Nimemuacha mkurya rasmi

Nimemuacha mkurya rasmi

Hahahaa....subiri siku arudi na pichu ya kike ndo utajua I mean business
Hahahaaaaaaaaaa! NAITIA KIBIRITI TU HILO CHUPIDO WALA SIMUULIZI CHOCHOTE NAMPA MIUNO FENI JUUU USIKU HUO HUO! Ndo utajua kama wewe u mean business, i mean life!
HATOKI MTU HAPA!
 
Hahahaaaaaaaaaa! NAITIA KIBIRITI TU HILO CHUPIDO WALA SIMUULIZI CHOCHOTE NAMPA MIUNO FENI JUUU USIKU HUO HUO! Ndo utajua kama wewe u mean business, i mean life!
HATOKI MTU HAPA!

Maneno mengi sinaga vyangu vitendo
 
Naomba nimtetee maana huyu naye kazidi kuwa fake




wewe nae shushu acha umbea mwenzio kamwaga manyanga aiii
 
sasa hivi umukagame atatishia kujiua kwa sababu Bamukunda kaanika kila kitu wazi..... kila mwezi bwana mpya??????? mie sipo thinking loudly....
 
Last edited by a moderator:
Weeeeeeeeeeeeeeeeee! Tutarogana! Tutamalizanaaaa! Vipo vya kushewa ila sio Dushe la Matola? Tafadhaliiiiiiii!

Baki huko huko na kizee chako! Huku mwenyewe mmoja sitoshi we uje kufanya nini? Acha mambo zako kabisaaa!

baelezee, naona dina analeta uchochezi wake tu, kumbe mwanamke ukiamuwa now I want to be real woman ni lazima wavurugaji wakuzonge.
 
Bamukunda asante sana,,anajulikana huyo hana lolote,anauza tu,hili ni tangazo lake la biashara!Atakuwa kakaa muda JF wamempa kisogo ameamua kufunguka,kwa wale waliodhani ana mtu,mjue sasa yuko single and searching!!
 
Last edited by a moderator:
Na huyu umukagame muda si mrefu tutakaribia kumjua ni nanii id ikiunganishwaa yaan ntapasuka mbavuu,
namfaham mpaka kwa sura na jina sikuwa najua kuwa anafanya kazi ila najua tunasoma chuo kimoja ni mpole ukimuona kwa nje ila sikujua undani mpka niliposoma hapa ndio nimeanza kumuelewa angalau kidogo.
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaaa,wakurya JF wanajulikana,hapa tuwaorodheshe wote alafu tutamjua tu ni nani huyo aliyepigwa chini!!

Au Excell na babu Asprini mnasemaje? umukagame huyo tena is searching!!
 
Last edited by a moderator:
Nitumie namba ya huyo muraaaa nimtumie pongezi kwa haya mafanikio makubwa ya kuachwa na wewe. Hii ni baada ya kupitia records alizotufunulia huyu ndugu Bamukunda hapo juu.
 
Naomba nimtetee maana huyu naye kazidi kuwa fake




bamukunda, nakukunda pia nikukundie.
 
Wakuu wangu shikamooni,

Kitambo sijakuja humu lakini shule ilibana na nilikuwa nimechange life style kidogo

Nimemuacha yule mkurya wangu leo rasmi coz nahisi nina matatizo kila wakati analalamika sitekelezi vile anapenda na nimeona nisimpotezee muda bado sihitaji kuwa in seriously relationship moyo wangu hauko tayari.

Nahisi mume wangu bado sijamuona, bado hajazaliwa musinichoshe niacheni nisome au niwamention hapa mnielewe?
Am very sory for dat

tatizo si kupata mwanaume we binti,

tatizo ni kum-handle huyo mwanaume!

leo hii umemkimbia mkurya, kesho utanasa kwa muha! hakika nakwambia kama ulivyomfanyia mkurya, hautotulia kwa muha!

kumbuka mazoea ni kama tabia, utakuja stuka ushakuwa single mother kama morg!.. utalia na dunia weeee huku wenzio wanapakatwa na kuimbiwa nyimbo nzuuuuri za kuliwazana!



kaa usome! tutakutana taifa kwenye interview ya uhamiaji! lol... unemployment nayo ishatushika pabaya!
 
tatizo si kupata mwanaume we binti,

tatizo ni kum-handle huyo mwanaume!

leo hii umemkimbia mkurya, kesho utanasa kwa muha! hakika nakwambia kama ulivyomfanyia mkurya, hautotulia kwa muha!

kumbuka mazoea ni kama tabia, utakuja stuka ushakuwa single mother kama morg!.. utalia na dunia weeee huku wenzio wanapakatwa na kuimbiwa nyimbo nzuuuuri za kuliwazana!



kaa usome! tutakutana taifa kwenye interview ya uhamiaji! lol... unemployment nayo ishatushika pabaya!
Excell Pokea like 1000 mkuu
 
Last edited by a moderator:
Una pepo la ngono fullkutombekah wewe ni kudabuliwa 24/7
 
Back
Top Bottom