Mech engineer
JF-Expert Member
- Aug 25, 2017
- 354
- 472
"Sio shida zangu" We ni punga 100%uko na sexuality insecurity!
hizo si shida zangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Sio shida zangu" We ni punga 100%uko na sexuality insecurity!
hizo si shida zangu
hatari
Nani ambae hana sub? Bwanako hana sub?
Ila una mabwana?Sina bwana mkuu
Nashangaa watu wanamjia juu jamaa wakati shida iko wazi. Mke wake ni mapepe.Ujinga wake uko wapi?
Kumjua mkewe yukoje ni ujinga?
Kweli Kuna watu wa ajabu hii nchi.
Ila una mabwana?
Nadhani kasema kuwa alifungua account kwa sababu ya hiyo mission maalum. Kosa lake ni nini? Nadhani jamaa amefanya vizuri sana kujua mke wake yukoje.Serious na wewe unaungana na jamaa kwa kitendo alichofanya..😂😂😂😂😂😂😂
Eeeeh Tiktok unatumia jina gani ...?
😂😂😂
Kuna issue hapa. Wazinzi wote wanamtukana jamaa eti amefanya ujinga. Trust me. Hawa wote wanaotukana kuwa jamaa kafanya ujinga ni waasherati wakubwa wanaogopa kuwa ujanja wa jamaa ukitumiwa na wenza wao basi watakamatika kirahisi sana.Mi naona we ni mjinga zaidi,yaani kujua mkeo siyo mwaminifu ni ujinga?
Aisee... maana hata nchi hufanya vetting Kwa baadhi ya watu,bila wao wenyewe kujua kama wanafanyiwa vetting... Sasa wakimwambia mtu kua tunakufanyia vetting,si atafanya camouflage?
We mtu ni mjinga sana,nyie ndo mnaoa vituko ila hamjui.
sasa mfano ndo unakuta bodaboda wanasema hivyo kuhusu mama yako wanasimamshi Halafu wanapita hivi, au mdogo wako wakike🤣🤣🤣🤣Oya hawa wanawake jau sanaa huo mchezo mi nishawah fanya kwa wanawake tano na wote wakakubali
Kitu nilichokuja kugundua kwamba mwanamke bhana ndo walivyo yana wana uzaifu mkubwa sana tena sana tena narudia wnawake wa udhaifu mkubwa sana tena wote duniani
Yan hio kitu huwez kuibadilisha kwa mwanamke ndo walivyo na ukisema uchukulie serious kila siku utakuwa unabadilisha wanawake kwasbb huwezi badilish huo mfumo wao
Kitu kikubwa ni wew kuacha tu huo mchezo sababu utakuwa unajiumiza tu wew bila sababu
Itoshe kusema wanawke hawariziki na ndo maana mimi nawachukia sana hawa viumbe na nikiwapata nasmash kabisa bila huruma
AiseeFear women [emoji23]
duuh😳😳sasa mfano ndo unakuta bodaboda wanasema hivyo kuhusu mama yako wanasimamshi Halafu wanapita hivi, au mdogo wako wakike🤣🤣🤣🤣
mkuu pole sana what goes around comes around.
Bora wewe kuna dogo langu alifanya huo mchezo akaambiwa mume wake alifarikiAisee hawa wanawake ni hatari.
Mke wangu anapenda sana TikTok sasa kuna siku nimeingia kwenye acc yake nimekuta kuna vijana wanamtongoza wengine ana wajibu wengine hajibu. Kifupi nimeshindwa kupata flow nzuri kwani nadhani huwa anafutaga chats.
Sasa nikatengeneza Akaunti fake TikTok kwa majina tofauti. Wiki nzima tuko tunaenjoy mapenzi mtandaoni muda mwingine namchatisha tuko wote sebuleni yeye anajiachia kumbe ni mimi mume wake. Nimemtongoza na amekubali na amekubali kuolewa tena.
Kifupi huyu inawezekana akitokea jamaa yuko serious anaondoka nae.
NACHUKIA SANA WANAWAKE HOYA HOYA. Tuishi nao lakini tusiwaamini asilimia 90%.
Mkeo sio Malaya....Wala usimfikirie hivo.Aisee hawa wanawake ni hatari.
Mke wangu anapenda sana TikTok sasa kuna siku nimeingia kwenye acc yake nimekuta kuna vijana wanamtongoza wengine ana wajibu wengine hajibu. Kifupi nimeshindwa kupata flow nzuri kwani nadhani huwa anafutaga chats.
Sasa nikatengeneza Akaunti fake TikTok kwa majina tofauti. Wiki nzima tuko tunaenjoy mapenzi mtandaoni muda mwingine namchatisha tuko wote sebuleni yeye anajiachia kumbe ni mimi mume wake. Nimemtongoza na amekubali na amekubali kuolewa tena.
Kifupi huyu inawezekana akitokea jamaa yuko serious anaondoka nae.
NACHUKIA SANA WANAWAKE HOYA HOYA. Tuishi nao lakini tusiwaamini asilimia 90%.