Topaz nayo ni bidhaa jamani kama bidhaa zingine๐๐๐ au kwenye ndoa kichwa kinakuwa jabali?Sasa seminary unyoe na topaz, jeshini unyoe na topaz na ndani ya ndoa [emoji28][emoji28][emoji28]abeg oh
Topaz nayo ni bidhaa jamani kama bidhaa zingine[emoji23][emoji23][emoji23] au kwenye ndoa kichwa kinakuwa jabali?
Kwema ndugu zangu watanganyika? Kutokana na mimi kupitia changamoto za kifedha kwa sasa, nilimuomba Wife tupunguze gharama za uendeshaji wa maisha yetu kwa kujibana sana, pendekezo langu la kwanza nilipendekeza Wife anyoe nywele zake alizosuka, akajitetea kwamba nywele zake katumia karibia miaka 10 kuzifikisha hapo zilipofikia hivyo hatoweza kuzinyoa na akaongezea kuwa akinyoa yeye huwa ana kichwa kibaya hivyo hatokua comfortable.
Basi mimi nikajaribu kupitia kwenye baadhi ya pages za wadada wenye saloon huko Instagram nikaja na pendekezo moja kuwa Wife awe anasuka style fulani hivi ya nywele ambayo ni affordable kwani ni elfu 5 tu ila mwenzangu nilipomshirikisha hivyo akaishia kunisunya na kunibinulia midomo kuwa hayuko tayari.
Mpaka sasa kaninunia ila mimi msimamo wangu uko pale pale sitotoa zaidi ya elfu 5 ya kusukia.
Asanteni
View attachment 2044854
๐๐๐๐๐๐๐๐๐Ili kesho na kesho kutwa mkichepuka mseme nilichepuka mke wangu hanivutiii bichwa lake kama langu[emoji28][emoji28][emoji28]watoto wa mama mkwe hamna jema [emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uongo ndioUongo [emoji23][emoji23]
Halafu ukute pia anakukataza kuweka zile kucha zako zile[emoji23]Ata kama ni mimi ningekataaa weeeee,
Uongo ndio
Halafu ukute pia anakukataza kuweka zile kucha zako zile[emoji23]
Wew bando kwa mwezi unatumia shilingi ngapi?Kwema ndugu zangu watanganyika? Kutokana na mimi kupitia changamoto za kifedha kwa sasa, nilimuomba Wife tupunguze gharama za uendeshaji wa maisha yetu kwa kujibana sana, pendekezo langu la kwanza nilipendekeza Wife anyoe nywele zake alizosuka, akajitetea kwamba nywele zake katumia karibia miaka 10 kuzifikisha hapo zilipofikia hivyo hatoweza kuzinyoa na akaongezea kuwa akinyoa yeye huwa ana kichwa kibaya hivyo hatokua comfortable.
Basi mimi nikajaribu kupitia kwenye baadhi ya pages za wadada wenye saloon huko Instagram nikaja na pendekezo moja kuwa Wife awe anasuka style fulani hivi ya nywele ambayo ni affordable kwani ni elfu 5 tu ila mwenzangu nilipomshirikisha hivyo akaishia kunisunya na kunibinulia midomo kuwa hayuko tayari.
Mpaka sasa kaninunia ila mimi msimamo wangu uko pale pale sitotoa zaidi ya elfu 5 ya kusukia.
Asanteni
View attachment 2044854
Ahaaa hapo kwenye "shughuli maalum" nimekusoma, ila nasikia kucha ndefu hizo ukitembezewa mwilini haswa kwenye two balls ni raha sana!![emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]am dead japo mi nikiwa na shuguli maalumu siwekagi[emoji28]
Hahahahahah dah yani nihonge nje wakati wewe wife unakaziwa?Ah thubutu, unakuta hapo nje unahonga lace wigs za kutosha
Ahaaa hapo kwenye "shughuli maalum" nimekusoma, ila nasikia kucha ndefu hizo ukitembezewa mwilini haswa kwenye two balls ni raha sana!![emoji23][emoji23]
Hahahahahah dah yani nihonge nje wakati wewe wife unakaziwa?
Hamna banaSi ndo zenu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Gharama hizo zimeanza lini jamani? Mbona
Kifungilo Seminary mlinyoa kwa topaz za 200 term nzima gharama haikuzidi buku!
Nimekuelewa vyema mremboYatakiwa ziwe zako za kubandika hazina msisimko kivile japo zasisimua
We ndie unaendana na mshkaji, bora mlianzishe tu!!Hiyo twende kilioni ni buku mbili,shida ya hizi familia ni kupata mtu atakaye kuelewa nywele za miaka kumi unashindwa kuziundia staili mbalimbali ambazo hazitumii gharama?
Binafsi nywele ya mkono siwezi kuisuka nkatembea nayo naona kama kichwa sio changu tena
Ndio hao wakishaingia ndani ya ndoa wanaanza kunyanyua mabega!!Topaz nayo ni bidhaa jamani kama bidhaa zingine๐๐๐ au kwenye ndoa kichwa kinakuwa jabali?
Wananyanyua mabega hawa ๐Ndio hao wakishaingia ndani ya ndoa wanaanza kunyanyua mabega!!