Nimemtongoza mke wangu kwa akaunti fake TikTok kanikubali, tena yupo tayari kuolewa

Nimemtongoza mke wangu kwa akaunti fake TikTok kanikubali, tena yupo tayari kuolewa

Serious na wewe unaungana na jamaa kwa kitendo alichofanya..😂😂😂😂😂😂😂
Eeeeh Tiktok unatumia jina gani ...?
😂😂😂
Nadhani kasema kuwa alifungua account kwa sababu ya hiyo mission maalum. Kosa lake ni nini? Nadhani jamaa amefanya vizuri sana kujua mke wake yukoje.
 
Mi naona we ni mjinga zaidi,yaani kujua mkeo siyo mwaminifu ni ujinga?
Aisee... maana hata nchi hufanya vetting Kwa baadhi ya watu,bila wao wenyewe kujua kama wanafanyiwa vetting... Sasa wakimwambia mtu kua tunakufanyia vetting,si atafanya camouflage?
We mtu ni mjinga sana,nyie ndo mnaoa vituko ila hamjui.
Kuna issue hapa. Wazinzi wote wanamtukana jamaa eti amefanya ujinga. Trust me. Hawa wote wanaotukana kuwa jamaa kafanya ujinga ni waasherati wakubwa wanaogopa kuwa ujanja wa jamaa ukitumiwa na wenza wao basi watakamatika kirahisi sana.
 
Oya hawa wanawake jau sanaa huo mchezo mi nishawah fanya kwa wanawake tano na wote wakakubali

Kitu nilichokuja kugundua kwamba mwanamke bhana ndo walivyo yana wana uzaifu mkubwa sana tena sana tena narudia wnawake wa udhaifu mkubwa sana tena wote duniani

Yan hio kitu huwez kuibadilisha kwa mwanamke ndo walivyo na ukisema uchukulie serious kila siku utakuwa unabadilisha wanawake kwasbb huwezi badilish huo mfumo wao

Kitu kikubwa ni wew kuacha tu huo mchezo sababu utakuwa unajiumiza tu wew bila sababu

Itoshe kusema wanawke hawariziki na ndo maana mimi nawachukia sana hawa viumbe na nikiwapata nasmash kabisa bila huruma
sasa mfano ndo unakuta bodaboda wanasema hivyo kuhusu mama yako wanasimamshi Halafu wanapita hivi, au mdogo wako wakike🤣🤣🤣🤣
mkuu pole sana what goes around comes around.
 
Aisee hawa wanawake ni hatari.

Mke wangu anapenda sana TikTok sasa kuna siku nimeingia kwenye acc yake nimekuta kuna vijana wanamtongoza wengine ana wajibu wengine hajibu. Kifupi nimeshindwa kupata flow nzuri kwani nadhani huwa anafutaga chats.

Sasa nikatengeneza Akaunti fake TikTok kwa majina tofauti. Wiki nzima tuko tunaenjoy mapenzi mtandaoni muda mwingine namchatisha tuko wote sebuleni yeye anajiachia kumbe ni mimi mume wake. Nimemtongoza na amekubali na amekubali kuolewa tena.

Kifupi huyu inawezekana akitokea jamaa yuko serious anaondoka nae.

NACHUKIA SANA WANAWAKE HOYA HOYA. Tuishi nao lakini tusiwaamini asilimia 90%.
Bora wewe kuna dogo langu alifanya huo mchezo akaambiwa mume wake alifariki
 
Aisee hawa wanawake ni hatari.

Mke wangu anapenda sana TikTok sasa kuna siku nimeingia kwenye acc yake nimekuta kuna vijana wanamtongoza wengine ana wajibu wengine hajibu. Kifupi nimeshindwa kupata flow nzuri kwani nadhani huwa anafutaga chats.

Sasa nikatengeneza Akaunti fake TikTok kwa majina tofauti. Wiki nzima tuko tunaenjoy mapenzi mtandaoni muda mwingine namchatisha tuko wote sebuleni yeye anajiachia kumbe ni mimi mume wake. Nimemtongoza na amekubali na amekubali kuolewa tena.

Kifupi huyu inawezekana akitokea jamaa yuko serious anaondoka nae.

NACHUKIA SANA WANAWAKE HOYA HOYA. Tuishi nao lakini tusiwaamini asilimia 90%.
Mkeo sio Malaya....Wala usimfikirie hivo.


Wewe ni Moja ya kundi letu wanaume ambao Huwa tuna lugha nzuri sana ya kutongoza.

Yaan unaweza mfanya Demu akajiona mpya Kila siku Kwa sababu Kila siku una mtongozo mpya mpya.


Hivo usimjaribu.
 
Pia kama umeoa mwanamke na kuanzia kula yake mpaka kazi au biashara ni wewe hapo.

Piga marufuku uwepo wake kwenye mitandao ya kijami.


Kwa sababu huko ndiko anaonana na washikaji wa shule ya msingi...Sekondari, chuo
 
Back
Top Bottom