TANMO
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 11,763
- 11,873
Umeanza
Ntakubeba mgongoni
Nitokomee na wewe
Ishu hapa ni una jeep au GX50?
Sina Jipu wala Jiieksi, mbaya zaidi hata kutongoza yenyewe sijui..
Hivi wewe ni jinsia gani eti?
Lol
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeanza
Ntakubeba mgongoni
Nitokomee na wewe
Ishu hapa ni una jeep au GX50?
huyo ni mpiga mbizi wa magufuli
There are currently 31 users browsing this thread. (26 members and 5 guests)
Kweli umefanikiwa mpoleee....
- jouneGwalu,
- Smile,
- Lizzy,
- genekai,
- Consigliere,
- Jakathesi.,
- Kaunga,
- Cantalisia,
- MwanajamiiOne,
- Nyampedawa,
- TANMO,
- sakapal,
- Kongosho,
- phina,
- Emilia,
- Manyanza,
- IPECACUANHA,
- mbweta,
- kaeso,
- luluka,
- samito,
- Ibrah,
- Slave,
- DavidHard,
- Graucho
ukitoa post zaq hivi mbili tatu hivi kwa wiki basi utakuwa "JF supastaa" kama unavyowaita hao watu
Ujue tayari keshaliwa huyoooo.....ila simanishi Mpoleee ni msemo tuUkiona manyoya................................
Mkuu kuna sheria ya jf inasema heshimu ulio wakuta. nakuomba acha kushindana na dada yangu Lizzy. tuishi kama ndugu. size yako ni kongosho lakini naye anataka heshima. kwanini mnakua na visilaani kama wanafunzi wa bweni?. Usiongee maneno ya kumuudhi au kumuabisha mwenzako. siku nyingine utakula ban. ni hayo tu. Mia
amendment namba ngapi na ya mwaka gani hii?
ndio mlivyo wanaume ingekua ni thread ya kueleza binti alivyoingia mkenge
mngefurahia kweli na kusema maneno yoote kwenye kamusi. sbb ni mwanaume
mwenzenu mnajaribu kuonesha mm ndio nilchemka. uzuri naelewa nn nilkua nafanya.
watongozaji wengine wamepita hapa hapa. i dare them mmoja wao aseme poh na mm
bila hiana nitataja kua nae mmoja wao. mwisho mtatongoza na majini nyie hamjui nayo yana teknologia?
huyo kaka sio mara yake ya kwanza inavyoonesha sbb huwezi kumvamia
mwanamke siku za mwanzo na kuanza kutongoza kwa kujinadi vitu vya hali ya juuuu
wapo wenzangu wengi watakua wameingia mkenge tokana ha hizo pvt msg nilijua kabisa
ni wale wale ambao hutumia pesa kama fimbo kwa wanawake wanyonge.
nimeenda pale nikitaka kuhakikisha na ukweli ndio huo kua aache hio tabia mbaya!
nashindwa kuelewa wewe imekuuma nini hasa?
huo ni ujumbe kwake kua sio kila mwanamke ni mshamba kwa watu wenye pesa!
mauzo vipi au hata muonekano hana?...............hongera zetu tusiokuwa na shida na wanawake muda wa ku pm hatuna!kama ilivo kawaida ya wana jf kujifanya mwajua. Kaja na gxmia nimeenda na jeep version 2010 akanywea na kua mdogo kama vile sio kidume kilichokua cha jidai pm. Pole zake cku nyingne jpange kaka
wenye bajaj tutakuwa hatutongozi humu kwa kweli lol
dah.....
Kabsaaaa, Mpoleee ni material demu hata kama anasema ana chenji,..Nilikosea kidogo sana kuna jamaa yangu ana Vogue lakini alikuwa amesafiri kidogo, kuna kila dalili ningeazima hilo mda huu ningekuwa nimetafuna Mpolee mda mreeeefu!!!!
Jamaa alim-HIT Mpolee na ku-RUN. Hii ndo chanzo cha hasira za huyu mdada.Enways what went wrong dear mpaka umekuja anika hapa?
toboa siri basi hata kwa pm ili tumtambue asije kutushobokea na sie!