Nimemuona kipendacho roho JF

Nimemuona kipendacho roho JF

193ccf54daa9a1dd30ff2a1e637116c7.jpg
Haha
 
Kwanza niseme tu sio mimi ninayesemewa hapa
Pili sidhani hata kama niliyenaye anaweza kufanya hii michezo ya kitoto hivi

Najua thread haikusemi wewe, mimi nimeongea hivyo baada ya kukumbuka hizo points na mwanzisha thread kasema alikuwa anatumia jina halisi zamani ila ameamua kubadili ID, na ghafla anatega mtu.

"There is always an exception to general rule". Usimwamini mwanaume hata kama ni baba yako.
 
Najua thread haikusemi wewe, mimi nimeongea hivyo baada ya kukumbuka hizo points na mwanzisha thread kasema alikuwa anatumia jina halisi zamani ila ameamua kubadili ID, na ghafla anatega mtu.

"There is always an exception to general rule". Usimwamini mwanaume hata kama ni baba yako.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sawa nimekuelewa mnoo
 
Back
Top Bottom