Nimemsomeshea watoto na sasa hanitaki tena bila sababu

Duh,
Pole sana kama siyo chai..

Ukijenga nyumba kwenye kiwanja cha mtu, nyumba inakuwa ya mwenye kiwanja siyo yako. Ndicho ulichofanya
 
Pole sana kwa kweli. Mambo ya ndoa ni magumu. Vijana twazidi kujifunza
 
kumbe wajinga wapo sasa kila tukitoa nondo za ujinga wa masingo maza huzisikilizagi leo unadanda danda kwa ndugu kwani si uendelee kupanga waliporudiana wamekukwamisha wapi wakati umepunguza majukumu tu....


hii stori kama ya fb ujinga mtupu
 
Pole Sana ila ilikuwaje ukatuza Watoto wasiokuwa wako na mke ambaye hajakuzalia mtoto hata mmoja? Huna uwezo wa kuzaliaha? Waume Ina bidi tu jifuze kupenda kwa kiasi haya mambo kupenda unconditional yako me kabisa. Wanawake ni waigizaji wazuri ila ukweli ni kwamba hakuna mwanamke mwenye akili anaye penda bila condition.
 
Ulizaa nae? Tafuta mwanasheria uone utapata vipi kulipwa ulichogharamia, au muingie mkataba wakutunze.
 
Kazi yako.ilikuwa kusomesha watoto..imeisha.
Ondoka
 
aya njoo msomeshe na wangu af nkubwage
 
Mzee wa stori za kutunga
 
kumbe wajinga wapo sasa kila tukitoa nondo za ujinga wa masingo maza huzisikilizagi leo unadanda danda kwa ndugu kwani si uendelee kupanga waliporudiana wamekukwamisha wapi wakati umepunguza majukumu tu....


hii stori kama ya fb ujinga mtupu
Hapana sio fb
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…