Nimemtukana Baba Mkwe kimakosa: Natamani kukimbia mkoa, nimechanganyikiwa

Unapenda sana contents zinazo husiana na kinyume na maumbile!
Kuna mawili inawezekana wewe ni muumini wa haya mambo au una shida ya kisaikolojia!

Mkuu!
 
Kama mjeshi kweli na ananyota za kutosha hawezi maindi lolote ila ataanza kuwa na mashaka mwanae hua unamfira. Kwasababu neno wakati wakuandika sms likiwa linajitokeza hua linaandikwa sana


Sasa andika upya ,jifaye unauliza sms imefika ? Nilikuuliza kama umefika salama
 
Pole sana rafiki

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Sawa masawe.
 

Utakuwa mfiraji[emoji200]
 
ungempigia na kumuomba radhi
 
Hata hivi kiujumla humheshimu na humpendi huyo mkweo. Eti "Amebugia miwali mpaka nikakimbia ......"
 
Hata Babamkwe naye kasoma "umefika" sasa ww hours yako ni nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…