pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
Wanaotaka labda tuwe na rais asiye na kwao wala ndugu wala baba na mama wala mme au mke au watoto wala familia, basi watwambie ttutampata wapi?
Ukweli haunin'ginii, ni lazima utaegemea tu, ni lazima kuwe na damu yako kwenye usalama zaidi
Lazima tuwe na royal family, ebho
Ukweli haunin'ginii, ni lazima utaegemea tu, ni lazima kuwe na damu yako kwenye usalama zaidi
Lazima tuwe na royal family, ebho