SweetLady... Husninyo.... Mwali... Smiles.... Mje nyumbani leo tutaongea vizuri.... Ngoja nitoke kidogo nikampikie Mupenzi... na salamu zenu zitafika.... Nitakuja tu kuchukua Feed bak hapa.....lol:biggrin:
Alafu mumuambie King' ana case ya kujibu!
SweetLady... Husninyo.... Mwali... Smiles.... Mje nyumbani leo tutaongea vizuri.... Ngoja nitoke kidogo nikampikie Mupenzi... na salamu zenu zitafika.... Nitakuja tu kuchukua Feed bak hapa.....lol:biggrin:
Alafu mumuambie King' ana case ya kujibu!
Umeonae swahiba eeh??? Ngoja niongee na my wifi a.k.a your aunt AshaDii aanzishe darasa hapa. Kungwi atakuwa mamkwe wako a.k.a mke mwenzangu King'asti...lol
Usijali wifi.. Nimewamiss ODM na Kaizer mno. Are they Ok?
Mie ntafika afta dina leo kuna mwana jf ntakutana nae Kempiski so nafikiri ntakula huko, huko..akija na gari ya kuazima majibu mtayapata kesho hapa, hapa..SweetLady... Husninyo.... Mwali... Smiles.... Mje nyumbani leo tutaongea vizuri.... Ngoja nitoke kidogo nikampikie Mupenzi... na salamu zenu zitafika.... Nitakuja tu kuchukua Feed bak hapa.....lol:biggrin:
Alafu mumuambie King' ana case ya kujibu!
No wasiwasi, nilimwambia mwalimu kua anaumwa, class ziko saspendedi hadi atakapo kuja.
Haya, naomba basi uniachie kiti chako, maana nataka nirudi kwanza pages za mwanzo nisome nielewe... nimesoma tu post ya kwanza ya thread, ndio nikatoa mshangao hapo juu.
Labda nikisoma nitaelewa vizuri.
Tooobah! Nafwaaa! Mwaka umeanza vibaya huu!
nakuja aunt ila leo kuosha vyombo zamu ya mwali. Mi nimechoka. Lol.
Umeanza eeh?? Siri za chumbani wazileta sebuleni...khaaa huna mume walah tena, labda udelete hiyo post yako kabla mamkwe wako hajaisoma...halafu hujui ma mkwe wangu huwa namfunda mimi. Lol
Umeanza eeh?? Siri za chumbani wazileta sebuleni...khaaa huna mume walah tena, labda udelete hiyo post yako kabla mamkwe wako hajaisoma...
Umeanza eeh?? Siri za chumbani wazileta sebuleni...khaaa huna mume walah tena, labda udelete hiyo post yako kabla mamkwe wako hajaisoma...
Hivi siri za chumbani ni zipi?
Hivi siri za chumbani ni zipi?
Jipe moyo... Tena ngoja nim bp akuje pande za huku.sasa swahiba umeharibu kuniquote. Lol. Mamkwe wangu mzungu wa roho.
Kama uko Dar muone Dr. Mazigo TMJ
ni zile za big mama na big baba.
mhhh niko kwa lema huku
Unaona faida ya kula matunda kwa wingi? Nilivoyapitisha ulikuwa umelala ghafla umeamka na kuingia chit chat. . Usisahau kumeza na hizo dawa hapo mezani..mhhh niko kwa lema huku
Mie ntafika afta dina leo kuna mwana jf ntakutana nae Kempiski so nafikiri ntakula huko, huko..akija na gari ya kuazima majibu mtayapata kesho hapa, hapa..
Hahaha! Kongosho ujue kunyonyolewa kavu kavu bila hata kuchemshiwa maji inauma ati.. Ukiona wanalalama ujue wanatoa maumivu..lolBora wewe umesema kabla ya kwenda
sio wale wanaonyonyolewa ndo wanalalama hapa
NImesha soma, nimeelewa elewa... haya, leta test...mmmh! Mwali kiti changu utakiweza? Kasome pages kwanza nitakupa ki test... Ukifaulu... We will talk.
Nilifagia uwanja na niko tayari kuosha vyombo ila kwa kukuna nazi... mwache afanye yeye. lolNa weee kavivu wewe.... Mwali si yeye hufagia uwanja na kukuna nazi? lol
Nifwate huku chumbani nikuambie....