Nimemuona mwana jf kitaa

we ndio mtoa hukum? ww Crap x 100

nilivyo ona hiyo mia nikajua nimekwisha kumbe unamsema lizzy!. acheni hizo bana. mbona ndo mwanzo wa mwaka? acheni visilani mapema hivi au mumechukuliana? Mia
 
mwanaume alie hmsef sio wakujifanyisha akinitongoza aseme ataka sex kwangu sio kujfanya ataka kunioa na sio kujfanya wa hal ya juuuuu huku aumia.

I am flabbergasted!!
na log off. Mia.
 
nan alikuambia crap ni opinion? rudi sch.

Kama ujinga ungekua na bei ingekua poa sana.

Crap is what I think of everything you posted on this thread, kama hupendi Crap acha kuandika Crap!
 
Sina hakika ila mambo yao ya PM leo wameleta Jukwaani sio ishu wangapi vinawatokea ila wanachunia 2.
Hapo sasa. Kila mtu akimwaga mchele hapa patatosha kweli jamani?
 
Una hakika katongozwa? Isijekuwa ntoke vipi.



nimekupenda bure! niljua nikurush tuma sred kama hii siwez kosa wachangiaj wa kumwaga povu kama ulivyoona Kongosho na Lizzy hawajaniangusha. teh teh teh.
 
Reactions: SMU
nimekupenda bure! niljua nikurush tuma sred kama hii siwez kosa wachangiaj wa kumwaga povu kama ulivyoona Kongosho na Lizzy hawajaniangusha. teh teh teh.
Tukuangushe tulikua tumekubeba?
 
naona nishakua supa sta. hapa jf ukitaka udumu uwe supa sta hata ukiongea pumpa wata kupenda tu. nawapenda woooooote. bye.
 
Hah Mpoleee,so ingekuwa jamaa ndo kaja na Jeep Version ya 2010 na wewe umetinga na GX 100 story ingebadilika au? Maana mie kilaza sijaelewa kwa nn umeweka huu mlinganyo wa magari!
 
Hah Mpoleee,so ingekuwa jamaa ndo kaja na Jeep Version ya 2010 na wewe umetinga na GX 100 story ingebadilika au? Maana mie kilaza sijaelewa kwa nn umeweka huu mlinganyo wa magari!
Sio ingebadilika tu, yaani hata kumtangaza asingemtangaza, wangemalizana kimya kimya..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…