Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungetaja aina ya biashara ili kupanua wigo wa kupata ushauri stahiki.Tufanyeje wajasiriamali?
MfukuzeNimefungua biashara mpya na nimetengeneza ajira kwa mtaaalmu mmoja lakini katika mweiz wa kwanza ananiibia kama tuna hisa naye.Tufanyeje wajasiriamali?
Anaiba madawa, vifaa au wagonjwa?Biashara ya Maabara ya magonjwa ya Binadamu
Usicheke na mwizi mfukuze tafuta mwingine watz kuaminika ziroBiashara ya Maabara ya magonjwa ya Binadamu
Ila iyo lagan unayo mwenyewekuwa muafirika ni laana
Pole Sana
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Ila iyo lagan unayo mwenyewe
Bora ya mwizi wa zamani kuliko mwizi mpya wote ni wezi tunatofautiana kiwango, mshahara hautoshiUsicheke na mwizi mfukuze tafuta mwingine watz kuaminika ziro
Uko njee wtz wanafukuzwa kila kukicha uzembe na wiziBora ya mwizi wa zamani kuliko mwizi mpya wote ni wezi tunatofautiana kiwango, mshahara hautoshi
Watanzania ni wagumu kwel ukianza kuwaletea automation..Wanaona gharama sanaa ila zinasaidia sana.Anaiba madawa, vifaa au wagonjwa?
Weka system nzuri. Iwe automated.
Kwakwel .Laana ya dronedrake mbona inajulikana hapa JF nzima.Mkono wake mmoja umejazia kuliko mwingine😂Ila iyo lagan unayo mwenyewe
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Mkono wake mmoja umejazia kuliko mwingine😂
Na ana usonjoKwakwel .Laana ya dronedrake mbona inajulikana hapa JF nzima.Mkono wake mmoja umejazia kuliko mwingine😂
Kama kuna kaukwel hapa 😂😂Usikute na wewe mwenyewe ni mtumishi unatuibia madawa yetu hospital unahamishia kwako hio ni laws of nature yetu waswahili wizi unaanzia juu.
Mtawala anaiba anaficha Ulaya baba anaiba ofisin mama anamuibia baba anatuma kwao dada wa kazi nae anakata zake akitumwa dukani anatuma kwao.
🤣🤣Usikute na wewe mwenyewe ni mtumishi unatuibia madawa yetu hospital unahamishia kwako hio ni laws of nature yetu waswahili wizi unaanzia juu.
Mtawala anaiba anaficha Ulaya baba anaiba ofisin mama anamuibia baba anatuma kwao dada wa kazi nae anakata zake akitumwa dukani anatuma kwao.