Nimemuajiri mtu ndani ya mwezi 1 kaanza kuniibia

Nimemuajiri mtu ndani ya mwezi 1 kaanza kuniibia

Online system ni nzuri zaidi kwakua inakupa fursa ya ku take advantage juu ya mambo mengine mengi ambayo sio lazima wewe ufanye ila syatem itafanya badala yako mfano.
1.unaweza kuwa na option ya kuchukua namba ya simu ya kila mteja wako kisha kuitunza kwenye database yako ili Kila una upload stock mpya, system iwe na uwezo AUTOMATICALLY wa kuwa notify wateja wako kwa SMS kuu ya mali mpya iliyoingia.
Kuwajuza kwa SMS juu ya mapunguzo ya bei au offer.. kuwajuza kuhusu mambo mengine like wishing them holliday greetings mfano "happy new year" ili ku add value kwa mteja ajione wa thaman na kwamba sio tu unataka pesa yake but unamthamin pia na kumkumbuka pia.

Hii ni njia moja wapo ya kum binafsisha mteja kwa kumtengeneza awe loyal na wako peke yako asiwaze provider wngine..
Hii ni ni faida moja wapo katika business perspective..

Nitakutafuta mkuu tufanye kazi
 
Nimefungua biashara mpya na nimetengeneza ajira kwa mtaaalmu mmoja lakini katika mwezi wa kwanza ananiibia kama tuna hisa naye. Tufanyeje wajasiriamali?
Niwashukuru nyote mlionipa mawazo tofauti katika kuboresha na kukabiliana na hii hali.Jambo moja kubwa ni kuwa sisi Watanzania hatuna uwezo wa majadiliano hasa katika ajira.Mtu anakubali na kusaini mkataba lakini hasomi vipengere vya mkataba na kavielewa.Jambo la pili ni kuwa fursa ni nyingi na wenye uwezo wa kuzitumia fursa wapo ila watu waaminifu wa kusimamia ni tatizo.UAMINIFU ni zero kabisa.
Mimi nilijtahidi sana kuitafiti biashara hii kabla ya kuanza na niligundua baadhi ya mianya na nikajaribu kupunguza faida yangu kwa kutumia technolojia ya ghali zaidi.Kwa mfano badal aya kutumia blood slide natumia MRDT kupima malaria.Baala ya kutumia widal test natumia Rapid test ya typhoid na vingine vingi.Hata hivyo ukifanya reconciliation bado unakuta mapungufu makubwa.Vilivyopimwa na vilivyorekodiwa ni tofauti.
Tujadiliane
 
Back
Top Bottom