Technophilic Pool
JF-Expert Member
- Jan 18, 2024
- 2,597
- 3,965
- Thread starter
-
- #161
Aah hii kaka imeshibaMkeo sio Malaya....Wala usimfikirie hivo.
Wewe ni Moja ya kundi letu wanaume ambao Huwa tuna lugha nzuri sana ya kutongoza.
Yaan unaweza mfanya Demu akajiona mpya Kila siku Kwa sababu Kila siku una mtongozo mpya mpya.
Hivo usimjaribu.
Aisee mitandaoni hayupo isipokua tiktok yaan huyu mwanamke tiktok mnaweza kugombanaPia kama umeoa mwanamke na kuanzia kula yake mpaka kazi au biashara ni wewe hapo.
Piga marufuku uwepo wake kwenye mitandao ya kijami.
Kwa sababu huko ndiko anaonana na washikaji wa shule ya msingi...Sekondari, chuo
Alafu😀 Share handle yake ya tiktok tujaribu bahati.
mmh
😁😁😁 wanatumia mbinu ya kumu-attack... jamaa,ajione kafanya makosa....Kuna issue hapa. Wazinzi wote wanamtukana jamaa eti amefanya ujinga. Trust me. Hawa wote wanaotukana kuwa jamaa kafanya ujinga ni waasherati wakubwa wanaogopa kuwa ujanja wa jamaa ukitumiwa na wenza wao basi watakamatika kirahisi sana.
[emoji23] Wanawake watakwambia wanaume mnacheat mno, ila ukweli ni kwamba wao huwa na watalaam wa kuficha cheating kuliko sisi ila wanacheat sana tu.Aisee hawa wanawake ni hatari.
Mke wangu anapenda sana TikTok sasa kuna siku nimeingia kwenye acc yake nimekuta kuna vijana wanamtongoza wengine ana wajibu wengine hajibu. Kifupi nimeshindwa kupata flow nzuri kwani nadhani huwa anafutaga chats.
Sasa nikatengeneza Akaunti fake TikTok kwa majina tofauti. Wiki nzima tuko tunaenjoy mapenzi mtandaoni muda mwingine namchatisha tuko wote sebuleni yeye anajiachia kumbe ni mimi mume wake. Nimemtongoza na amekubali na amekubali kuolewa tena.
Kifupi huyu inawezekana akitokea jamaa yuko serious anaondoka nae.
NACHUKIA SANA WANAWAKE HOYA HOYA. Tuishi nao lakini tusiwaamini asilimia 90%.
kweli[emoji23] Wanawake watakwambia wanaume mnacheat mno, ila ukweli ni kwamba wao huwa na watalaam wa kuficha cheating kuliko sisi ila wanacheat sana tu.
khatari sana hiyo kwake na kwako ikibainikaAisee hawa wanawake ni hatari.
Mke wangu anapenda sana TikTok sasa kuna siku nimeingia kwenye acc yake nimekuta kuna vijana wanamtongoza wengine ana wajibu wengine hajibu. Kifupi nimeshindwa kupata flow nzuri kwani nadhani huwa anafutaga chats.
Sasa nikatengeneza Akaunti fake TikTok kwa majina tofauti. Wiki nzima tuko tunaenjoy mapenzi mtandaoni muda mwingine namchatisha tuko wote sebuleni yeye anajiachia kumbe ni mimi mume wake. Nimemtongoza na amekubali na amekubali kuolewa tena.
Kifupi huyu inawezekana akitokea jamaa yuko serious anaondoka nae.
NACHUKIA SANA WANAWAKE HOYA HOYA. Tuishi nao lakini tusiwaamini asilimia 90%.
Nawaasa enyi wanawake wa JF na wanaume wote. Katu tena katua, usimjaribu mwenza wako kwa sababu utakuwa unafanya kosa la kiufundiAisee hawa wanawake ni hatari.
Mke wangu anapenda sana TikTok sasa kuna siku nimeingia kwenye acc yake nimekuta kuna vijana wanamtongoza wengine ana wajibu wengine hajibu. Kifupi nimeshindwa kupata flow nzuri kwani nadhani huwa anafutaga chats.
Sasa nikatengeneza Akaunti fake TikTok kwa majina tofauti. Wiki nzima tuko tunaenjoy mapenzi mtandaoni muda mwingine namchatisha tuko wote sebuleni yeye anajiachia kumbe ni mimi mume wake. Nimemtongoza na amekubali na amekubali kuolewa tena.
Kifupi huyu inawezekana akitokea jamaa yuko serious anaondoka nae.
NACHUKIA SANA WANAWAKE HOYA HOYA. Tuishi nao lakini tusiwaamini asilimia 90%.
Aisee hawa wanawake ni hatari.
Mke wangu anapenda sana TikTok sasa kuna siku nimeingia kwenye acc yake nimekuta kuna vijana wanamtongoza wengine ana wajibu wengine hajibu. Kifupi nimeshindwa kupata flow nzuri kwani nadhani huwa anafutaga chats.
Sasa nikatengeneza Akaunti fake TikTok kwa majina tofauti. Wiki nzima tuko tunaenjoy mapenzi mtandaoni muda mwingine namchatisha tuko wote sebuleni yeye anajiachia kumbe ni mimi mume wake. Nimemtongoza na amekubali na amekubali kuolewa tena.
Kifupi huyu inawezekana akitokea jamaa yuko serious anaondoka nae.
NACHUKIA SANA WANAWAKE HOYA HOYA. Tuishi nao lakini tusiwaamini asilimia 90%.
Job true trueKazi kweli kweli.
Asilimia 90 per cent.Aisee hawa wanawake ni hatari.
Mke wangu anapenda sana TikTok sasa kuna siku nimeingia kwenye acc yake nimekuta kuna vijana wanamtongoza wengine ana wajibu wengine hajibu. Kifupi nimeshindwa kupata flow nzuri kwani nadhani huwa anafutaga chats.
Sasa nikatengeneza Akaunti fake TikTok kwa majina tofauti. Wiki nzima tuko tunaenjoy mapenzi mtandaoni muda mwingine namchatisha tuko wote sebuleni yeye anajiachia kumbe ni mimi mume wake. Nimemtongoza na amekubali na amekubali kuolewa tena.
Kifupi huyu inawezekana akitokea jamaa yuko serious anaondoka nae.
NACHUKIA SANA WANAWAKE HOYA HOYA. Tuishi nao lakini tusiwaamini asilimia 90%.
Dah! Aisee.Na mpenzi wangu nae kakubali, ila yeye ni instagram