Nimemtekenya dada wa kazi kapiga ukelele mpaka mama yoyoo katoka chumbani mbio

Ulitakiwa uwe jela by now
Inauma sana House girl unamtunza wewe...nyamanyama zinamtoka kwa misosi unayogharamia wewe....alafu anaenda kuliwa na Mangi wa kibandani. anatafuna maini safii kiulaini kabisa hata jasho hajatoa..... Inauma.
 
Napata picha huyo dada wa kazi ni "zigo remix" duu
Vitabu vya dini vinatahadharisha juu ya umuhimu Wa kutoikaribia zinaa! Jamaa anathubutu! Neno LA mungu hakijaribiwi ! Kupona kwake amtoe huyo binti machoni pake haraka! Vinginevyo kumtekenya binti ni kumwarifu kuwa unahtaj hiyo huduma.na yeye anahisia na hata matamanio kama mkeo.
 
Ni kweli mkuu,,,picha ndo lishaanza vile na sidhani km litaishia kwenye hyo episode ya kutekenya
 
Moja kati ya kazi ya mabeki 3 ni pamoja na kumsaidia mama kwenye kupumnguzia mawazo mzee ya kupumua. Kama yuko vizuri, pita nae.
 
Inauma sana House girl unamtunza wewe...nyamanyama zinamtoka kwa misosi unayogharamia wewe....alafu anaenda kuliwa na Mangi wa kibandani. anatafuna maini safii kiulaini kabisa hata jasho hajatoa..... Inauma.

Dawa yake ni wewe mwenyewe kumgegeda, badala ya Mangi kumtafuna.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…