Nimemuacha mkurya rasmi


Matola must be a very happy man indeed! Hongera Matola
 
Makuzi ya binadamu yanachukua mda mregu sana Unaweza kuwa msomi na usijitambue Umuhim wa kutangaziwa kuachana unatoka wapi kama wakati Mnaanza Mahusiano hukuutangazia ulimwengu kuwa Umempata wa Ubani Wako Kabila glani?
 

Kapoteza umaarufu mjini au imekuwa vipi?
 
Pole sana
 
Wanaume toka kanda ya ziwa walau naona wamejitahidi ku-maintain ile masculinity. 💪
Hawako tayari kutawaliwa na mwanamke kwa sababu yoyote iwe .
Na hiyo ni kutokana na asili ya uumbaji na vitabu vitakatifu.
Nawaoubali sana wanaume wa kisukuma na kikurya.
Yaani mwanamke jitie wazimu uwezavyo tishia kutaka kuachana na kudai talaka , they don’t care 👌👌👌
Wanajiamini maisha ni lazima yaendelee.
Wanaume wa kihaya sijaweza kupata exposure na kujifunza kuwajua wao wakoje ni wale wa “mama fulani sawa tu” au ni wanaume wanaujua kusema hapana kwenye hili na hili bila kuyumbishwa.

Let’s reimagine masculinity 💪💪
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…