Nimemuona kipendacho roho JF

Nimemuona kipendacho roho JF

193ccf54daa9a1dd30ff2a1e637116c7.jpg
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Katika tembea yangu kwenye majukwaa mengi Jf, moyo wangu umempenda mdada mrembo asili yake ni Tanga, lakini kwasasa hayupo Tanga.


yupo active sana kwenye kila Uzi hasa Jukwaa hili nazani ushejijua.


Moyo wangu unateseka Juu yako hasa nikitizama Picha yako. Unaonekana ni mdada unaejieshimu, hijabu haikutoki kichwani, nywele zako hutaki zionekane, nakupenda sana..........hasa nikilitizama tabasamu lako nazidi kuzuzuka.

Plz naelekea kuwa kichaa mwenzako juu yako....

poleeee Mtumie PM
 
Back
Top Bottom