuelezea hofu yake na kuweka tahadhari

Padre Kitima ameelezea kuhusu suala la Ardhi na kusema kweli hakuna sehemu katika mkataba paliposema mwekezaji atamilikishwa ardhi. Nilitegemea atakisema hicho kifungu na kukisoma ila nimemsikiliza zaidi nimeona nae kapiga siasa tu. Kwa nilivyokisoma kifungu cha 8 (3)(b) cha mkataba kimesema wazi haki za kutumia ardhi zitatolewa kwa mujibu wa Sheria na taratibu zetu na inajulikana kwenye sheria zetu mwekezaji hapewi haki ya kumiliki ardhi ila haki ya matumizi tu ya ardhi kwa ajili ya uwekezaji( derivative right)

kuhusu ulinzi na usalama wa bandari. hakuna kipengele chochote kwenye mkataba kilichosema mwekezaji atasimamia masuala ya ulinzi na usalama katika bandari. hata mwekezaji aliyepita tics aliyekuwa anaendesha sehemu ya bandari yetu hakuwahi kusimamia masuala ya ulinzi na usalama. Hapa pia Padre wangu Kitima ameelezea hofu tu na wala sio ubaya wa mkataba kwa kudadavua vizuri

Kuhusu Serikali kuwataarifu Dubai kuhusu fursa zingine za uwekezaji (Ibara ya 4) kusema kweli sijaona tatizo lolote kuhusu kifungu hiki. Ningeelewa kuwa kuna tatizo juu ya hichi kifungu endapo kingesema Serikali italazimika kuwapa maeneo hayo baada ya kuwataarifu. Sioni tatizo lolote kuhusu mtu kutaarifiwa tu kuhusu fursa zilizopo. Kwenye hili naona tafsiri isiyo sahihi na hofu isiyokuwepo inayolazimishwa kuwepo.


Mwisho ameelezea sehemu wawekezaji hawa walipofanikiwa na kuna sehemu amesema hawajafanikiwa. Hili sioni kama ni hoja maana mifano mizuri inaweza kuwa kwetu

Mwisho Padre Kitima amesema kuhusu Loliondo. Kusema kweli hapa naona amekuwa mwanasiasa maana sioni hoja yake kuhusu watu waliopelekwa msomera kulalamika kwa sababu hata kwa watumishi wa Umma waliopelekwa Dodoma wapo waliolalamika na kusema wanapata changamoto Dodoma! Sasa ninachojiuliza ni Je kwa wale waliolalamika inamaanisha zoezi la kuwahamishia watumishi wa serikali Dodoma halikuwa zoezi zuri lenye maslahi mazuri kwa nchi?


Hivi unaweza kuzipangua hizi facts? Huyu mtu anaongea kwa uwazi kabisa ameshikilia huo Mkataba? Na kama anapotosha wamchukulie hatua :

 
upuuzi mtupu..

Pili Contents zimefanya nini? Kwa mfano content ipi kwako ni shida?
Kwanza elewa kuwa am not questioning kwa faida yangu. Nina wanangu pia watakuwepo wajukuu mbeleni.

Najua wewe tayari umeshajiwekea mazingira ya wanao na vitukuu.


Umeuliza content. Be smart utueleze kuwa mkataba uliovujishwa ndo huo au huko ndani mna mkataba wenu?


Weka mkataba hapa ulio sahihi nikuoneshe contents ambazo zinaenda kuigharimu nchi
 
Back
Top Bottom