Nimemtolea mahari sasa ananipa shida, najuta!

Nimemtolea mahari sasa ananipa shida, najuta!

Using'ang'ane kwenye maumivu kata mti panda mti lasivyo utakuja kutia akili ukiwa tayari na ulemavu wa akili/mwili
 
Mimi ni kijana wa miaka 27, nafanya kazi. Nimeoa mwanamke ambaye tumedumu uchumba kwa mwaka na nusu. Nimetoa mahari zaidi ya milioni na nusu.

Amekuja mkoa ninaofanya kazi, lakini vituko anavyonifanyia ni hatari. Hadeki, kunipa penzi mpaka ajisikie yeye mwenyewe hata kama mimi nina nyege ananiyima penzi.

Pia anadai kurudi kwao mazingira yamemshida. Mambo mengi ananifanyia huyu mke wangu, mpaka nakuwa natokwa na machozi maana hata mwezi hajamaliza ananiletea vituko hivi.

Kinachoniuma ni pesa niliyomtolea. Naombeni ushauri ndugu zangu, nifanyeje? Pia, kama akirudi kwao naweza kurudishiwa mahari yangu?
Ndoa zote ndio zilivyo kuhusu kupewa penzi

Siku akiamua kukupa daily si utakimbia nyumba yako??
 
Nyie wote mna mambo ya kitoto. Yeye anakufanyia upuuzi na wewe unakuwa na utoto mwingi kwenye kuhandle your relationship.

Kwann usimwambie direct anashida gani?! Kama anasema hana shida mwambie mtakosana muda si mrefu akiendelea na hizo habari zake za kukuletea michezo ya kitoto.

Ndoa zenyewe za shida hizi halafu mtu akusumbue kichwa na wanawake wapo kibao huko nje wanalialia kutafuta ndoa.
 
Braza acha tu likukute...

Hivi huko kwenye Ndoa HUWA MNAFATA NINI?

1. Kuna kipi ukiwa single unakosa mpaka uamue kuoa?
2. Una hela/uwezo wa kula mayai kila siku, kwanini ufuge kuku?
3. Mnafata nini huko kwenye Ndoa?
4. We kila siku dunia inalalamika na ndoa we ndio unakimbilia..!!

Sikia..

Umeajiriwa; Nenda chuo ONGEZA elimu TAFUTA PESA
Umejiajiri; Tafuta skills wekeza kwenye mambo zako TAFUTA HELA.

THE POINT IS in whatever you do FIND MONEY.

With money life is GOOD.

What is KUOA by the way.

Achane kuoa mpunguze MATATIZO.

*KESHO ATAKUJA MWENGINE HUMU ANALALAMIKA.

#YNWA
Dah we jamaa ni mafia tena ni ile ya baba Mrussia, mama muitalia, kaka yakuza, dada Cholo wa Mexican. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Swali lingine la msingi nakupa kazi nipe hasara za ndoa hata mbili au tatu. Ukiweza kunipa hizo hasara mimi naacha kujadili huu mjadala au nitaomba ID hii ifungwe na wewe utakuwa shahidi wa hili.

Wenye jambo letu tumeingia.
Hasara za ndoa ukiingia na mtu asie sahihi kwako ni sawa na hasara za mtu anae ajiriwa na kampuni isiyomlipa stahiki zake ukiwamo mshahara.
 
Hasara za ndoa ukiingia na mtu asie sahihi kwako ni sawa na hasara za mtu anae ajiriwa na kampuni isiyomlipa stahiki zake ukiwamo mshahara
Sasa vijana hili hawalioni inafikia hatua kutoa hukumu ya kuwa ndoa hazifai,wakati wenyewe kwanza hawajui namna ya kutafuta wenza,na wao wenyewe hawajitambui.
 
Mkuu kwa hiyo unataka kutuambia kwamba Jeff bezos na bill gate hawana akili timamu?
Utimamu wa akili ni hali ya kutenda yote yenye kuleta madhara.

Si sawa kusema vibaya ndoa kisa mtu fulani alimuacha fulani,mpaka wote wsmeoa ujue ndoa ina faida kubwa kuliko hasara,na ndiyo maana kuna kuachana.

Kwahiyo tunasema wana akili timamu ndiyo maana walioa na kuacha,kuachana huwa kuna sababu nyingi.
 
Mimi ni kijana wa miaka 27, nafanya kazi. Nimeoa mwanamke ambaye tumedumu uchumba kwa mwaka na nusu. Nimetoa mahari zaidi ya milioni na nusu.

Amekuja mkoa ninaofanya kazi, lakini vituko anavyonifanyia ni hatari. Hadeki, kunipa penzi mpaka ajisikie yeye mwenyewe hata kama mimi nina nyege ananiyima penzi.

Pia anadai kurudi kwao mazingira yamemshida. Mambo mengi ananifanyia huyu mke wangu, mpaka nakuwa natokwa na machozi maana hata mwezi hajamaliza ananiletea vituko hivi.

Kinachoniuma ni pesa niliyomtolea. Naombeni ushauri ndugu zangu, nifanyeje? Pia, kama akirudi kwao naweza kurudishiwa mahari yangu?
"Kosea vyote, usikosee kuoa" alisikika Baba Kimbo akisisitiza.
 
Kuoa kwao wao si hoja,wangapi wanawake waliacha ndoa zao toka kwa Wafalme na wala hawakujutia. Mali au hela si kila kitu,wanawake wanatafuta furaha,na hawapendi manyanyaso.

Kingine anaye fanya Dunia itembee ni yule aliye iumba na si mtu,acheni kujidanganya.

Naona kijana huna hoja,mapenzi au ndoa haidumishwi na Mali,bali ni utu,kujali,matunzo na utimamu wa akili.

Kijana naona unaishi mule mule,hoja huna nani alikwambia ndoa inasimamishwa na utajiri ?

Hao wote wana akili ila hawana akili timamu.

Naona kijana umejikita kwenye Mali kama kigezo cha kusimama kwa ndoa au muhimili wa ndoa.

Huu ujinga waambie vijana wenzako vijiweni wenye kujilinganisha na wanawake na kutaka kushindana nao.

Wanaume hatujadilo suala la Wanawake kwa hoja za kitoto namna hii na kumili upande mmoja.
If you think money can't bring HAPPINESS then GO and ASK the HOMELESS and JOBLESS.

Money buys anything in this world.

Pesa pia unaweza kuitumia kama tiketi ya kukupeleka Peponi au motoni.

Toa sadaka, saidia masikini, somesha yatima, Toa zaka, toa ........
Ni MATENDO YA PEPONI

Fanya kinyume NI MOTONI.

That is MONEY.

Punguza ku overthink; Mungu yupo na anaishi nilivyosema kufanya dunia inatembea UMENIELEWA SANAA hebu tumia huo UTIMAMU VIZURI.

Bila pesa ndani DUNIA NI NGUMU, bila mwanamke ndani NOTHING IS HAPPENING.

Halafu kingine utimamu hufikiriwa mbele ya mtu mfikiriaji..!!
We hujawahi Ona mtu una mkubalii halafu raia wengine hawamuelewi...!!!

KUOA NI MATATIZO.

TAFUTA HELA ULE MAISHA.

#YNWA
 
Back
Top Bottom