mimiamadiwenani
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 5,718
- 7,784
Kila mmoja ashinde mechi zake. Hayan formula haya. We' tongoza vyovyote mradi tu ujumbe kaupata.Watu bado mnatongoza hivyo.
Siku hizi kuna njia mbili.
1. Demu ukimuelewa unaweka ukaribu nae, mpka anaelewA tuu, then una mtoa out/ au unamuita gheto( hapa inategemea na hadhi ya demu). Kifuatacho .......
2. Au una mpa pesa....
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] kmmakeUna nyota kali demu ashakuelewa kitambo acha uoga kula vitu na utafute pesa, ujumbe umejaa unyonge sana nishani ya ubaharia sikupi ntakupa ya ufisi.
Yaan sio unampendaWakuuu naombeni mbinu nimepewa jibu ili vipi APA?
Kakubali hau kazingua hau ananichoraaa??
View attachment 2471471
Sasa hakikishika jioni anashikwa kiuno mkiwa uchi wa mnyama#MREJESHO#**************************
Asubuhi kanipigia simu nimeongea nae vzr tu na nimemuomba Leo tuonane kakubali vizuri tu [emoji39][emoji39][emoji39] kanielewa sana japo ni Demu ninaeshimiana nae sana ndio maana nilimtumia SMS ya maelekezo mengi nashukuru amenielewa ila wadau penzi jipya nn cha kuzingatia wakuu lisivunjike haraka?
Ushamba mzigo mkuuDah hadi karne hii bado watu wanatongoza kwa maneno mengi hivyo
Hakuna formula...Kwenye kutongoza hautakiwi kuwa serious kabisaaa, unaweka utani mwingi lasivyo utawakosa hawa viumbe..
Acheni kumpoteza dogo na kumfundisha ulofa[emoji38][emoji38]Mtumie na buku 20 sasa man usichelewe.
Umeeleweka
Mzee kinachofata mshahara wako kuteketezwa uje na Uzi mwingine
'Wa "Nmekoma nmekoma'
Demu mlokole tatizoNaona samahani kama zote. [emoji23][emoji23][emoji23]
KweliiHakuna formula...
Hiyo muhimuSasa hakikishika jioni anashikwa kiuno mkiwa uchi wa mnyama
DaaahDuh Kama ndo umetongoza hivi kwakweli kwa mtazamo wangu nimeona vitu vifauatvyo kwako.
1.Hujiamini(kutokana na maneno uliyotumia "Kama nakupenda hivi",samahani samahani" na njia uliyotumia kufikisha ujumbe")
2.Unaweka sura ya huruma kwenye Jambo lisilohitaji kuhurumiwa.
3.Huna uwezo wa kutawala maongezi Wala kumtawala mwanamke na mwisho utapata tabu kwenye hayo mahusiano.
MWISHO KILA LA KHERI
Kakubali asubuhi nimeongea nae sanaaAmetumia takribani dakika 30 kukujibu hii Ina maana kiasi kwako
Una asilimia 69 za kumpata
Naongea kutokana na uzoefu
Demu kakubali japo nimetumia formula ya kilokoleNdo hivyo nina michepuko kama mia kwa staili hiyohiyo wewe unayoiona ya kidwanzi sasa ww endelea kudhani hii kitu ina formula maalumu
DaaaahHeheeeee hawa mademu wanaitwa rechael utakuja na uzi mwingine soon
Hutakaa uamini nakuambia utaendeshwa nzobe nzobe mpaka akili ikae sawa
DuuuihDawa za kutibu U.T.I ni Azuma au maganda ya miwa na nanasi.
Jiandae kwa doz maana dem anaonekana si mgeni kwenye mitongozo