Nimemsomesha, nimegharamika, leo kaniacha anaolewa na mtu mwingine

Hukufanya investment risk calculations,

Ulipaswa kuhakikisha hiyo "best sex ever" anaitamka yeye.

Umeleweshwa na mkatiko ya kiuno chake kumbe mwnzio ile ndiyo atm card ya ku draw pesa zako!!! hukuangalia kama huwa unampotezea network kunako 6x6 (unapiga goli/magoli ya ufundi mpaka goli linamlazimisha kulala huku viungo vyake vimepoteana)

Unayo faraja moja iliyobaki nayo imebebwa na muda!!!!

Likuepukalo lina heri kwako. (ni bora uyaelewe maneno haya.

Next time ujue kuwa mwanamke hufelishwa na dushe!!!!! Hafelishwi na pesa.
 
Sipendi kusikia ujinga kama wa mtoa, bado wajinga wengine watafanya ujinga ule ule!
 
Pole ungekuwa msomaji haswa humu ungekuta umeshasomaga yaliyowapata wanaume wengine haya haya mambo na watu walivyochangia.

Pole sana, wewe sasa waache waende zao. Mungu atakulipia kwa maumivu uliyoyapata na akirudi ukamchukua tena shauri yako atakuacha hata kazi huna.

Waache waache acha kuwapigia simu, ongea na Mungu akusaidie upunguze hasira na chuki kwao itayaona.

Huyo mama mkwe ndie alimuonya aendelee nawe uzidi kumsaidia, ungejua ungeachia wakati ule sababu dalili zilianza ila ndio maisha ya mapenzi.

Pia mshukuru Mungu labda kakuepusha na makubwa zaidi ya hayo labda hata magonjwa na maumivu makubwa ambayo angekupa.
 

Pole san mkuu ila at very start huyu demu ulitakiwa mfunge ndoa na mimba juu alafu ndo aende shule hata kama siku angekuja kukubadilikia lakin una damu yako ingekuwa mkombozi siku za mbelen Pole sana Mkuu Mchumba Hasomeshwi yan katika 100 mmoja ndo anauwezo wa kuvumilia tena inategemea
 

Pole mkuu.

Hizi mbinu zipo kitambo sasa.

Huyo binti na mama yake waliona udhaifu wako na wakautumia vizuri hivyo wako sahihi.

Na wewe ulimpenda huyo binti yao lakini ukashindwa kutumia nafasi hiyo kumuoa huyo binti, hivyo wewe ndie uliecheza pata potea.

Ni kosa la kiufundi tu lakini binadamu tunajifunza kutokana na makosa.

Huwezi kufanikiwa kwa kwenda mahakamani kudai fedha zako za matunzo na ada ya chuo, kwani kisheria mkataba mliowekeana na huyo architech ambae ni mama wa huyo binti ni batili na hauna nguvu kisheria.

Sahau yaliyopita, pata muda ujichanganye na marafiki zako, pitia JF ukipata nafasi usome mada zetu za kufikirisha na za kuchekesha, pata bia mbili tatu lakini usilewe, chapa kazi, jenga taifa.

Atatokea tu binti mwingine na Mungu atakuelekeza- kwa sala na maombi.
 
Wewe jamaa unashauri vizuri sana...mdau akiuzingatia ushauri wako ataishi vizuri sana! PURE GENIUS...
 
Bora kapewa damu yake! Mimi kama umenipa damu yangu...sijiulizi mara mbili, kukusahau ni fasta! Wanawake wengi sana mtaani wako mawindo...sampuli tofautitofauti!!!
 
Pole sana ndugu yangu. Kama nimekuekewa vizuri unaomba ushauri wakati tayari umeishafanya maamuzi kwa kwenda mahakamani.

Mimi ningekushauri piga moyo konde uachane na hayo mambo yasikupotezee muda Mwenyezi Mungu atakulipia tu , tuombe uzima na afya njema ipo siku utatujuza yatakayomkuta malipo ni hapa hapa duniani.
 
Ni kweli kabisa dada.ile ilikua mistake kubwa kubwa sana. Nawaza hizo pesa ningetoa hata msaada kwa watoto yatima au ndugu zangu wenye shida. Najuta najuta sana
Wengine tulifikiri kama hivi . Shukuru Mungu endelea na maisha
 
Sielewi hawa watu wana nini wakati mwingine. Kuna mmoja alikuwa akiishi na bwana na jamaa kampatia usafiri awe anatumia na kumfungulia biashara ya nguo ili awe busy. Kutokana na kujiona kapanda class na ushamba wa kumiliki gari,plus mashosti feki kumpampu,akaanza kujirusha na vitoto vya chuo mixer wajanja wa mjini. Jamaa kamkalisha chini na kumwonya lakini mwanamke hataki kusikia na kujifanya anajua sana kutukana.
Jamaa alipoona yamemshinda,akamwambia amenawa mikono,kila mtu kivyake,akamwachia biashara,gari akalichukua. Cha kushangaza,mwanamke anang'ang'ania na gari akidai ni lake mara eti walichuma pamoja na bla blah nyingi. Na asivyo na akili akadanganyika mpaka kutafuta wakili ili shauri liende mahakamani apewe gari wakati ni girlfriend tu aliepewa alitumie bila ties zozote. Inaudhi sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…