bwaiseekwetu
Senior Member
- May 29, 2022
- 144
- 431
Hakuna aliye mwema ila Mungu wa mbinguni pekee!Ona miccm inavyojitahidi kumtetea Jambazi,
Wewe una amini Sabaya ana hali mbaya?Kila ubaya utalipwa
Kila ubaya utalipwa
Mungu/serikali?Alidhani Mungu amelala usingizi
Daah hadi huruma.Wandugu,leo nilipita kwenye Viwanja vya Mahakama ya hapa Moshi kwa ajili ya kufuatilia suala langu fulani.Bahati nikiwa pale karandinga kutoka Magereza likiwa na watuhumiwa mbalimbali akiwemo Jenerali Sabaya likawa limefika na nikamuona Live Sabaya...
Wanasemaga Mahakama itumie busaraš¤£š¤£Hiyo sheria ya huruma ipo kipengele gani
Na bado, damu alizomwaga ni nyingi hastahili huruma hata chembeWandugu,leo nilipita kwenye Viwanja vya Mahakama ya hapa Moshi kwa ajili ya kufuatilia suala langu fulani.Bahati nikiwa pale karandinga kutoka Magereza likiwa na watuhumiwa mbalimbali akiwemo Jenerali Sabaya likawa limefika na nikamuona Live Sabaya.Ni kwamba ana Bandeji kichwani(nadhani alifanyiwa Operation ule uvimbe wake) na hali yake kiafya inaonekana kabisa sio nzuri!!!huyu dogo naamini amejifunza sana kwa kweli,asamehewe tu lakini wale wote waliodhulumiwa kwa namna yoyote walipwe tu fidia.
Ni kweli hana hali mbaya maana wenye hali mbaya ni wale alikuwa akiwagonga nyundo kwenye Ugoko na wengine akiwachoma nyaya za umeme. DAAHWewe una amini Sabaya ana hali mbaya?
Wandugu,leo nilipita kwenye Viwanja vya Mahakama ya hapa Moshi kwa ajili ya kufuatilia suala langu fulani.Bahati nikiwa pale karandinga kutoka Magereza likiwa na watuhumiwa mbalimbali akiwemo Jenerali Sabaya likawa limefika na nikamuona Live Sabaya.Ni kwamba ana Bandeji kichwani(nadhani alifanyiwa Operation ule uvimbe wake) na hali yake kiafya inaonekana kabisa sio nzuri!!!huyu dogo naamini amejifunza sana kwa kweli,asamehewe tu lakini wale wote waliodhulumiwa kwa namna yoyote walipwe tu fidia.
Unamwonea huruma jambazi? Na alowaua je?Wandugu,leo nilipita kwenye Viwanja vya Mahakama ya hapa Moshi kwa ajili ya kufuatilia suala langu fulani.Bahati nikiwa pale karandinga kutoka Magereza likiwa na watuhumiwa mbalimbali akiwemo Jenerali Sabaya likawa limefika na nikamuona Live Sabaya.Ni kwamba ana Bandeji kichwani(nadhani alifanyiwa Operation ule uvimbe wake) na hali yake kiafya inaonekana kabisa sio nzuri!!!huyu dogo naamini amejifunza sana kwa kweli,asamehewe tu lakini wale wote waliodhulumiwa kwa namna yoyote walipwe tu fidia.