Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali lingine la msingi nakupa kazi nipe hasara za ndoa hata mbili au tatu. Ukiweza kunipa hizo hasara mimi naacha kujadili huu mjadala au nitaomba ID hii ifungwe na wewe utakuwa shahidi wa hili.Braza acha tu likukute...
Hivi huko kwenye Ndoa HUWA MNAFATA NINI?
1. Kuna kipi ukiwa single unakosa mpaka uamue kuoa?
2. Una hela/uwezo wa kula mayai kila siku, kwanini ufuge kuku?
3. Mnafata nini huko kwenye Ndoa?
4. We kila siku dunia inalalamika na ndoa we ndio unakimbilia..!!
Sikia..
Umeajiriwa; Nenda chuo ONGEZA elimu TAFUTA PESA
Umejiajiri; Tafuta skills wekeza kwenye mambo zako TAFUTA HELA.
THE POINT IS in whatever you do FIND MONEY.
With money life is GOOD.
What is KUOA by the way.
Achane kuoa mpunguze MATATIZO.
*KESHO ATAKUJA MWENGINE HUMU ANALALAMIKA.
#YNWA
Wewe hujaoa..sema umemlipia mahari tu na kumchumkua kama mchumba.sio mke wako huyoMimi ni kijana wa miaka 27,nafanya kazi.nimeoa mwanamke ambaye tumedumu uchumba kwa mwaka na nusu. Nimetoa mahali zaidi ya milioni na nusu,amekuja mkoa ninao fanya kazi,lakini vituko anavyonifanyia ni hatari,hadeki,kunipa penzi mpaka ajisikie yeye mwenyewe.hata kama mimi ninanyege ananiyima penzi.pia anadai kurudi kwao mazingira yamemshida,mambo mengi ananifanyia huyu mke wangu,mpaka nakuwa natokwa na machozi maana hata mwezi hajamaliza ananiletea vituko hivi,kinachoniuma pesa niliyomtolea.naombeni ushauri ndugu zangu.nifanyeje mie.kama akirudi kwao naweza kurudishiwa mahali yangu.
Huo mda wa kusubilia huyu mpuuzi uko wapi achana nae move on na mgine, akirudi akute kuna mtu.Mkuu dawa yake ni mruhusu arudi nyumbani afu jifanye kumpotezea ili aanze kujua umuhimu wako kwanza ndio mambo mengine yatafata stand as a man bwana unaibisha wana
Sent from my TECNO KD7h using JamiiForums mobile app
Bora nyie wanaume wenye akili mtusaidie kufunda hawa watoto. Jando halipo siku hizi basi taabu tupu[emoji2297][emoji2297]Ndoa ni kipimo cha utimamu wa akili.
Kwenye ndoa tunafata utulivu,na kuchunga nasaba.
Vijana wengi wanafeli kwenye ndoa sababu wanajichukulia wao na wanawake wako sawa hili tatizo kubwa sana.
Kingine vijana vijana wengi wakike kwa wakiume hawajui kuchagua wenza hili nalo tatizo kubwa sana.
Ukiwa single unakosa vingi sana. Ukiwa single unatengana na asili na uzani unathibitisha ya kuwa si timamu wa akili.
Huu ni wendawazimu mwingine,ambao hawayasemi haya isipokuwa wajinga wapumbavu. Zinaa ni mbaya kiakili na kidini. Yaani ni uchafu.
Unarudia swali ambalo limejibiwa tayari.
Hii siyo nikikuomba ushahidi wa dunia gani inalalamika hutaweza.
Ukichunguza wengi wanao lalamika kuhusu ndoa na si wote,wanaangukia katika sababu zifuatazo.
1. Walikosea kuchagua wenza.
2. Wao wenyewe wana matatizo yaani hawajui kuishi na wenza.
3. Malipo ya machumo yao
4. Hawajui ndoa ni nini.
Sisi tumeoa mbona hatulalamiki kuhusu ndoa zetu na tuko wengi sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nipe namba ya huyo mkeo nikusaidie kumuelewesha anayotakiwa kufanya
Soma hiyooo.....Swali lingine la msingi nakupa kazi nipe hasara za ndoa hata mbili au tatu. Ukiweza kunipa hizo hasara mimi naacha kujadili huu mjadala au nitaomba ID hii ifungwe na wewe utakuwa shahidi wa hili.
Wenye jambo letu tumeingia.
Tatizo linaanzia hapa, kujidogolisha[emoji16][emoji849][emoji28]
Sijawahi kufanya mapenzi na mwanamke yoyote hapa duniani
Habari zenu MMU? Natumaini mko poa kabisa na afya njema. Husika na kichwa cha habari hapo juu, Mimi ni kijana wa kitazania ambae nina umri wa miaka 24. Yaani toka nizaliwe sijawahi kufanya mapenzi na mwanamke yoyote hapa duniani, mimi nimwanaume niliekamilika kwa 99%. Mashine yangu ipo...www.jamiiforums.com
2015 ulikuwa na miaka 24
2021 una miaka 27 [emoji23]
Ndoa sio utimamu wa akili.Ndoa ni kipimo cha utimamu wa akili.
Kwenye ndoa tunafata utulivu,na kuchunga nasaba.
Vijana wengi wanafeli kwenye ndoa sababu wanajichukulia wao na wanawake wako sawa hili tatizo kubwa sana.
Kingine vijana vijana wengi wakike kwa wakiume hawajui kuchagua wenza hili nalo tatizo kubwa sana.
Ukiwa single unakosa vingi sana. Ukiwa single unatengana na asili na uzani unathibitisha ya kuwa si timamu wa akili.
Huu ni wendawazimu mwingine,ambao hawayasemi haya isipokuwa wajinga wapumbavu. Zinaa ni mbaya kiakili na kidini. Yaani ni uchafu.
Unarudia swali ambalo limejibiwa tayari.
Hii siyo nikikuomba ushahidi wa dunia gani inalalamika hutaweza.
Ukichunguza wengi wanao lalamika kuhusu ndoa na si wote,wanaangukia katika sababu zifuatazo.
1. Walikosea kuchagua wenza.
2. Wao wenyewe wana matatizo yaani hawajui kuishi na wenza.
3. Malipo ya machumo yao
4. Hawajui ndoa ni nini.
Sisi tumeoa mbona hatulalamiki kuhusu ndoa zetu na tuko wengi sana.
Kwanini umedanganya miaka? Sasa na hii storee tutaiaminije?Toa ushauri kaka,kuhusu miaka tuweke pembeni,hii ni stori ya kweli.
Umemshika.[emoji28]
Sijawahi kufanya mapenzi na mwanamke yoyote hapa duniani
Habari zenu MMU? Natumaini mko poa kabisa na afya njema. Husika na kichwa cha habari hapo juu, Mimi ni kijana wa kitazania ambae nina umri wa miaka 24. Yaani toka nizaliwe sijawahi kufanya mapenzi na mwanamke yoyote hapa duniani, mimi nimwanaume niliekamilika kwa 99%. Mashine yangu ipo...www.jamiiforums.com
2015 ulikuwa na miaka 24
2021 una miaka 27 [emoji23]
HeeheeheeMwanamke hata tukosane namna gani asininyime maqqu aaaawwwwwww
HaahaahaaaUmemshika.
Huyu na wema sepetu hawana tofauti. Hawafiki 30, wao wakifika 29 wanarudi 25.
Huyu dogo kma shoga hivi.
Inatokeaga Ila huenda anamimbaMimi ni kijana wa miaka 27,nafanya kazi.nimeoa mwanamke ambaye tumedumu uchumba kwa mwaka na nusu. Nimetoa mahali zaidi ya milioni na nusu,amekuja mkoa ninao fanya kazi,lakini vituko anavyonifanyia ni hatari,hadeki,kunipa penzi mpaka ajisikie yeye mwenyewe.hata kama mimi ninanyege ananiyima penzi.pia anadai kurudi kwao mazingira yamemshida,mambo mengi ananifanyia huyu mke wangu,mpaka nakuwa natokwa na machozi maana hata mwezi hajamaliza ananiletea vituko hivi,kinachoniuma pesa niliyomtolea.naombeni ushauri ndugu zangu.nifanyeje mie.kama akirudi kwao naweza kurudishiwa mahali yangu.
Nmecheka sana nasema hivi mpaka unakufa huwezi kuweka hasara za ndoa. Wala hakuna aliyeweza kufanya hivyo.Soma hiyooo.....
Let's have man talk:- Hivi ndio vitu mnavyofata kwenye ndoa?
Wajumbe igweee..... Wale mnaosema sijui nahitaji mwanasaikolojia, hebu Njooni hapa muone Hawa mabaharia wanavyoteseka. Wale mnaosema soon naoa, aisee kilicho bora kwasasa ni KUTAFUTA HELA. Hawa ni wanaume wenzangu NAWAONEA SANAA HURUMA. Ukute wengine nawajui sema ni ID tu ndio zimetufanya...www.jamiiforums.com
Umeomba 2 au 3 nimekupa huo MZIGOO WA HASARA.
#YNWA
Ushawahi kusikia chizi anaoa ?Ndoa sio utimamu
Hayo ni madhaifu,ndiyo maana ndia zinawashinda.Kuna walio kwenye ndoa halafu wafanyayo duniani mpaka UNASHANGAA..!!!
Kama hakuna kitu anachocontribute financially,hakikisha unamuacha kabla hamujapa mtoto.Mimi ni kijana wa miaka 27,nafanya kazi.nimeoa mwanamke ambaye tumedumu uchumba kwa mwaka na nusu. Nimetoa mahali zaidi ya milioni na nusu,amekuja mkoa ninao fanya kazi,lakini vituko anavyonifanyia ni hatari,hadeki,kunipa penzi mpaka ajisikie yeye mwenyewe.hata kama mimi ninanyege ananiyima penzi.pia anadai kurudi kwao mazingira yamemshida,mambo mengi ananifanyia huyu mke wangu,mpaka nakuwa natokwa na machozi maana hata mwezi hajamaliza ananiletea vituko hivi,kinachoniuma pesa niliyomtolea.naombeni ushauri ndugu zangu.nifanyeje mie.kama akirudi kwao naweza kurudishiwa mahali yangu.