Nimemtongoza Jana, leo asubuhi kanitext kapoteza hela zote na hajui afanyeje

Endelea tu kuparamia hovyo watoto wa kike ipo siku utaamkia hospitali ukiwa umeporwa kila kitu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]..M.ama.e walah
 
Daah pole sana ndugu nataka niseme kitu kiukweli mapenzi ya sasa yameshageuzwa kama biashara kupitia wanawake kiukweli inasikitisha sana,ndoo me nakushauri achana na huyo mwanamke atakupotezea hela nyingi hadi utajuta
 
Mpe hela. Mimi nilimtongoza jioni, baads ya siku tatu akanikubalia halafu kesho yake akaanza kuugua mfululizo.
 
Nmecheka yani mahusiano siku hizi kila mtu anamvizia amuwahi mwenzie. Mwanmke anaumiza kichwa apate hela kabla ya kutoa penzi.. mwanaume nae anapambana apewe penzi kabla ya kupigwa kizinga. Atakaefanikiwa ndie mshindi
🤣🤣🤣nimecheka sanaaa! Kwahyo ni hide and sick😂😂
 
Kuna ka dem cha chuo tena first year! Nilikatongoza jion yake akaniambia katumiwa laki tano ya ada ikaenda kwa mtu mwingine kwahyo anaomba nimuongezee akalipe ada😂
 
Toa ushauri wako boss

Ungemuambia wewe ni fundi unaweza kuitengeza hiyo nyumba bure, na kama kuna vifaa vya kununua ungemwambia akutajie kwani una hardware kwani ungeweza kuvichukua huko for free ukaenda pia na vijana wako so akupe location uende!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…