Nimemuambia wife awe anasuka style hii ya nywele ili ku-save cost, kaishia kunisunya na kunibinulia midomo

Topaz nayo ni bidhaa jamani kama bidhaa zingine[emoji23][emoji23][emoji23] au kwenye ndoa kichwa kinakuwa jabali?

Ili kesho na kesho kutwa mkichepuka mseme nilichepuka mke wangu hanivutiii bichwa lake kama langu[emoji28][emoji28][emoji28]watoto wa mama mkwe hamna jema [emoji28]
 
Umekosea sana mkuu. Ulitakiwa kumsifia tu non stop. Muambie huu msuko nimeona mtu kafanya ofisini, yaanj amekuwa kama school girl. Hebu kasuke uje unifurahishe mumeo. Na akisuka msifie yaani kutwa mara tatu. Utashangaa aisee. Mmeambiwa mtumie akili, mnatumia ubabe!
Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
 
Ili kesho na kesho kutwa mkichepuka mseme nilichepuka mke wangu hanivutiii bichwa lake kama langu[emoji28][emoji28][emoji28]watoto wa mama mkwe hamna jema [emoji28]
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Wew bando kwa mwezi unatumia shilingi ngapi?

Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
 
Ahaaa hapo kwenye "shughuli maalum" nimekusoma, ila nasikia kucha ndefu hizo ukitembezewa mwilini haswa kwenye two balls ni raha sana!![emoji23][emoji23]

Yatakiwa ziwe zako za kubandika hazina msisimko kivile japo zasisimua
 
We ndie unaendana na mshkaji, bora mlianzishe tu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ