Odense
JF-Expert Member
- Nov 3, 2020
- 1,189
- 1,585
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shule zifunguliwe tu[emoji23]Wakuuu naombeni mbinu nimepewa jibu ili vipi APA?
Kakubali hau kazingua hau ananichoraaa??
View attachment 2471471
Hakunaga cha mlokole linapofika swala la hisia...tena wanawake wanapendaga wanaume wawazi nno...jitoe ufahamu tuu. Kwann uongope kama unadokoa mboga jikoni.?Kaka ni Demu ninaeshimiana nae sana halafu mlokole kinoma lazima uoga
Kwenye kutongoza hautakiwi kuwa serious kabisaaa, unaweka utani mwingi lasivyo utawakosa hawa viumbe..Naheshimiana nae sana tatizo
Kweli kabisa mkuuWatu bado mnatongoza hivyo.
Siku hizi kuna njia mbili.
1. Demu ukimuelewa unaweka ukaribu nae, mpka anaelewA tuu, then una mtoa out/ au unamuita gheto( hapa inategemea na hadhi ya demu). Kifuatacho .......
2. Au una mpa pesa....
Ndo hivyo nina michepuko kama mia kwa staili hiyohiyo wewe unayoiona ya kidwanzi sasa ww endelea kudhani hii kitu ina formula maalumuOmbi gani akati umetoa taarifa ,vijana hapo tu umetumia sms hamuonanani umetetemeka hivyo je uso kwa uso siitakubidi ule ugoro
[emoji23][emoji23]Naona kama nakupenda hivi[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
Registration fees[emoji23]Subiria INVOICE kesho ...
Kaka ni Demu ninaeshimiana nae sana halafu mlokole kinoma lazima uogae
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Naona kama nakupenda hivi[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
[emoji38][emoji38][emoji38]Umeeleweka
Mzee kinachofata mshahara wako kuteketezwa uje na Uzi mwingine
'Wa "Nmekoma nmekoma'
Ametumia takribani dakika 30 kukujibu hii Ina maana kiasi kwakoWakuuu naombeni mbinu nimepewa jibu ili vipi APA?
Kakubali hau kazingua hau ananichoraaa??
View attachment 2471471