Nkolandoto
JF-Expert Member
- Sep 18, 2016
- 4,102
- 4,028
Utakufa unuache mwenzako anafaidi maisha na njemba zingineMimi ni kijana wa miaka 27,nafanya kazi.nimeoa mwanamke ambaye tumedumu uchumba kwa mwaka na nusu. Nimetoa mahali zaidi ya milioni na nusu,amekuja mkoa ninao fanya kazi,lakini vituko anavyonifanyia ni hatari,hadeki,kunipa penzi mpaka ajisikie yeye mwenyewe.hata kama mimi ninanyege ananiyima penzi.pia anadai kurudi kwao mazingira yamemshida,mambo mengi ananifanyia huyu mke wangu,mpaka nakuwa natokwa na machozi maana hata mwezi hajamaliza ananiletea vituko hivi,kinachoniuma pesa niliyomtolea.naombeni ushauri ndugu zangu.nifanyeje mie.kama akirudi kwao naweza kurudishiwa mahali yangu.
Mkeo hakuwa amezoea kutoa uroda kila mara hivyo ukishamwondolea nyege zake anaweza kaa zaidi ya wiki hata mwezi bila kuhitaji kuingiliwa na mwanaume hii inakuwa kawaida Sana wanawake waliopo chini ya miaka 30, taratibu inapanda baadaye utaanza kumkimbia wewe na kumuona mlafi wa ngono Kwa maana akipitisha siku ni salia mtume.
Ndiyo maana wanawake zaidi ya 35 yrs walioolewa au waliokuwa kwenye ndoa hawasumbui kutoa uroda na anakuperekesha balaa ukizubaa
Ukitaka ufaulu mitihani ya ndoa tumia principal ya Paulo "enyi mliooa mjihesabu kama hamjaoa Kwa ajiri ya Bwana"
Hakika utafurahia Sana
Maana furaha na huzuni ziko zote pamoja Kwa mwanaume ni wewe Tu kuchagua uswichi kipi. Tofauti na mwanamke Kwa kuwa furaha na huzuni hupeana shift ikitoka huzuni inakuja furaha , hivyo ndiyo maana wanaume tuliambiwa tuishi nao Kwa akili ukimuona ahafuraha mtafutie huzuni , akiwa na huzuni mtafutie furaha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ukitaka awe na furaha Tu hataweza lazima atakuchokonoa ili Tu ukasirike ili umsababishie huzuni [emoji1787][emoji1787][emoji1787] hii principal ukiijue utaishi zaidi ya mfalme