Nimemtolea mahari sasa ananipa shida, najuta!

Nimemtolea mahari sasa ananipa shida, najuta!

Na ndio unaenda nae kusaini mkataba wa kudumu? My wangu pole[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nashukulu sana kaka kwa ushauri wako mzuri.ubarikiwe sana
Acha kujiita Tony Love mdogo wangu.
Tony love ndo nn, wanawake hawavutiwi sana na wanaume wenye majina ya kike kike.
Jiite hata Mizizi ya Jiwe.
Au Cement Chakavu.
Lol.
 
We kajamaa kajinga, anaomba arudi kwao, hutaki wakati huo ndio muda wa kutafuna watoto wazuri wengine kwa Uhuru.
 
Mimi ni kijana wa miaka 27, nafanya kazi. Nimeoa mwanamke ambaye tumedumu uchumba kwa mwaka na nusu. Nimetoa mahari zaidi ya milioni na nusu.

Amekuja mkoa ninaofanya kazi, lakini vituko anavyonifanyia ni hatari. Hadeki, kunipa penzi mpaka ajisikie yeye mwenyewe hata kama mimi nina nyege ananiyima penzi.

Pia anadai kurudi kwao mazingira yamemshida. Mambo mengi ananifanyia huyu mke wangu, mpaka nakuwa natokwa na machozi maana hata mwezi hajamaliza ananiletea vituko hivi.

Kinachoniuma ni pesa niliyomtolea. Naombeni ushauri ndugu zangu, nifanyeje? Pia, kama akirudi kwao naweza kurudishiwa mahari yangu?
Idiot
 
Mimi ni kijana wa miaka 27, nafanya kazi. Nimeoa mwanamke ambaye tumedumu uchumba kwa mwaka na nusu. Nimetoa mahari zaidi ya milioni na nusu.

Amekuja mkoa ninaofanya kazi, lakini vituko anavyonifanyia ni hatari. Hadeki, kunipa penzi mpaka ajisikie yeye mwenyewe hata kama mimi nina nyege ananiyima penzi.

Pia anadai kurudi kwao mazingira yamemshida. Mambo mengi ananifanyia huyu mke wangu, mpaka nakuwa natokwa na machozi maana hata mwezi hajamaliza ananiletea vituko hivi.

Kinachoniuma ni pesa niliyomtolea. Naombeni ushauri ndugu zangu, nifanyeje? Pia, kama akirudi kwao naweza kurudishiwa mahari yangu?
Mbona sijaona mahali panapoonesha ni mkeo. Mnabeba magold digger mnaita wake
 
Back
Top Bottom