Mkweche II
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 4,160
- 5,793
We jamaa hua unapenda mada zinazo husiana na mavi mavi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unapenda sana contents zinazo husiana na kinyume na maumbile!Ukisikia kuyabananga, basi mie komwe sio tu nimeyabananga, nimeyavaa jumla jumla. Nimeboronga, nimekanyaga divi bichi.
Baba mkwe wangu ni mwanajeshi, ana nyota nyingi begani, jitu jeusi, refu, linatisha na lina matuta usoni kama Mizengo Pinda.
Alikuja nyumbani kwangu kwenye sherehe ya kipaimara ya mjukuu wake. Kwa kweli amejua kufukia msosi, kaaah!! Amebugia mawali mpaka nikakimbia chumbani kujificha kwa muda nikawa namchungulia kwenye pazia!
Alipomaliza kula, akatuaga akaondoka. Baada ya masaa kadhaa, nikamuandikia ujumbe kumjulia hali yake ya safari!! LA HAULAAAH! Najutraaa!
Meseji ilipoenda, nikaona anapiga simu na kukata, nikajiuliza, Baba mkwe weraaah ayuuu!
Nikafungua meseji niliyomtumia kuhakikisha kama imefika, tobaaa weeee!!! Kumbe nimeandika madudu matupu, sijui nilikuwa nimelewa soda ya kipaimara komwe miee!
Meseji niliyoituma inasema "Baba Mkwe umefiRa salama?", badala ya Baba Mkwe UmefiKa salama?
Nimeizima simu ghafla, nikachukua panado nikameza, nikapiga goti nikasali rozari takatifu!
Naombeni mnifariji, sijui nifanye nini hapa! Msaada tafadhali, nimeyavaa, nimeyabananga!
Komwe limenishuka shuuuuu!
Unamaanisha anapenda kufukua mitaroWe jamaa hua unapenda mada zinazo husiana na mavi mavi
Nlivyoona mwanaume anaandika "Najutraaa" badala ya najuta, nkaona kuna kitu hakipo sawa.Ndoa za jinsia moja zimeshahalishwa bongo siku hizi?wewe si tunakufahamu mchicha mwiba
Ahsante kwa mchango wako uliotukuka.Nlivyoona mwanaume anaandika "Najutraaa" badala ya najuta, nkaona kuna kitu hakipo sawa.
Nini hiyoMpe tu aitandike vagamia nyagi iwe ya moto
Pole sana rafikiUkisikia kuyabananga, basi mie komwe sio tu nimeyabananga, nimeyavaa jumla jumla. Nimeboronga, nimekanyaga divi bichi.
Baba mkwe wangu ni mwanajeshi, ana nyota nyingi begani, jitu jeusi, refu, linatisha na lina matuta usoni kama Mizengo Pinda.
Alikuja nyumbani kwangu kwenye sherehe ya kipaimara ya mjukuu wake. Kwa kweli amejua kufukia msosi, kaaah!! Amebugia mawali mpaka nikakimbia chumbani kujificha kwa muda nikawa namchungulia kwenye pazia!
Alipomaliza kula, akatuaga akaondoka. Baada ya masaa kadhaa, nikamuandikia ujumbe kumjulia hali yake ya safari!! LA HAULAAAH! Najutraaa!
Meseji ilipoenda, nikaona anapiga simu na kukata, nikajiuliza, Baba mkwe weraaah ayuuu!
Nikafungua meseji niliyomtumia kuhakikisha kama imefika, tobaaa weeee!!! Kumbe nimeandika madudu matupu, sijui nilikuwa nimelewa soda ya kipaimara komwe miee!
Meseji niliyoituma inasema "Baba Mkwe umefiRa salama?", badala ya Baba Mkwe UmefiKa salama?
Nimeizima simu ghafla, nikachukua panado nikameza, nikapiga goti nikasali rozari takatifu!
Naombeni mnifariji, sijui nifanye nini hapa! Msaada tafadhali, nimeyavaa, nimeyabananga!
Komwe limenishuka shuuuuu!
Sawa masawe.Kama mjeshi kweli na ananyota za kutosha hawezi maindi lolote ila ataanza kuwa na mashaka mwanae hua unamfira. Kwasababu neno wakati wakuandika sms likiwa linajitokeza hua linaandikwa sana
Sasa andika upya ,jifaye unauliza sms imefika ? Nilikuuliza kama umefika salama
Asante sana dokta
Mavi ni uhai.We jamaa hua unapenda mada zinazo husiana na mavi mavi
Ukisikia kuyabananga, basi mie komwe sio tu nimeyabananga, nimeyavaa jumla jumla. Nimeboronga, nimekanyaga divi bichi.
Baba mkwe wangu ni mwanajeshi, ana nyota nyingi begani, jitu jeusi, refu, linatisha na lina matuta usoni kama Mizengo Pinda.
Alikuja nyumbani kwangu kwenye sherehe ya kipaimara ya mjukuu wake. Kwa kweli amejua kufukia msosi, kaaah!! Amebugia mawali mpaka nikakimbia chumbani kujificha kwa muda nikawa namchungulia kwenye pazia!
Alipomaliza kula, akatuaga akaondoka. Baada ya masaa kadhaa, nikamuandikia ujumbe kumjulia hali yake ya safari!! LA HAULAAAH! Najutraaa!
Meseji ilipoenda, nikaona anapiga simu na kukata, nikajiuliza, Baba mkwe weraaah ayuuu!
Nikafungua meseji niliyomtumia kuhakikisha kama imefika, tobaaa weeee!!! Kumbe nimeandika madudu matupu, sijui nilikuwa nimelewa soda ya kipaimara komwe miee!
Meseji niliyoituma inasema "Baba Mkwe umefiRa salama?", badala ya Baba Mkwe UmefiKa salama?
Nimeizima simu ghafla, nikachukua panado nikameza, nikapiga goti nikasali rozari takatifu!
Naombeni mnifariji, sijui nifanye nini hapa! Msaada tafadhali, nimeyavaa, nimeyabananga!
Komwe limenishuka shuuuuu!
ungempigia na kumuomba radhiUkisikia kuyabananga, basi mie komwe sio tu nimeyabananga, nimeyavaa jumla jumla. Nimeboronga, nimekanyaga divi bichi.
Baba mkwe wangu ni mwanajeshi, ana nyota nyingi begani, jitu jeusi, refu, linatisha na lina matuta usoni kama Mizengo Pinda.
Alikuja nyumbani kwangu kwenye sherehe ya kipaimara ya mjukuu wake. Kwa kweli amejua kufukia msosi, kaaah!! Amebugia mawali mpaka nikakimbia chumbani kujificha kwa muda nikawa namchungulia kwenye pazia!
Alipomaliza kula, akatuaga akaondoka. Baada ya masaa kadhaa, nikamuandikia ujumbe kumjulia hali yake ya safari!! LA HAULAAAH! Najutraaa!
Meseji ilipoenda, nikaona anapiga simu na kukata, nikajiuliza, Baba mkwe weraaah ayuuu!
Nikafungua meseji niliyomtumia kuhakikisha kama imefika, tobaaa weeee!!! Kumbe nimeandika madudu matupu, sijui nilikuwa nimelewa soda ya kipaimara komwe miee!
Meseji niliyoituma inasema "Baba Mkwe umefiRa salama?", badala ya Baba Mkwe UmefiKa salama?
Nimeizima simu ghafla, nikachukua panado nikameza, nikapiga goti nikasali rozari takatifu!
Naombeni mnifariji, sijui nifanye nini hapa! Msaada tafadhali, nimeyavaa, nimeyabananga!
Komwe limenishuka shuuuuu!
Kwamba kaf** = kafika au Dah ila we jmaaa akili zako.unazijua mwenyewe 😀😀🤣🤣🤣Mbona kama ndio nakoleza moto zaidi.