pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
Umemuona wapi wakati we upo Nyandira?Wanaotaka labda tuwe na rais asiye na kwao wala ndugu wala baba na mama wala mme au mke au watoto wala familia, basi watwambie ttutampata wapi?
Ukweli haunin'ginii, ni lazima utaegemea tu, ni lazima kuwe na damu yako kwenye usalama zaidi
Lazima tuwe na royal family, ebho
Tena nimemuona live bila chengaUmemuona wapi wakati we upo Nyandira?
Tayari yeye ni mkubwa, tunaangalia kizazi chake, kwanini mnataka kuwatenganisha?Ulizia baba ake fulani ufe kama ...
ubaya uko upande gani gentleman πWanaotaka labda tuwe na rais asiye na kwao wala ndugu wala baba na mama wala mme au mke au watoto wala familia, basi watwambie ttutampata wapi?
Ukweli haunin'ginii, ni lazima utaegemea tu, ni lazima kuwe na damu yako kwenye usalama zaidi
Lazima tuwe na royal family, ebho
Kwanini kamala asaidiwe na wanafamilia baadhi ya majukumu?ubaya uko upande gani gentleman π
kumfananisha very powerful president, tena mfanyibiasha mkubwa na mashuhuri sana duniani kama Donald Trump na just honest makamu wa Rais,!Kwanini kamala asaidiwe na wanafamilia baadhi ya majukumu?
Kuna watu walihoji sana hasa alipokwenda uganda
Elimu ni bahari, elimu haina mwishokumfananisha very powerful president, tena mfanyibiasha mkubwa na mashuhuri sana duniani kama Donald Trump na just honest makamu wa Rais,!
Mh ni vitu viwili tofauti sana kama ardhi na mbingu kwenye mahitaji π
ongeza bidii masomoni sasa πElimu ni bahari, elimu haina mwisho