Mr Penal Code
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 823
- 216
Pole sana mkuu hapa ndo naamini ule msemo unaosema Mchumba hasomeshwi. Utakuja kula sumu bure. Na kazi ya kumuaanda MKE ni ya MUNGU PEKEE ww unaanda mazingira tu piga moyo konde maisha lazima yaendelee.. Usichoke kumuomba MUNGU NI MWAMINIFU anaandaa ushuhuda wako.