Nimemsomeshea watoto na sasa hanitaki tena bila sababu

Nimemsomeshea watoto na sasa hanitaki tena bila sababu

Nilimuoa mke wangu miaka 25 iliyopita akiwa na watoto wawili wa kiume aliowapata kwenye ndoa yake ya awali.

Niliwapenda sana wale watoto na kuwachukulia kama watoto wangu kabisa na hakuna aliyejua kuwa si wanangu kwani tuliishi pamoja kwa upendo kama familia moja.

Tuliishi kwa amani kwenye nyumba za kupanga wakati huo nikiwa nafanya kazi na nilihakikisha watoto wangu wanapata huduma zote muhimu ikiwamo kuwasomesha shule bora kabisa.

Baba yao mzazi hakuwahi kutoa msaada wa aina yoyote wala kuhudumia watoto wake wala kuonekana.

Watoto walikuwa na akili sana darasani na baada ya masomo wote walipata ajira mmoja ameajiriwa kama daktari na mwingine ni mwanasheria.

Kinachoniumiza ni kwamba baada ya kufanya hayo yote mke wangu na wanangu wa kufikia wameungana na baba yao mzazi na sasa wanaishi pamoja kama familia [emoji24][emoji24].

Kwa sasa sina pa kuishi nakaa leo kwa ndugu huyu, kesho ndugu yule. Mbaya zaidi wameniblock na hata nikipiga kwa kutumia simu zingine wakijua ni mimi wanakata simu na kuiblock hiyo namba ngeni niliyotumia.

Ndugu zangu wa mtandaoni naomba ushauri wenu, nifanye nini?
Pole sana,Mungu atakulipia kama. hukuwafanyia vibaya.

Endelea kupambania maisha yako,usiwafikirie tena,jali maisha yako
 
Mchai chai! ☕

"Kinachoniumiza ni kwamba baada ya kufanya hayo yote mke wangu na wanangu wa kufikia wameungana na baba yao mzazi na sasa wanaishi pamoja kama familia ."
 
Wenzako wakioa single mother ana mtoto mmoja wanamzalisha watoto wengine wanne Pole sana kwa kutokuwa na kizazi na kukomaa kusomesha watoto wasio wako uku mkeo anajua huna kizazi
 
Humu sio facebook ningekuwa moderator ningekupiga BAN
Nilimuoa mke wangu miaka 25 iliyopita akiwa na watoto wawili wa kiume aliowapata kwenye ndoa yake ya awali.

Niliwapenda sana wale watoto na kuwachukulia kama watoto wangu kabisa na hakuna aliyejua kuwa si wanangu kwani tuliishi pamoja kwa upendo kama familia moja.

Tuliishi kwa amani kwenye nyumba za kupanga wakati huo nikiwa nafanya kazi na nilihakikisha watoto wangu wanapata huduma zote muhimu ikiwamo kuwasomesha shule bora kabisa.

Baba yao mzazi hakuwahi kutoa msaada wa aina yoyote wala kuhudumia watoto wake wala kuonekana.

Watoto walikuwa na akili sana darasani na baada ya masomo wote walipata ajira mmoja ameajiriwa kama daktari na mwingine ni mwanasheria.

Kinachoniumiza ni kwamba baada ya kufanya hayo yote mke wangu na wanangu wa kufikia wameungana na baba yao mzazi na sasa wanaishi pamoja kama familia [emoji24][emoji24].

Kwa sasa sina pa kuishi nakaa leo kwa ndugu huyu, kesho ndugu yule. Mbaya zaidi wameniblock na hata nikipiga kwa kutumia simu zingine wakijua ni mimi wanakata simu na kuiblock hiyo namba ngeni niliyotumia.

Ndugu zangu wa mtandaoni naomba ushauri wenu, nifanye nini?
 
Hapo ni sawa na kuwasomesha mpaka Switzerland huko na mama Yao kaamua kuwafata watoto huko na kukuacha mpweke,hiyo imeenda,wala usijute Dunia tunapita na hakuna matata.Mwanamke ukiona mwanaume mwenzio kamuacha usijifanye muungwana,Tembea kwa hesabu zako wala usijute sababu adui wameungana hauna lako Tena mkuu.
In fact utelezi ndo unatuponza wanaume,hapo kama unaweza Rudi kijijini kaanze kwa kufuha kuku.
Nilimuoa mke wangu miaka 25 iliyopita akiwa na watoto wawili wa kiume aliowapata kwenye ndoa yake ya awali.

Niliwapenda sana wale watoto na kuwachukulia kama watoto wangu kabisa na hakuna aliyejua kuwa si wanangu kwani tuliishi pamoja kwa upendo kama familia moja.

Tuliishi kwa amani kwenye nyumba za kupanga wakati huo nikiwa nafanya kazi na nilihakikisha watoto wangu wanapata huduma zote muhimu ikiwamo kuwasomesha shule bora kabisa.

Baba yao mzazi hakuwahi kutoa msaada wa aina yoyote wala kuhudumia watoto wake wala kuonekana.

Watoto walikuwa na akili sana darasani na baada ya masomo wote walipata ajira mmoja ameajiriwa kama daktari na mwingine ni mwanasheria.

Kinachoniumiza ni kwamba baada ya kufanya hayo yote mke wangu na wanangu wa kufikia wameungana na baba yao mzazi na sasa wanaishi pamoja kama familia [emoji24][emoji24].

Kwa sasa sina pa kuishi nakaa leo kwa ndugu huyu, kesho ndugu yule. Mbaya zaidi wameniblock na hata nikipiga kwa kutumia simu zingine wakijua ni mimi wanakata simu na kuiblock hiyo namba ngeni niliyotumia.

Ndugu zangu wa mtandaoni naomba ushauri wenu, nifanye nini?
 
KUNA WATU WANAJITAFUTIA MATATIZO YA KUJITAKIA WENYEWE.
ZAMA HIZI KUOA KWENYEWE SHIDA, NI MATATIZO.
HALAFU WEWE NDIO UNAKWENDA KUOA NA KULEA WATOTO WA MWENZIO!
PUMBAV
 
J
Haya ma-ujinga ya Facebook na makundi ya Whatsup mna-copy na ku-paste hapa kwa nini? JF walifanya makosa sana kuwezesha kila kinachopostiwa kionekane kwenye ''trending''
Jamaa hanaga content kabisa zaidi ya ku copy na ku paste halafu hata ile kuandika amen copy wapi hakuna 🤣
 
K
Nilimuoa mke wangu miaka 25 iliyopita akiwa na watoto wawili wa kiume aliowapata kwenye ndoa yake ya awali.

Niliwapenda sana wale watoto na kuwachukulia kama watoto wangu kabisa na hakuna aliyejua kuwa si wanangu kwani tuliishi pamoja kwa upendo kama familia moja.

Tuliishi kwa amani kwenye nyumba za kupanga wakati huo nikiwa nafanya kazi na nilihakikisha watoto wangu wanapata huduma zote muhimu ikiwamo kuwasomesha shule bora kabisa.

Baba yao mzazi hakuwahi kutoa msaada wa aina yoyote wala kuhudumia watoto wake wala kuonekana.

Watoto walikuwa na akili sana darasani na baada ya masomo wote walipata ajira mmoja ameajiriwa kama daktari na mwingine ni mwanasheria.

Kinachoniumiza ni kwamba baada ya kufanya hayo yote mke wangu na wanangu wa kufikia wameungana na baba yao mzazi na sasa wanaishi pamoja kama familia [emoji24][emoji24].

Kwa sasa sina pa kuishi nakaa leo kwa ndugu huyu, kesho ndugu yule. Mbaya zaidi wameniblock na hata nikipiga kwa kutumia simu zingine wakijua ni mimi wanakata simu na kuiblock hiyo namba ngeni niliyotumia.

Ndugu zangu wa mtandaoni naomba ushauri wenu,
 
Ewe mzazi wa leo... wakati unajenga maisha ya baadae ya watoto, usisahau kujenga na maisha yako ya baadae
 
Lakini demu ulimfaidi ulizagamua miaka 25, we kidume, beside kusomesha udaktari sio lelemama itakuwa mlikuwa wengi kwenye foleni yaani chain ilikuwa ndefu sasa fadhila inakuwa ishu, lakini iweje wakuache uyumbe kimaisha ina maana wewe ndio ulikuwa unahudumiwa sio wao
 
Nilimuoa mke wangu miaka 25 iliyopita akiwa na watoto wawili wa kiume aliowapata kwenye ndoa yake ya awali.

Niliwapenda sana wale watoto na kuwachukulia kama watoto wangu kabisa na hakuna aliyejua kuwa si wanangu kwani tuliishi pamoja kwa upendo kama familia moja.

Tuliishi kwa amani kwenye nyumba za kupanga wakati huo nikiwa nafanya kazi na nilihakikisha watoto wangu wanapata huduma zote muhimu ikiwamo kuwasomesha shule bora kabisa.

Baba yao mzazi hakuwahi kutoa msaada wa aina yoyote wala kuhudumia watoto wake wala kuonekana.

Watoto walikuwa na akili sana darasani na baada ya masomo wote walipata ajira mmoja ameajiriwa kama daktari na mwingine ni mwanasheria.

Kinachoniumiza ni kwamba baada ya kufanya hayo yote mke wangu na wanangu wa kufikia wameungana na baba yao mzazi na sasa wanaishi pamoja kama familia [emoji24][emoji24].

Kwa sasa sina pa kuishi nakaa leo kwa ndugu huyu, kesho ndugu yule. Mbaya zaidi wameniblock na hata nikipiga kwa kutumia simu zingine wakijua ni mimi wanakata simu na kuiblock hiyo namba ngeni niliyotumia.

Ndugu zangu wa mtandaoni naomba ushauri wenu, nifanye nini?
Ukiwa mjinga humu duniani taabu haiepukiki. Wakati unahangaika kusomesha damu ya mtu mwingine wewe kwa nini hukuzaa watoto wako mwenyewe uwasomeshe? Wadogo zako uliozaliwa nao tumbo moja ulihangaika kuwasomesha wakati unajifanya mwema kusomesha watoto wa mwanaume mwingine?

Vuna ulichopanda.
 
Nilimuoa mke wangu miaka 25 iliyopita akiwa na watoto wawili wa kiume aliowapata kwenye ndoa yake ya awali.

Niliwapenda sana wale watoto na kuwachukulia kama watoto wangu kabisa na hakuna aliyejua kuwa si wanangu kwani tuliishi pamoja kwa upendo kama familia moja.

Tuliishi kwa amani kwenye nyumba za kupanga wakati huo nikiwa nafanya kazi na nilihakikisha watoto wangu wanapata huduma zote muhimu ikiwamo kuwasomesha shule bora kabisa.

Baba yao mzazi hakuwahi kutoa msaada wa aina yoyote wala kuhudumia watoto wake wala kuonekana.

Watoto walikuwa na akili sana darasani na baada ya masomo wote walipata ajira mmoja ameajiriwa kama daktari na mwingine ni mwanasheria.

Kinachoniumiza ni kwamba baada ya kufanya hayo yote mke wangu na wanangu wa kufikia wameungana na baba yao mzazi na sasa wanaishi pamoja kama familia [emoji24][emoji24].

Kwa sasa sina pa kuishi nakaa leo kwa ndugu huyu, kesho ndugu yule. Mbaya zaidi wameniblock na hata nikipiga kwa kutumia simu zingine wakijua ni mimi wanakata simu na kuiblock hiyo namba ngeni niliyotumia.

Ndugu zangu wa mtandaoni naomba ushauri wenu, nifanye nini?
miaka 25 iliyopita je kwasasa unamiaka mingapi
 
Wewe ulidhani hao watoto ungewamiliki kama kununua mtumba alioacha jamaa.

Umesema wana akili..huyo ni Baba yao. Kimsingi tafuta wa kwako. Na kama ilikuwa miaka 25 inamaana unachezea 50 na zaidi. Kwa hiyo amua kuish kibachelor ila utazikwa soon
 
Wanaume wajinga kumbe bado wapo.
Endelea kuishi jalalani. Nyani kasoro mkia.
Siku zote unaambiwa usimsomeshe mwanamke wewe sio baba yake, wewe umeenda hatua sita mbele umesomesha watoto wa watu, Tena wa kiume. Ulitegemeà watakua hawamjuibaba Yao, au ulitegemeà huyo mama Yao hatembei na mzazi mwenzie.
Sasa sikilizeni.. UKIOA MWANAMKE MWENYE MTOTO PIGA UA GARAGAZA JUA MZAZI MWENZIE BADO ANATEMBEA NAYE. HATA KAMA ANAKAA MWANZA.
 
Kwamba Kwa miaka 25yote mlikuwa mnaishi nyumba ya kupanga?kwanini hiyo pesa uliyokuwa unasomeshea hao watoto usijijengee kakibanda kako mkaishi humo?

[emoji848][emoji848] Nina wasiwasi na ulichokiandika labda kama unachangamsha jukwaa
 
Hii ni hadithi tu ila haina ukweli
Ina maana wewe hukuzaa nae?
 
Napajua ulipoitoa hiyo story
1714646811735.jpg
 
Back
Top Bottom