happiness win
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 2,461
- 1,392
Aisee! Hivi una hakika wanawake wa humu sio makini? Wana vifua vya kuhifadhia siri mpendwa, kila mtu akiamua kuja hapa na kusema katongozwa na nani na lini wala hapatatosha kabisa. Afu kwa karne hii tuliyopo sasa bado kuna mwanamke anadanganyika kweli?wanaume wanatuchezea sana. ajab mtu anaona mtu afanya maovu ya
kuchafua wanawake wanamchekea tu. nimesema hapa ili waschana wenzangu
wajue kua wawe makini na wanaume wanaowatongoza pm. nimeshangaa vitu nilivokimbia fb vipo na hapa.
mwanaume alie hmsef sio wakujifanyisha akinitongoza aseme ataka sex kwangu sio kujfanya ataka kunioa na sio kujfanya wa hal ya juuuuu huku aumia.
mie nimeuliza kuna tatizo gani kutongoza au kutongozwa??????????????????????????????Aisee! Hivi una hakika wanawake wa humu sio makini? Wana vifua vya kuhifadhia siri mpendwa, kila mtu akiamua kuja hapa na kusema katongozwa na nani na lini wala hapatatosha kabisa. Afu kwa karne hii tuliyopo sasa bado kuna mwanamke anadanganyika kweli?
Sio crime.. Swali la nyongeza.lakini jamani bandugu kutongoza ni crime?
kutongozwa je?
Aisee! Hivi una hakika wanawake wa humu sio makini? Wana vifua vya kuhifadhia siri mpendwa, kila mtu akiamua kuja hapa na kusema katongozwa na nani na lini wala hapatatosha kabisa. Afu kwa karne hii tuliyopo sasa bado kuna mwanamke anadanganyika kweli?
yaonesha kishoka mgum kuelewa ww.
Sio crime.. Swali la nyongeza.
sijakuelewa mpolee, hebu dadavua
At this age
Uje kufundishwa na jf
kukabiliana na watongozaji?
Au ni kujipaisha, am strong
I can resist gx100?
Dah, mie domo wazi lote
Unless kama anachangamsha baraza
Hakuna tatizo.mie nimeuliza kuna tatizo gani kutongoza au kutongozwa??????????????????????????????
Mwongozo mh spika. Hakuwa na mamlaka..heheheeee
muhishimiwa naomba kujua mpolee kama alikuwa na mamlaka ya kukubali au kukataa tongozo husika right from the scratch
(ntakuwa na dogo la nyogeza hili likijibiwa)
Wacha weye. Wape hata nguruwe bana, ujue nimezinunua ghali hizo pumba nkajua zafaa!.lolSi ajabu hiyo gx ameishia kuiona kwenye TV!!
Pumba nyingine hazifai hata kulisha ng'ombe.
Ever heard of an opinion?we ndio mtoa hukum? ww Crap x 100
Hahaha. . . watagoma kula aiseee.Wacha weye. Wape hata nguruwe bana, ujue nimezinunua ghali hizo pumba nkajua zafaa!.lol
Una hakika katongozwa? Isijekuwa ntoke vipi.Mtongozane kwenye PM mkigomban mnakuja jukwaani mambo ya Jf.